Viongozi wa serikali mliopo Karimjee, yatafakarini matendo katika kuwatumikia wananchi mkiendelea kumuaga Bernard Membe

Viongozi wa serikali mliopo Karimjee, yatafakarini matendo katika kuwatumikia wananchi mkiendelea kumuaga Bernard Membe

Isalu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2022
Posts
504
Reaction score
665
Ninafuatilia kwenye runinga tukio la kuuaga mwili wa aliyekuwa mtumishi wa serikali na mwanadiplomasia mbobezi ndg Bernard Membe.

Ninawiwa kuwaasa viongozi wetu wa serikali, bunge na mahakama mliopewa dhamana ya kulitumikia taifa letu, kulitazama jeneza la aliyekuwa kiongozi kama ninyi mlivyo na kujitafakari matendo yenu na mwisho wa maisha yenu hapa duniani. Wengi wenu mmekuwa hamuwatendei haki watanzania,n Kwa namna mnavyoikiuka waziwazi katiba ya nchi ambayo mliapa kuilinda.

Hakuna haki ktk mahakama,kutotimiza wajibu wenu kuwaletea wananchi nafuu ktk maisha,kulindana kwenye ufisadi,polisi kutotenda haki kwa wananchi. Ni mengi yakusikitisha na kuhuzunisha yanayoendelea ktk mihimili ya nchi hii. Itoshe kusema tu kitafakarini kifo kupitia msiba wa Membe, na muangalie mienendo yenu ktk kulitumikia nchi na wananchi. Hukumu ya haki ipo mbele yenu na kifo ni muda wowote.
 
Hawajavaa barakoa na sioni kama wamepeana nafasi. Subiri ije kuwa kama mkutano wa Chato kuwapokea Wachina ulivyoisha, walifuatana
 
Ninafuatilia kwenye runinga tukio la kuuaga mwili wa aliyekuwa mtumishi wa serikali na mwanadiplomasia mbobezi ndg Bernard Membe. Ninawiwa kuwaasa viongozi wetu wa serikali, bunge na mahakama mliopewa dhamana ya kulitumikia taifa letu, kulitazama jeneza la aliyekuwa kiongozi kama ninyi mlivyo na kujitafakari matendo yenu na mwisho wa maisha yenu hapa duniani. Wengi wenu mmekuwa hamuwatendei haki watanzania,Kwa namna mnavyoikiuka waziwazi katiba ya nchi ambayo mliapa kuilinda. Hakuna haki ktk mahakama,kutotimiza wajibu wenu kuwaletea wananchi nafuu ktk maisha,kulindana kwenye ufisadi,polisi kutotenda haki kwa wananchi. Ni mengi yakusikitisha na kuhuzunisha yanayoendelea ktk mihimili ya nchi hii. Itoshe kusema tu kitafakarini kifo kupitia msiba wa Membe,na muangalie mienendo yenu ktk kulitumikia nchi na wananchi. Hukumu ya haki ipo mbele yenu na kifo ni muda wowote.
Tutakukumbuka kamarada BCM kwa kufanikisha vita vya Kagera na kufanikisha uundwaji wa serikali mpya baada ya kumchakaza NDULI IDDI AMIN DADA[emoji120]

Resty easy kamarada aaaamin aaaamin[emoji120]

Pole sana dada Cecy [emoji120]
 
Nendeni na Nyie mkazike mzoga wenu. Na ile Mizoga tarajiwa yote iliyosema Wazuri Hawafi tunamwomba Mungu aonyeshe Ukuu wake ili wajue Duniani sote tu Wasafiri ukiwemo wewe.
Sawa....

Tutamzika ndugu yetu......Kama ambavyo utauzika wewe pekee bila ya yeyote mzoga wa baba yako....
 
Mzee wetu marehemu BCM amekufa akiwa na nishani mbili za ushujaa....

1)Kutoka kwa nchi yetu adhimu

2)Kutoka kwa rais wa Comoro

#SiempreBCM[emoji120]
 
Ayatola anasema eti viongozi wa awamu ya 5 watamuomba msamaha marehemu Membe. Yaani anamtusi live rais Dkt Samia. Hahaha ila Ayatola ni idiot
 
Nendeni na Nyie mkazike mzoga wenu. Na ile Mizoga tarajiwa yote iliyosema Wazuri Hawafi tunamwomba Mungu aonyeshe Ukuu wake ili wajue Duniani sote tu Wasafiri ukiwemo wewe.
Usifanye wala Bata wakose amani maana wamefika 2025 kabla haijapita. Kafa mshamba huyu mluga luga Bora afe tule nchi Mungu kawasikia yaani Mh mmmm mtaita maji MMA maana Karima Karima ccm itawatoa mafuwa
 
Usifanye wala Bata wakose amani maana wamefika 2025 kabla haijapita. Kafa mshamba huyu mluga luga Bora afe tule nchi Mungu kawasikia yaani Mh mmmm mtaita maji MMA maana Karima Karima ccm itawatoa mafuwa
Lainishaa code mkuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe Una nitag, ukisha andikoooo.
 
Back
Top Bottom