Viongozi wa kampuni ya kuzalisha umeme ya Songas wakutana na Balozi wa Marekani

Hiyo picha ipo wapi


  • Nigel Whittaker
    Managing Director
  • Anael Samuel
    Managing Director
  • Sebastian Kastuli
    Chief Financial Officer and Officer
  • Agatha Keenja
    Personnel Manager
Ipo ukurasa wa kwanza wa mada hii mkuu 'August'.
 
Ngoja tuangalie mwelekeo wa huyu mama ni upi hasa kuhusu mambo haya.
Mama alishasema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja. Kwa hiyo mawazo ya aliyemtangulia yanashabihiana na yake kwa mustakabali wa nchi yetu. Kwa nini watu wana mashaka? Wanataka Mama aseme nini sasa?
 
Lifanyie kazi hili wazo lieleweke vizuri mkuu, naona kuna matumaini katika wazo lako.

Tusichotaka kamwe, ni hawa viongozi kuendelea kutuhujumu.
Ni kweli halieleweki kwa wengi lakini lipo kwenye mfumo, utekelezaji wake umeshindikana kwa awamu zote pamoja na kuwepo kwenye mipango na kuwahi kujadiliwa bungeni sababu kuu ikiwa kuwa inagusa maslahi ya watu wachache. Anahitajika mtu mwingine mwenye utashi na uthubutu wa kuhakikisha kuwa kinachoamuliwa huko Bungeni kinatekelezwa.

Mali za nchi hii ni zetu sote. Serikiali inamiliki hisa za makampuni na mashirika ya umma kwa asilimia mia, viongozi tuliowachagua ndio wasimamizi wa hizi mali na kwa mamlaka tuliyowapa wanaweza kuamua kuyaendesha kwa kuegemea pale yalipo maslahi yao. Sehemu pekee ya mwananchi wa kawaida kuweza kuhoji juu ya mwenendo wa hizi mali ni kushiriki moja kwa moja kwenye umiliki wa hizi mali kupitia soko la hisa.
 
Songas ni matokeo ya uongozi wa kipumbavu ulioachia kila kitu kwa faida binafsi. Bila shaka nyuma ya songas kuna mapapa wa kiswahili wengi wa tawala zilizopita ukiondoa wa Hayati Magufuli.
 
Sio kwamba alikuwa anasubiri hicho kipindi, JPM alishawaambia, 2024 wasipoteze hata sekunde waondoke.

Panafrican na TPDC-GASCO ndo walikuwa wanajengewa uwezo na tayari walishamudu. Visima vya gesi inaendeshwa na watanzania chini ya Panafrican. Walijaribu ku-lobby kipindi cha JPM ndo wakamkera kabisaaaa, 2024 ilikuwa ishaisha, na hakuna aliyepiga kelele, sio balozi wala mstaafu yule.

Ngoja tuone KAZI iendelee kwa kukusanya kodi bila shuruti, kuwavutia wawekezaji, kuruhusu expatriates na kugawana sawa mapato na visiwa.
 
Hawawezi kukuelewa, mungu Antipas amewaambia wabishe mpaka kufa
 
Umenena vema advocate.
 

..tatizo mkataba unaisha 2024.

..na 2025 ccm inahitaji fedha za kampeni za uchaguzi mkuu.

..hapo ni lazima waweke rehani rasilimali za watanzania.

..tusubiri tuone itakuwaje.

cc tindo
 
Nipo nasali kwa nguvu ili wafuatao wasiwe wabunge wa JMT(2025)
, maana wao ndio MAKUWADI na chochoro za kupitisha ujinga kama huu, kama mnadhani wameachana na siasa mnajidanganya wapo wanajifua kweli kweli na wana backup ya mtandao hadi nje ya nchi!
. Ngereja
. Chenge (aka Joka la Makengeza)
. Chegeni
. Sospeter
. MwamiLuyagwa Kabwe
.......
Leo ngoja niishie hapa!
 

..nilitegemea walau mmoja kati ya hao apigwe marisasi kwa usaliti na kuuza rasilimali zetu. badala yake walenga shabaha wakaelekezwa kummaliza mtanzania aliyetumia ujana wake wote kupigania rasilimali za nchi hii.

cc Pascal Mayalla, Mag3, The Palm Tree , Richard, tindo
 
Fanya kazi brother tafuta riziki watoto wako wakale
 
..tatizo mkataba unaisha 2024.

..na 2025 ccm inahitaji fedha za kampeni za uchaguzi mkuu.

..hapo ni lazima waweke rehani rasilimali za watanzania.

..tusubiri tuone itakuwaje.

cc tindo
NMB, ALAF, TCC,TBL n.k, sijui zimebaki hisa kiasi gani baada ya kunamna gani na wastaafu kujichoteapo kwa mgongo wa uchaguzi pia.w
 
Hiyo picha ipo wapi


  • Nigel Whittaker
    Managing Director
  • Anael Samuel
    Managing Director
  • Sebastian Kastuli
    Chief Financial Officer and Officer
  • Agatha Keenja
    Personnel Manager
Agatha Keenja ni mtoto wa Charles Keenja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…