Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Jidanganye hivyo hivyo mwenzio anaingia White House km bafuni kwake, wewe umekalia uchawa tu.!! 😹😹
hata sisi tunazama hapo magogoni na chamwino bila mbambamba yoyote na wala haturingi,

huyo mmatumbi hawezi kubabaisha Tz na Africa kwa lolote my lady 🐒
 
Kipi kinakuoa jeuri, au ni wale makomandoo wanaoapasuliana matofali kichwani.
gentleman,
matofali yataendelea kupasuliwa vibaya sana na makomando wetu, Lakini pia kamwa hatuwezi kubaaishwa na mmatumbi wa hapo kwa madiba kwa namna yoyote ile 🐒
 
hata sisi tunazama hapo magogoni na chamwino bila mbambamba yoyote na wala haturingi,

huyo mmatumbi hawezi kubabaisha Tz na Africa kwa lolote my lady 🐒
😹😹😹 Kwahiyo magogoni unaifananisha na White House??

Nakukumbusha wamesitisha ARV we jichetue 🤣
 
😹😹😹 Kwahiyo magogoni unaifananisha na White House??

Nakukumbusha wamesitisha ARV we jichetue 🤣
My lady,
huna haja ya kubabaika sana na mambo hayo,
utofauti ni majina tu ya hizo nyumba, wao wanaita white house na sie tunaita ikulu ya magogoni na chamwino, but hadhi ni ile ile moja kwamba hayo ni makazi na ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi.

hata hivyo,
niwaondoe hofu kuhusu ARVs,
na kwamba zipo za kutosha na wahusika wote mtazipata bila mbambamba yoyote 🐒
 
Pili na wao waache kusgunikiza nchi za kiafrica kuchukua madini kwa vei ya bwereree kutikana na influence za uasid
Watu kama wewe wanadhihirisha uafrika ulivyo laaana walikuja wakapora madini si wanachimba kwa mikataba ambayo viongozi wanasaini bila kufikiri acheni lawama kwa ujinga wetu sisi
 
My lady,
huna haja ya kubabaika sana na mambo hayo,
utofauti ni majina tu ya hizo nyumba, wao wanaita white house na sie tunaita ikulu ya magogoni na chamwino, but hadhi ni ile ile moja kwamba hayo ni makazi na ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi.

hata hivyo,
niwaondoe hofu kuhusu ARVs,
na kwamba zipo za kutosha na wahusika wote mtazipata bila mbambamba yoyote 🐒
Uliona white house wanakuja kuomba misaada magogoni??

Hizo ARV km mmezificha kwa matumizi yenu ya baadae sawa… uzuri ulipo ndo jikoni kwa ngwengwe 😹😹
 
Ngoja suruali ianze kukupwaya wadudu wakipanda kichwani ndo utaelewa..!! 😹
suruali zitaendelea kuvaliwa vizuri tu my lady, tena zile zenye marinda kabisa, na kuulamba mkanda wa nje kama kawaida,

hayupo wa kutupanda kichwani kama waafrica Lakini pia kama Tanzania 🐒
 
Uliona white house wanakuja kuomba misaada magogoni??

Hizo ARV km mmezificha kwa matumizi yenu ya baadae sawa… uzuri ulipo ndo jikoni kwa ngwengwe 😹😹
kwahivyo akina Obama walikuja kunywa chai ikulu ya magogoni right? all the way from US.

My lady relax,
hakuna atakae teseka kwa kukosa ARVs nchini eti kwasabb mmatumbi moja sijui anasema nini huko ng'ambo.

na kama yeye anaweza kusababisha upungufu wa ARVs, basi nadhani kaka, dada, baba, mama, ndugu, jamaa na marafiki zake wa huko umatumbini kwa madiba watapata tabu zaid 🐒
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Waendelee kubana kende hadi kieleweke.
 
My lady,
huna haja ya kubabaika sana na mambo hayo,
utofauti ni majina tu ya hizo nyumba, wao wanaita white house na sie tunaita ikulu ya magogoni na chamwino, but hadhi ni ile ile moja kwamba hayo ni makazi na ofisi ya kiongozi mkuu wa nchi.

hata hivyo,
niwaondoe hofu kuhusu ARVs,
na kwamba zipo za kutosha na wahusika wote mtazipata bila mbambamba yoyote 🐒
Mluu usijifanye Msigwa wa JF kwakutetea kila kitu kuihusu serikali. Kwanza Elon kazngumzia Serikali za Africa, pia ukiona % kubwa ya wadau kupongeza kauli ya Eloni wewe sijui unapata picha gani?.
 
Sasa hawa viongozi wanamueleza nani, na sioni sababu ya kueleza, bali waonyeshe nini kiimafanyika. Hawa watu huwa wanazikusanya zote kapu mojakisha wansema TRA imekusanya Trilioni 21. Baada ya hapo wanaanza kuziponda sasa, utasikia Goli la Mama, utasikia kafuturisha, utasikia Kizimkazi festival, na bado wale wa mama kaleta maendeleo.
Hilo fuko unaingiza mkona unachotoka nacho ni chako, kama unamkono mdogo shauri yako. Wanakula kwa urefu wa kamba zao.
 
Mluu usijifanye Msigwa wa JF kwakutetea kila kitu kuihusu serikali. Kwanza Elon kazngumzia Serikali za Africa, pia ukiona % kubwa ya wadau kupongeza kauli ya Eloni wewe sijui unapata picha gani?.
Gentleman,
mie sio linyumbu,
nina fikra na mtazamo huru muhimu mno kwa mustakabali wa Taifa langu.

Mmatumbi kama huyo uliemtaja hastahili kumkikimisha yeyote Africa kwasabb nae ni muafrica.

wahenga walisema, "maskini akipata matako hulia mbwata"

anakubabaishaje mtu wa aina hiyo?🐒
 
uzuri hapa kwetu kila mtu anajionea ujenzi wa madarasa kila kona ya nchi wala haitaji ufafanuzi kwa macho tuh hata chadema wenyewe hawana cha kuzungumza
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Hii imekaa vizuri.
 
Back
Top Bottom