Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #101
Hivi hii mada inahusiana na Lissu kupigwa risasi. Ok, fine jumuia za kimataifa zilichukua hatua gani? Maana zinajua alipigwa risasi.ila jumuia za kimataifa zinafahamu kuwa lisu alipigwa risasi kibao,na hakuna aliyekamtwa,twasira yetu imeharibiwa na ccm academia,ccm asili isingetufikisha hapa
Kama nchi haina amani wewe mbona hujapigwa risasi?mtadanganya nani nyinyi mnasemaga kuna amani ,,baadae mnapiga watu risasi
Unakumbuka lisu Kama aliwaalifu polisi kuwa anafuatiliwa lakini policiccm wakakaidi? Unajua kilichompata.Unadhani kama watu wanataka kukuua ukiwa Kenya hawawezi kukufuata? Huyu anaeneza sumu mbaya kuchafua nchi yetu. Kama walitaka kumuua wangemuua mapema tu.
Nakumbuka alisema aliwakaba vijana wa Kipilimna na Sirro, pale St Peters,lakini sikusikia kudai ameenda central police kuripoti watu wanamfuatilia.Unakumbuka lisu Kama aliwaalifu polisi kuwa anafuatiliwa lakini policiccm wakakaidi? Unajua kilichompata.
Sasa kuwakaba maana yake Nini. Unaweza kusema umewakaba halafu no dola na igp akakaa kimya Kama so no nchi hii ya kipumbavu. Igp alitaka mpaka wamuue ndo ajue walimfatiliaNakumbuka alisema aliwakaba vijana wa Kipilimna na Sirro, pale St Peters,lakini sikusikia kudai ameenda central police kuripoti watu wanamfuatilia.
Malalamiko ya polisi huwa yanatolew namna hiyo? Mtu unatkiwa uende kituo cha polisi uripoti.Sasa kuwakaba maana yake Nini. Unaweza kusema umewakaba halafu no dola na igp akakaa kimya Kama so no nchi hii ya kipumbavu. Igp alitaka mpaka wamuue ndo ajue walimfatilia
Mfano umevunjwa mguu huwezi hata kutembea. We ndo unapaswa uende au ni kazi ya polisi kutafuta uhalifu uko wapi! Kwani kazi ya polisi ni kukaa ofisini ni kusubili Nani ataenda kwamba ameumizwaMalalamiko ya polisi huwa yanatolew namna hiyo? Mtu unatkiwa uende kituo cha polisi uripoti.
Sahivi unawahitaji tena CHADEMA?Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.
Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Nani kasema?Sahivi unawahitaji tena CHADEMA?
UpupuHii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.
Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Unataka uteuz wwKwa hiyo nani anataka uteuzi. Mtu akitoa maoni tu ni kutaka uteuzi. Tumia akili,we unadhani kila mtu ni kama wewe.
Pole sana usipoteze muda kwa kutuandikia tungoTAKA.Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganywi kitoto.
Nota bene : Kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Wewe umehakikishiwa ulinzi? Watanzania wote wanaulizi tayariKama mmeshindwa kumuhakikishia Lissu ulinzi wake mpaka leo, unataka wafanyeje? unaweza kukaa sehemu usiyo na amani?
Upinzani sio uadui, fungueni akili zenu.
Kijana ulikuwa wapi? Ulikuwa unaomboleza? Sijakuona kama wiki tatu jukwaani. Pole sana.Pole sana usipoteze muda kwa kutuandikia tungoTAKA.
Sasa hivi mnalo bunge LENU. PELEKA huko mkaifute sio tu CHADEMA, bali mkaongeze uimla na sheria kandamizi kama mnavyotaka.
Amen
Mwenye shughuli na kipato cha kujitegemea hawezi kuwa anajitoa fahamu hivyo.Mimi nafanya shughuli zangu, njoo Segese uone tunavyopambana. Habari za uteuzi ni za kishamba na washamba kama wewe ndio wanazifikiria.
Tuambie kwanza ni nani waliotaka kumuua Mh Lissu. Je ni hatua gani iliwahi kuchukuliwa na vyomba vya usalama kutokana na jaribio lile??Kama wanataka kumuua angefika hata huko Namanga? Acheni uongo wenu.
Taifa letu linazidi kupoteza mwelekeo.Kijana ulikuwa wapi? Ulikuwa unaomboleza? Sijakuona kama wiki tatu jukwaani. Pole sana.
Ahaaaaaaa,yaani ukweli umekuwa kujitoa fahamu.? Na ndio sababu ya kukosa kipato cha kujitegemea? Naomba ujikitw kwenye mada. Maana mmeshaaibika.Mwenye shughuli na kipato cha kujitegemea hawezi kuwa anajitoa fahamu hivyo.