LGE2024 Viongozi wa CCM wa Kata wakishirikiana na madiwani wao wameanza kuzunguka usiku na kutoa pesa kwa watia nia wa upinzani wajitoe

LGE2024 Viongozi wa CCM wa Kata wakishirikiana na madiwani wao wameanza kuzunguka usiku na kutoa pesa kwa watia nia wa upinzani wajitoe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.

Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.

Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.

Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.
Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.
Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.
Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
Hamjitambui!!
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.
Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.
Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.
Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
CCM na Samia walianza kampeni tangu 2021 na wanaendelea kula kuchao. Sijui huyu mwanamke anataka nini zaidi
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.
Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.
Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.
Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
Aisee?!
 
Huwezi kuchukua nchi kupitia mitandao pasipo kutumia askari wa miguu i .e:nyumba kwa nyumba,wanaopiga kura wengi hawana simu janja
 
Kama huwezi kuwataja hao Wapumbavu basi funga mdomo.
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.

Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.

Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.

Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
Acha hizo wamemchoka mzee Mbowe ,nyie mnaanza kutoa visababu havina hata maana
 
Wana vikao vyao vya Saa 6 usiku wanaviita Vikao vya Ushindi.
Ukiskia wanayojadili aseeh...Nyie raia mmezongwa na wezi.
 
Lakini wakumbuke safari hii hakuna 'kupita bila kupingwa'....lazima kura ipigwe ya kumkubali au kumkataa mgombea atakayesimama bila mpinzani..!
 
Waoga hao wamekaa miaka mitano kwa kubebwa na Mwendazake bado wanaendekeza magumashi? Safari hii jino kwa jino
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.

Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.

Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.

Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
Acha uoga mapema ss wananch tunawapgia kura mtu tunaye mtaka hzo pesa tutakula lakn hapit mtu kwa kutuonga vi bia amnaga fara tena
 
Hii tarifa ni sahihi na si muda mrefu tutaweka majina ya Viongozi ambao wanazunguka na pikipk za Samia kwa lengo la kuwarubuni watia nia wa upinzani wajitoe.

Baadhi ya maeneo wameanza kufanikiwa hasa maeneo ya vijijini.

Angalizo kwa vyama vya upinzani tafuteni wagombea ambao wanajielewa ambao mnajua hawawezi kurubunika.

Hali kama hii inaonesha CCM uchaguzi unaenda kuwa mgumu kwao na pia tupeane taarifa za kila mbinu watakazo tumia.
Mwisho wa kufanya kampeni ni mchana nasii usiku,kanuni zinasemaje,wanalifahamu hili ama kwa kuwa wasimamizi wa hizo chaguzi wao?
 
Back
Top Bottom