Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Mkuu be fair, weka video yote inayoonyesha mwanzo hadi mwisho wa kauli hiyo ya huyo sheikh.

Hakuna shaka kuwa huyo sheikh ni chawa mkubwa wa viongozi wa serikali. Lakini hiyo kauli ni zaidi ya wendawazimu. Ni muhimu na lazima ithibitike mwanzo hadi mwisho wake.
Kwenye hiyo video anasema "Wewe ni mkubwa kuliko Mungu"
Kwani kuna yeyote au chochote ambacho ni kikubwa kuliko Mungu?
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Back
Top Bottom