Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hili Acha tutofautianesi muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.
hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
Safi saana. Kenge hawa walafi waanze kutia akili"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171
Ushahidi hawatakuwa nao hilo liko wazi. Kitakachoguata ni kukubaliana na matakwa ya mkoloni."Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171
hakuna haja ya kubabaika,Yanagonga chupi yanarudi
Gentleman,Hata wakitaka zirudi kwa mabavu wanaweza, labda kama waamue kupotezea tu.
Kipi kinakuoa jeuri, au ni wale makomandoo wanaoapasuliana matofali kichwani.Gentleman,
hayupo wa kuthubutu kufanya hivyo kwa Tz, sifahamu kwa wanyonge wao kwingineko 🐒
mtetezi wao ni yule kibaraka na tapeli anae warubuni wanainchi pesa kidigitali,Lete huo ushahidi japo kwa mradi mmoja tu,vinginevyo hata wewe mtetezi wao jiandae na jipange kisaikolojia na sii kichawa.
Rudisheni pesa za watu jentroman 😹si muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.
hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
haina haja ya kubabaika nae huyo muungwana,Mku
Mkuu kuwa mwafrica kwa mtu mwruope ni hiari yake.
Kama waarabu wa misri, Tunisia n Morocco wanakana kwamba wao sio waafrica sembuse Eloni Musk ambaye ni mzungu pure??
hakuna wa kubabaika na huyo mmatumbi wa hapo kwa madiba my lady 🐒Elon shikilia hapo hapo..!!
hakuna pesa ya mwenye kimbelembele cha kutoa misaada bila kuombwa itarudi, with my deadbody,Rudisheni pesa za watu jentroman 😹
Jidanganye hivyo hivyo mwenzio anaingia White House km bafuni kwake, wewe umekalia uchawa tu.!! 😹😹hakuna wa kubabaika na huyo mmatumbi wa hapo kwa madiba my lady 🐒
Gentleman,Mkuu lakini mbona imekaa vizuri tuu, kwan serikali zikitoa fedha kwa ajili ya miradi ya ujenzi wa madaraja afu halmashauri zikatumia ndivyo sivyo vipi huwa wanawafanyaje wakurugenzi?.