..nilitegemea walau mmoja kati ya hao apigwe marisasi kwa usaliti na kuuza rasilimali zetu. badala yake walenga shabaha wakaelekezwa kummaliza mtanzania aliyetumia ujana wake wote kupigania rasilimali za nchi hii.
cc
Pascal Mayalla,
Mag3,
The Palm Tree ,
Richard,
tindo