Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijiji gani mnapikia matope ,ugari na tope halafu mnakula mbona mnakuwa wajingaWatanzania walio wengi tunaishi Vijijini sijui kama unalitambua hilo
Kisima hicho wewe na wanakijiji wenzako mkichimbe zaidi hizo MB unazoshindia jf ukanunue shabu mapate maji msafi na salamaView attachment 1289230
Huu ndio ukweli usiku tunachangia tope na Mbweha na viumbe vingi hatari vinavyobeba maradhi
Uzeni japo ndege tano au Nne turekebishe mambo
Wewe umeshiba bhana usituletee mambo yako ya ccmKijiji gani mnapikia matope ,ugari na tope halafu mnakula mbona mnakuwa wajinga
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisima hicho wewe na wanakijiji wenzako mkichimbe zaidi hizo MB unazoshindia jf ukanunue shabu mapate maji msafi na salama
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, Chadema kinasimamia ukweli ambao kwenu ni mchunguMaisha ya chadema ni maisha ya hisia na siasa za hisia
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema upo kijiji gani tujue wewe upo ufipa unakula shush unawasema wengineUmekimbila wapi bwa USSR rudi kwenye mjadala
Niko Ruvuma vijijini, una jingine?Sema upo kijiji gani tujue wewe upo ufipa unakula shush unawasema wengine
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema upo kijiji gani tujue wewe upo ufipa unakula shush unawasema wengine
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ni viongozi kama wa CCM hawahitaji maji maana wanayo Bali ni wananchi nchi nzima ndo wanahitaji maji na si ndege. Wananchi walio wengi hawana hata viwanja vya kutua hata ndege ndogo za huduma za kijamii kama afya. Mimi ni mkulima karibu na mji mkubwa wenye kiwanja kikubwa (lilikuwa shamba LA babu) na maji yapo toka ukoloni lakini naambulia kelele tu madege ya wakuu yakitua na kuruka sina uwezo wa kuyapanda mpaka kijiji cha jirani.Muwe mnatunza kumbukumbu na muwe mnapanga ya kuponda
My take: Hii ni hasara ya kupinga kila jambo
USSR
View attachment 1288540
Kulikuwa hakuna ndege au mmeua mashirika yaliyokuwepo ili mfaidi!, fastjet umeshaisahau sio, na precision, kwako huduma ya maji safi na salama kwa ajili ya wananchi wa vijijini haina maana sio?!, unaangalia investment ambayo hata hamjui profit mtaanza kuipata lini, nyie pimbi kweli!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa hakuna ndege au mmeua mashirika yaliyokuwepo ili mfaidi!, fastjet umeshaisahau sio, na precision, kwako huduma ya maji safi na salama kwa ajili ya wananchi wa vijijini haina maana sio?!, unaangalia investment ambayo hata hamjui profit mtaanza kuipata lini, nyie pimbi kweli!.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ndege zinajiendesha kwa hasara kama ilivyo business yoyote inayoanza ... so sio hoja.
Tesla motors wanapata hasara pia ila wanajua wanapienda...
Kilimo ni siasa ila sio fact na sio ajira but ni shughuli ... wananchi wa get busy ...
Kilimo kwanza, nguvu kazi nk vyote havijamkomboa mtz. .
Ndege zitaingiza profit baada ya ku Break Even.. plus zinakuza utalii kwakuwa wengi walikuwa wanapitia kenya.
Usisahau kufufua shirika la ndege ni sera yetu ya chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kudanganya unachohitaji ni ndege ndogo kama Bomberdier, Fly Emirates SwissAir na mashirika mengine makubwa yanakuletea watalii Dar au Kilimanjaro wewe unawabeba na kuwapeleka mbugani.Ndege ndogo na hazikutosha kwa utalii na zilikuwa zinaenda sehemu chache
Sasa hawa watoto wakiiona ndege kubwa ikiwa tupu hewani labda na ma airhostages kadhaa wanaanza kuimba... "ndege ya baba",,Tunataka ndege: watanzania wakiwa wamepumzima kwenye ndege yao mpya.View attachment 1289337
Sent using Jamii Forums mobile app