Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Viongozi wa Machinga Dar es Salaam walijitolea kuwapaga wamachinga wenzao wa Msimbazi, Kariakoo ili kutii amri ya Serikali ya kutofanya biashara maeneo yasiyo rasmi.
Baadhi ya machinga wameonesha upinzani kiasi cha kuzua vurugu ambapo polisi walilazimika kuingilia kati ili kuwaokoa viongozi hao.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewapongeza viongozi wa machinga kujitolea kufanya zoezi hilo la kuwapanga wenzao.
Zaidi, soma;
www.jamiiforums.com
Baadhi ya machinga wameonesha upinzani kiasi cha kuzua vurugu ambapo polisi walilazimika kuingilia kati ili kuwaokoa viongozi hao.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewapongeza viongozi wa machinga kujitolea kufanya zoezi hilo la kuwapanga wenzao.
Zaidi, soma;