Viongozi wa SADC wasalimu amri wa Kagame! Wakubali kuondoa vikosi vyao CONGO DRC. Huu ni ushindi kwa Kagame na hatari kwa mataifa yanayomzunguka

Trump anachukua nafasi mkuu
 
Vita sio lelemama !
Vita havina macho !
Vita vinaleta umasikini !
Bado tunavikumbuka vita vya kumtandika Iddi Amin Dada !
 
Uchaguzi ndo nini? Kama mna mifumo mizuri ya kidemokrasia mnahofia nini?

Kwa Taifa lenye akili na maarifa uchaguzi unazuia shughuli za masingi kufanyika?
Kama mna mfumo au tuna mfumo,. Upande wako ni upi?
 
Nafikiri wewe bado mtoto wa maswala haya.
Ile mission ya Kongo ilikuwa Peace Mission, na haikuwa combat mission.
Sasa kama hakuna peace ya kuweka , na unakuta shari tu, basi hiyo Peace Mission haina maana.
Na huko siyo kushindwa bali kuepusha shari.
Kwa Kagame ajue moja, kama Kongo itaomba kuwepo Combat Mission kuwakabili M23. basi Kagames days are numbered.
 
Acha mbwembwe bro, hapo ni USA, hataki majeshi ya kulinda Amani, hapo Congo, USA ameingia mkataba na Congo wa kuchimba madini, hataki SADC wawepo, Rejea bifu la Trump, USA na Ramaphosa, south afrika, wa, south kupitia SADC wali kuwa wanaiba madini tu, kama anavyofsnya kagame, sasa hv madini yatachukuliwa na mzungu, America! Kagame atatoa wanajeshi kulinda wafanyakazi, wa, makampuni ya wazungu wakati wanachimba madini, anafsnya Hi you msumbiji,
Kagsme ni Attach Dog, blue eyed boy wa western, atatumiwa, wakimchoka, kaisha
 
Kama wenye nchi wenyewe hawawezi kuipigania nchi yao kwanini wengine waipiganie? Unafikiri Kagame anaweza kuvamia inchi moja ya ardhi yetu na tukafanya vikao vya SADC?
 
Mtamsingizia sana USA. Badilikeni, huu ni ujumbe tu mnatumiwa kuwa badilikeni maana yajayo yanafurahisha.
 
Kama wenye nchi wenyewe hawawezi kuipigania nchi yao kwanini wengine waipiganie? Unafikiri Kagame anaweza kuvamia inchi moja ya ardhi yetu na tukafanya vikao vya SADC?
Kwani EU walivyosimama na Ukraine inamaanisha Ukraine walishindwa kupigania nchi yao?

Labda uniambie, kwa namna mifumi yetu ilivyo compromised sasa hivi kipi kinamzuia Kagame au Rwanda kufanya kwetu kama walivyofanya Congo hata in the next 20 years?
 
Nalipenda jeshi langu la Rwanda .Jeshi langu la Rwanda limeweza kuwashinda majeshi yote ya SADC na EAC Kwa pamoja na kuwasambaratisha kama chapati.Na Kwa Sasa kazi umeisha maana FARDC tutaluchakaza Kwa siku mbili tu Hadi kishasa na kuanza kunywa chai Ikulu ya wacongoman.Asante sana rais wangu kagame Kwa kuwachakaza Hawa mercenaries wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…