Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hiyo video anasema "Wewe ni mkubwa kuliko Mungu"Mkuu be fair, weka video yote inayoonyesha mwanzo hadi mwisho wa kauli hiyo ya huyo sheikh.
Hakuna shaka kuwa huyo sheikh ni chawa mkubwa wa viongozi wa serikali. Lakini hiyo kauli ni zaidi ya wendawazimu. Ni muhimu na lazima ithibitike mwanzo hadi mwisho wake.
DPP mteule wa Rais hutoa hiyo Nolle proseque, hivyo ni sawa Rais katoa, hajaingilia mahakama.Nolle prosequi.
Hakika Huu ni Msiba wa Fikra.Ni utapiamlo wa akili kuamini kuwa Tanzania ina viongozi wa dini.
Huyu hapa ni hao unaodai kuwa ni viongozi wa dini akidai kuwa Magufuli ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na mtume Mohamad enzi za uhai wa Magufuli.
View attachment 2136477
Mkakati wa Shehe Zuberi utimieNa hoja!
Agenda ya huo mkutano ulikuwa nini?
Kama nimekosea mtanisamehe!