Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

nimekata tamaa na mifumo ya taasisi zetu. inakuwaje mahakama,tume zinajiingiza kwenye jambo la kijinga kama hili. aisee inasikitisha sana kumsikia Mnyika akifafanua kuhusu Nasrat,ni lini alisaini fomu ikiwa uteuzi ulifanywa tarehe 20 na yeye katoka juzi
 
nadhani tumepata msimamo wa chama. Heko Mnyika tupo pamoja. Mbowe asimame akane kuhusika maana katajwa na Mnyika.
 
maana yake mihimili yote mitatu imehusika katika kufanya jinai dhidi ya katiba. daah tuna nchi hapo?
 
wandishi anauliza swali la msingi sana,safi. Katibu naye anapangua hoja kisomi. Hao wanaopiga makofi ni waandishi au wanachama? heeee heeee.
Mnyika is so smart and brainy anawauliza waandishi kwa nini mpaka sasa hawajamuuliza Mahera fomu imejazwa na nani?
 
Kwa mujibu wa Spika, Uteuzi wa majina umefanyika 20th Nov na Tume ya Uchaguzi.... Nasrat aliyekuwa rumande ametolewa usiku wa 23rd Nov Gelezani, tarehe 24th Nov anaapa kuwa mbunge.... lah kweli kwa Tanzania kila jambo lawezekana... Sasa usiulize uteuzi ulifanyikia humo humo gelezani ama? sasa hii ndiyo Tanzania mpya tunayoijenga.
 
Asante sana. Katibu mkuu. Jjmnyika nimeona mwanga wa uongizi bora ndani yako. Ngoja tusubiri hiyo ijumaa
Suala lipo wazi, ni muendelezo tu wa uvunjaji wa katiba na sheria wa waziwazi unaofanywa na Mamlaka.
 
Imekwisha hiyo.
Mnyika anasumbuliwa na mfumo dume.
Hapendi wanawake.
 
Makao ya chama chenye umri wa miaka 28 na nusu
Chama kilichokua kinataka kupewa dola[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyumba siyo maarifa kichwani. CCM haina hata kibanda cha makuti, nyumba zote ni za serikali ilizopora wakati wa chama kimoja. Au unasemaje
 
Nyumba siyo maarifa kichwani. CCM haina hata kibanda cha makuti, nyumba zote ni za serikali ilizopora wakati wa chama kimoja. Au unasemaje
Ni kweli nyumba sio maarifa kichwani, lakini kweli hapo ndio makao makuu ya chama kinachotafuta kishika dola? Chama chenye umri wa miaka 28 na nusu? Hapo ndio zinahifadhiwa nyaraka muhimu ZA Chama? Na ile ruzuku huwa mnaifanyia nini kama office ndio hiyo????

Umaridadi hujenga imani
 
Mbowe vs Mnyika, Lissu.. Chadema iko in total confusion. 😅😅 Don't ever play dirty games with CCM, utakufa ukijiona mchana kweupe.. Haaa
 
Back
Top Bottom