n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Kazi ya JK hiyo, nchi hii ina mijitu minyonyaji Sana.Symbion!
Kazi imeanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya JK hiyo, nchi hii ina mijitu minyonyaji Sana.Symbion!
Kazi imeanza.
Kwa kweli sijui, lakini inawezekana, maana na visomo vyao nje ya nchi , na interaction yao ina saidia kupata hizi kaziAgatha Keenja ni mtoto wa Charles Keenja?
Watanzania wenzetu wanatu blackmail mkuu.Kwa kweli sijui, lakini inawezekana, maana na visomo vyao nje ya nchi , na interaction yao ina saidia kupata hizi kazi
Ndiyo yupo, tumwombee asiogope vitisho.Najiuliza swali gumu; kwa sasa yupo mtu serikalini mwenye ubavu wa kusema NO baada ya JPM kutangulia mbele za haki?
Vv
Bwashee mabeberu hawakwepeki ndio wanafanya dunia iendelee kuwepo.Symbion!
Kazi imeanza.
Wazungu wanasema he got balls, he got the cojones.
Hivi mitambo ya ﹰSymbion aliyo kazindua ﹰﹰJK ﹰna ﹰObama uku wakipiga danadana mpira ilikuwa wapi?sasa kama mkataba unaelekea kuisha, balozi ama ubalozi wa marekani nchini utawasaidiaje?
Au ndio ataweza kushauri na kushawishi* serikali yetu dhidi ya hili dili?
anyway, kwa kuwa sijui kilichojiri kwa undani, ngoja niendelee kutega sikio zaidi...
* - ushawishi wa marekani ni hatari sana
Kwa nini hukuzikwa naye? Idadi ya wapumbavu kama wewe labda ingepungua Tanzania. Magufuli atakumbukwa kama anavyokumbukwa Adolf Hitler na si kwa mema bali kwa uovu wake dhidi ya Watanzania.Magufuri tutakukumbuka daima!
Eti Mungu wenu hakuona! Huyo ni mungu feki. Kwa Mungu wa kweli hii ni kufuru na kwa hii kauli, mbona shetani lazima atakuwa anashangilia? Mungu wa kweli aliona mateso waliyopitia Watanzania na akatuokoa na yule muovu.Katika hili tukio Mungu wetu hakuona shida za watanzania?
Hapa tunakubaliana kuwa kazi ya Mungu haina makosa. Mwanga ukipiga hodi giza hutokomea bila kuaga na kwa miaka mitano taifa la Tanzania lilikuwa kwenye giza totoro lakini Mungu akafanya kweli kwa kutuletea mwanga!Kazi ya Mungu haina makosa
Ndio, amesema sote tumesikia mkuu. Tunasubiri kuona. Kusikia tumesikia, imebaki kuona, au sio?Mama alishasema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja. Kwa hiyo mawazo ya aliyemtangulia yanashabihiana na yake kwa mustakabali wa nchi yetu. Kwa nini watu wana mashaka? Wanataka Mama aseme nini sasa?
Katika wabunge wote waliomo bungeni (hata wale ambao walipata ubunge wa chee), hakuna wanaoweza kulisemea hili jambo likaeleweka kwa watu wengi?Ni kweli halieleweki kwa wengi lakini lipo kwenye mfumo, utekelezaji wake umeshindikana kwa awamu zote pamoja na kuwepo kwenye mipango na kuwahi kujadiliwa bungeni sababu kuu ikiwa kuwa inagusa maslahi ya watu wachache. Anahitajika mtu mwingine mwenye utashi na uthubutu wa kuhakikisha kuwa kinachoamuliwa huko Bungeni kinatekelezwa.
Mali za nchi hii ni zetu sote. Serikiali inamiliki hisa za makampuni na mashirika ya umma kwa asilimia mia, viongozi tuliowachagua ndio wasimamizi wa hizi mali na kwa mamlaka tuliyowapa wanaweza kuamua kuyaendesha kwa kuegemea pale yalipo maslahi yao. Sehemu pekee ya mwananchi wa kawaida kuweza kuhoji juu ya mwenendo wa hizi mali ni kushiriki moja kwa moja kwenye umiliki wa hizi mali kupitia soko la hisa.
Una hoja mkuu...tatizo mkataba unaisha 2024.
..na 2025 ccm inahitaji fedha za kampeni za uchaguzi mkuu.
..hapo ni lazima waweke rehani rasilimali za watanzania.
..tusubiri tuone itakuwaje.
cc tindo
Nitaanzisha uzi wake muda si mrefu ili lijadiliwe humu.Katika wabunge wote waliomo bungeni (hata wale ambao walipata ubunge wa chee), hakuna wanaoweza kulisemea hili jambo likaeleweka kwa watu wengi?
Akina Zitto (at least yule niliyemjua zamani); pamoja na kwamba hayumo Bungeni hawezi akalisemea watu wakamsikiliza na pengine kumuunga mkono?
Njia yoyote inayotafuta wigo wa kuyakingia uhujumu haya mashirika inafaa kuungwa mkono.
Tafadhali mkuu GwaB, kwa nini usilitafakari vizuri wazo hili halafu ulianzishie mada hapa watu tulijadili kwa kina?
sijui kiundani sana ila Obama alijua ataweza kuleta ushawishi wa hali ya juu east africa (si nyumbani). alipokuja na kutembelea nchi hizi mbili jirani na kusepa, nadhani alisikitishwa sana na utendaji wa viongozi wao. na zile ripoti za takukuru zilivyo leak ndio akaona bure kabisa!Hivi mitambo ya ﹰSymbion aliyo kazindua ﹰﹰJK ﹰna ﹰObama uku wakipiga danadana mpira ilikuwa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
sijui kiundani sana ila Obama alijua ataweza kuleta ushawishi wa hali ya juu east africa (si nyumbani). alipokuja na kutembelea nchi hizi mbili jirani na kusepa, nadhani alisikitishwa sana na utendaji wa viongozi wao. na zile ripoti za takukuru zilivyo leak ndio akaona bure kabisa!
namshangaa na nakumuangalia sana jamaa na familia yake wanavyo hangaika! kosa alilofanya generali mmoja miaka fulani iliyopita huku 'wakijua' ni kazalendo wakati ni ka 'snitch' ka hali ya juu (na huku Mossad angefaa) nadhani walijuta sana!
Una hoja mkuu.
Nakuelewa. Unaweza kua sahihi kabisa kwa mtazamo wako.
Kwa CCM inapokua kwenye chaguzi ama kuchagua kupotea kwenye siasa na kupoteza uongozi ama kuuza rasilimali za Taifa watachagua kuuza rasilimali za Taifa.
Na haya ndiyo yanayoiondolea CCM heshima, kama chama kilichoasisiwa kusimamia maslahi ya nchi na wananchi wake wote.sidhani kama kuna wakati wowote ktk uhai wake ccm imekuwa ktk tishio kiasi cha kulazimika kuuza utu wao, kuchukua fedha chafu, au kuweka rehani rasilimali za nchi.
Kwenye mambo magumu kama haya yanayolikabili Taifa hili,hapa ndipo ninapoukumbuka umuhimu wa hayati JPM.Najiuliza swali gumu; kwa sasa yupo mtu serikalini mwenye ubavu wa kusema NO baada ya JPM kutangulia mbele za haki?
Vv