Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
kua serious Leo ni maulid ujue!Nashauri uwanja wa chato international airport uwe Machinga international market center
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kua serious Leo ni maulid ujue!Nashauri uwanja wa chato international airport uwe Machinga international market center
Hakuna mgigoro, ni ujinga kuwaunga mkono illigal traders wasiolipa kodi na wana obstruct mipndombinu ya Jiji kwa kuwaendekeza kisiasa.Kama kuna mgogoro kati ya machinga na viongozi wao inaonesha hilo agizo la mkuu wa mkoa halikukubaliwa na wote, mwanzo mgumu, naamini baada ya muda machinga wataizoea hii hali mpya iliyowakuta na kuacha maisha yaendelee.
Machinga wana taarifa ya zaidi ya miezi kadhaa. Kabla mwenda zake hajaondoka na taarifa ya mkuu wa mkoa ina zaidi ya mwezi mmojakwa mfano na wewe uamke asubuhi ukute tu umefukuzwa kazi
Kaa kwa kutulia utafurahi na utaoneshwa ustaarabu unafananaje.Wewe nenda kwenu tu Burundi!
Wamachinga lazima wapangwe na miji yetu lazima iendeshwe kistaaarabu!
Hoja yako imepokelewaNashauri uwanja wa chato international airport uwe Machinga international market center
Nilikua nawatetea wamachinga kwenye GRP lachama nikaonekana mbaya siungi Sera ila wamachinga niwatu wachini nilishafanya hiyokazi sikunilipoacha nibaada yakua naingiza 300 kwasiku ila fwateni tuu sheria maboss wanataka kupitisha magari yaoView attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.
Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.
Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
Nilikua nawatetea wamachinga kwenye GRP lachama nikaonekana mbaya siungi Sera ila wamachinga niwatu wachini nilishafanya hiyokazi sikunilipoacha nibaada yakua naingiza 300 kwasiku ila fwateni tuu sheria maboss wanataka kupitisha magari yao
Jidanganye tu,kaa ukijua yule aliyekuwa anawapa jeuri hayupo waliobaki hawajali kitakachokukuta.View attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.
Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.
Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
SawaJidanganye tu,kaa ukijua yule aliyekuwa anawapa jeuri hayupo waliobaki hawajali kitakachokukuta.
Bahati nzuri mimi ni mkulima!!hata kama ningekuwa mfanyakazi yakanikuta hayo, nikukubaliana tu na hali na kujipanga upya, kwani maisha lazima yaendeleekwa mfano na wewe uamke asubuhi ukute tu umefukuzwa kazi
Na ndio sasa mnazidi kujiharibia kabisa, kwani haya tuliyategemea tulijua hasa kariakoo kukubaliana na hali ni ngumu, hata wale waliokuwa wakiwaonea huruma wataona kumbe ni wahuni tu!!kipigo kitakapoanza!!sasa mlitegemea hao viongozi wenu wawahamasishe kukataa kuhama??View attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.
Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.
Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
Viongozi wa CWT mmewanunua
Viongozi wa TUCTA mmewanunua
Viongozi wa WAMACHINGA nao mmewanunua? Tangu lini machinga akampanga machinga mwenzie? Pelekeni migambo wenu msiwagombanishe machinga kwa machinga.
Kwa mfano wewe uamke ukute nauza chupi, pombe na kondomu mbele ya nyumba yako kwenye kiwanja chakokwa mfano na wewe uamke asubuhi ukute tu umefukuzwa kazi
Hahahaha keyboard warrior, tarehe 1 November endelea kupanga bamia zako pale mtaa wa Msimbazi kama hujajuta kwanini ulikimbia kutoka kwenu huo Mpimbwe ukaja kuvamia miji ya watu.View attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.
Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.
Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
Nendeni pale kaburini kwake mkapange biashara zenu.Haondoki mtu hapa,
Kwani alieturuhusu tufanyie hapa sio ntu?