Viongozi wa Nchi za Niordicc wakifanya mkutano nyumbani kwa kiongozi wa Udanish jana 26.01.25

Viongozi wa Nchi za Niordicc wakifanya mkutano nyumbani kwa kiongozi wa Udanish jana 26.01.25

Madwari Madwari

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
1,825
Reaction score
3,085
1737975426705.png
 
Shule, barabara, masoko, usafiri, mahospitali nk nadhani yote yalifungwa ili waheshimiwa hao wasisikie kelele.
 
Duh aiseee halafu sasa sie waomba misaada tuna mbwembwe balaa
 
Leta ilo tukio Africa sasa kwa viongozi weusi nchi zenye shida lukuki,uone misafara na timu za mamia ya watu.
 
Back
Top Bottom