Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
M23Hapo kwenye kuutwaa mji wa goma sijaelewa vzr, uongozi wa mji wa Goma sasahivi uko kwenye mikono ya serikali ya Congo au m23?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M23Hapo kwenye kuutwaa mji wa goma sijaelewa vzr, uongozi wa mji wa Goma sasahivi uko kwenye mikono ya serikali ya Congo au m23?
Mkuu ni sawa na talban huko afghanstan, maana waliokuwa wanapigania uongoz ndo viongoz kwahyo automatically lazma kuwe shwari.Kwa jinsi M23 walivyoonyesha kuwa na nidhamu, wengi tulitegemea Goma itakuwa na amani, na hata itastawi chini ya M23. Nikistaafu nitaenda kuishi North Kivu, huko Masisi.
Hao serikali ya DRC itakuwa inawaandalia suprise. Kwa walipofikia hata wao wanajua kuna jambo litawapa toka serikali ya DRC.Huyu ni wa kunyongwa.