Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

si muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.

hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
Kwenye hili Acha tutofautiane

Only 30% yq msaada ungetosha kuleta mabadiliko kuliko 100% tunayopokea
1. Hakuna uwajibikaji Kwa donor
2. Hakuna uwajibikaji Kwa mpokeaji
3. Ufujaji wa pesa kwani za misaada zinareplace budgeted funds za ndani
4. Unrealistic economic status hasa kwenye afya…. Angali allocation ya bajeti y serikali compared to BENCHMARKS
 
Safari hii hizi Banana Republic km serikali ya Samiah zitapitia nyakati ngumu sn labda kule Ujombani Umangani waingilie kati kuokoa jahazi...
 
Maaaaaayooweeeeee mambo ya fedhwaaa hayooo🤣🤣🤣

Mimi sio mtabiri ila Singida big byeeeeeww

Utopolooo byeeeeeeee

Trat na sijui trit byeeeeeeh

Hapa babu anataka achome kibanda kabisa naona kampm Musk kwamba atakayetoa maelezo yake ya trat sijui crab sukuma Gwantamano kabisa huko🤣🤣
 
Sisi tuliingia uchumi wa kati,akaja kiongozi asie na maono akatyshusha ili kutembeza bakuli...sasa bwana zake wamegoma kutoa tone... Trump for life
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Safi saana. Kenge hawa walafi waanze kutia akili
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Ushahidi hawatakuwa nao hilo liko wazi. Kitakachoguata ni kukubaliana na matakwa ya mkoloni.
 
Lete huo ushahidi japo kwa mradi mmoja tu,vinginevyo hata wewe mtetezi wao jiandae na jipange kisaikolojia na sii kichawa.
mtetezi wao ni yule kibaraka na tapeli anae warubuni wanainchi pesa kidigitali,

kama Taifa,
iko miradi mingi tu kwenye elimu, afya, miundombinu, kilimo n.k ambayo imetekelezwa nchini kwa kimbelembele cha misaada yao.

Miradi ile inawanufaisha waTz wote na Tz haiwajibiki na wala haina haja hata kidogo kubabaika na aliejitolea bila kuombwa 🐒
 
Mku

Mkuu kuwa mwafrica kwa mtu mwruope ni hiari yake.

Kama waarabu wa misri, Tunisia n Morocco wanakana kwamba wao sio waafrica sembuse Eloni Musk ambaye ni mzungu pure??
haina haja ya kubabaika nae huyo muungwana,

hata afanyaje,
sura yake, body language na hata tone yake bado inamtambulisha kama mmatumbi wa hapo kwa madiba tu,

na hiyo ndiyo maana ya ule msemo wa wahenga kwamba,
maskini akipata matako hulia mbwata 🐒
 
Rudisheni pesa za watu jentroman 😹
hakuna pesa ya mwenye kimbelembele cha kutoa misaada bila kuombwa itarudi, with my deadbody,

ama ninyi mtu akijipendekeza kuwamwagia ofa za vitu mbalimbali huwa mnarudisha, right?🐒
 
Huyo ndio bilionea mwenzangu Elon Musk "DOGEMAN".
GoT nasi wananchi tunataka tuone fedha za misaada na mikopo zilifanya nini!
Kila nchi ingekuwa na DOGE na mtendaji wa DOGE mwenye uwezo na aliyepewa meno (CAG hapana), hakika tungekuwa tumepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
 

Attachments

  • Gli9gObbwAAjLC5.jpeg
    Gli9gObbwAAjLC5.jpeg
    109 KB · Views: 1
Mkuu lakini mbona imekaa vizuri tuu, kwan serikali zikitoa fedha kwa ajili ya miradi ya ujenzi wa madaraja afu halmashauri zikatumia ndivyo sivyo vipi huwa wanawafanyaje wakurugenzi?.
Gentleman,
nimesema ushahidi wa mambo yaliyotekelezwa na misaada ya hao wangwana upo wa kutosha, but hayupo wa kutukikimisha kuacha kazi za kuwatumikia wanainchi na waTanzania wote na kuanza kubabaika na mambo ambayo ni hiyari kuyafanya kama yalivyotolewa.

wabadhirifu wote wa miradi ya maendeleo nchini wataendelea kuwajibishwa vilivyo na kuchukuliwa hatua muafaka za kisheria ili kuleta ufanisi katika kutekeleza miradi ya kimkakati inayofadhiliwa na kodi za wananchi au misaada kutoka kwa wanaojitolea kwa hiyari yao 🐒
 
Back
Top Bottom