Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
 
Kalale mkuu,inatakiwa team mwenyeji ahakikishe mgeni anapata traffic police escort , ndiyo maana wao walilalamika walipata pikipiki moja kama escort wao hata moja wamekataa kutoa .
Halafu hiyo issue yako ya kukaa south africa kila siku unaiongelea huku utadhani ulikuwa heaven?
Simba anapita hadi semi final pole in advance anzeni kuandaa makala za kutuma magazeti ya libya kuhusu dirty tricks za simba
 
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Andiko limejaa ushamba na ulimbukeni.
 
Kalale mkuu,inatakiwa team mwenyeji ahakikishe mgeni anapata traffic police escort , ndiyo maana wao walilalamika walipata pikipiki moja kama escort wao hata moja wamekataa kutoa .
Halafu hiyo issue yako ya kukaa south africa kila siku unaiongelea huku utadhani ulikuwa heaven?
Simba anapita hadi semi final pole in advance anzeni kuandaa makala za kutuma magazeti ya libya kuhusu dirty tricks za simba
Huitaji pikipiki ya trafiki kule, acha ujinga.

Sipendi kujikweza, my first trip ni Canada, hakuna issue ya Canada ndio maana sina cha kushare my experience.

Canso Nova Scotia
 
Sasa mambo ya Simba yanakuhusu nini? Kama kudanganywa tumedanganywa sisi mashabiki wa Simba wewe unawashwa nini
Siwashwi, nataka mjuwe kule kuna genge la matapeli.

Simba iko kwenye maisha mazuri kule kuliko wenyeji wao, ukweli ndio huo.

Muulize mtu yeyote anayelijuwa vizuri Jiji la Johannesburg Sandton ni wapi? Anaweza kukaa hata miaka 10 asikanyage Sandton, hapo ndipo wamefikia Simba.

Usilishwe matango pori, naamini hata wachezaji wa Simba wanatamani mechi iwe siku 10 zijazo.
 
Siwashwi, nataka mjuwe kule kuna genge la matapeli.

Simba iko kwenye maisha mazuri kule kuliko wenyeji wao, ukweli ndio huo.

Muulize mtu yeyote anayelijuwa vizuri Jiji la Johannesburg Sandton ni wapi? Anaweza kukaa hata miaka 10 asikanyage Sandton, hapo ndipo wamefikia Simba.

Usilishwe matango pori, naamini hata wachezaji wa Simba wanatamani mechi iwe siku 10 zijazo.
Wewe ni shabii wa timu gani?
 
Huitaji pikipiki ya trafiki kule, acha ujinga.

Sipendi kujikweza, my first trip ni Canada, hakuna issue ya Canada ndio maana sina cha kushare my experience.

Canso Nova Scotia
we kila siku nakuambia ni limbukeni ulitoka kwenu mbwinde ukafika south africa basi imekuwa tabu kila uzi unahadithia mitaa ya huko kwa kujidai kabisa..soma hapa sheria za CAF ukimaliza usijibu lolote kabisa maana nitapasua computer kwa hasira , nakuambia ukimaliza shut the https://jamii.app/JFUserGuide up uendelee na story zako za huko mbinguni sauzi afrika
Ku ensure security ni pamoja na kuhakikisha wageni wako wanafika hotelini salama ndiyo maana Hamis kisiwa na balozi msaidizi wa south africa waliwasindikiza hao mabwana zenu wa kizulu hadi huko kunduchi na siku wanaenda mazoezini wakapewa escort ya pikipiki ,wao wamekataa hata kuwalinda simba wakiwa mazoezini simba wamekodi private firm kuwalinda unakuja kutetea ujinga kisa una liteam linalotolewaga mechi mbili za kwanza

Screenshot 2022-04-23 at 02.25.08.png
 
Shida jitu linataka lionekane tu liliwahi kufika sauzi ambapo hata mateja ya mbagala yapo yanaishi huko, hivi kuna sehemu team ngeni inahitaji ulinzi kama south africa? Ahly walipigwa mawe kwenye basi lao na mashabiki wa mamelodi sundowns

Team mwenyeji inakataa kumsindikiza mgeni hotelini anakuja mtu anatetea kisa anaijua hiyo mitaa, heee aiseee chuki za utopolo zinatisha sana
 
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Tungekuwa tunajitambua akili kwa kukana hizi dini za kuletewa kama ulivyofanya wewe kukanusha hizi habari za Simba mbona waafrika tungekuwa na maendeleo.
 
we kila siku nakuambia wewe ni limbukeni ulitoka kwenu mbwinde ukafika south africa basi imekuwa tabu kila uzi unahadithia mitaa ya huko kwa kujidai kabisa..soma hapa sheria za CAF ukimaliza usijibu lolote kabisa maana nitapasua computer kwa hasira , nakuambia ukimaliza shut the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up uendelee na story zako za huko mbinguni sauzi afrika
Ku ensure security ni pamoja na kuhakikisha wageni wako wanafika hotelini salama ndiyo maana Hamis kisiwa na balozi msaidizi wa south africa waliwasindikiza hao mabwana zenu wa kizulu hadi huko kunduchi na siku wanaenda mazoezini wakapewa escort ya pikipiki ,wao wamekataa hata kuwalinda simba wakiwa mazoezini simba wamekodi private firm kuwalinda unakuja kutetea ujinga kisa una liteam linalotolewaga mechi mbili za kwanza

View attachment 2197096
Wewe Simba imepokewa na ubalozi wa Tanzania South Africa, ni tena unataka?

Hapa tunaweka kumbukumbu sawa tu, safari yangu ya kwanza nje ya Bongo ni Canada, siku 2pac Shakur anapigwa risasi Nevada nilikuwa Athens Greece tumetoka Pireaus home body kwenda kuangalia show ya Mike Tyson akitandika mtu round ya kwanza asubuhi ndio tunaona kwenye tv 2Pac Shakur was short dead, wewe fala unataka kunieleza nini? Ade gamisu.
 
Shida jitu linataka lionekane tu liliwahi kufika sauzi ambapo hata mateja ya mbagala yapo yanaishi huko, hivi kuna sehemu team ngeni inahitaji ulinzi kama south africa? Ahly walipigwa mawe kwenye basi lao na mashabiki wa mamelodi sundowns

Team mwenyeji inakataa kumsindikiza mgeni hotelini anakuja mtu anatetea kisa anaijua hiyo mitaa, heee aiseee chuki za utopolo zinatisha sana
Mamelodi Sundowns kwa South Africa ni kama Azzam tu.
 
Wewe ni matako kabisa, Simba imepokewa na ubalozi wa Tanzania South Africa, ni tena unataka?

Hapa tunaweka kumbukumbu sawa tu, safari yangu ya kwanza nje ya Bongo ni Canada, siku 2pac Shakur anapigwa risasi Nevada nilikuwa Athens Greece tumetoka Pireaus home body kwenda kuangalia show ya Mike Tyson akitandika mtu round ya kwanza asubuhi ndio tunaona kwenye tv 2Pac Shakur was short dead, wewe fala unataka kunieleza nini? Ade gamisu.
Sasa wwewe kinyeo unayejifanya mjuzi umeshindwa kusoma hata article ya CAf niliyokuwekea hapo ? we hadithia yote yooote ukimaliza uhadithie hata ulivyokuwa unafirigiswa narudie tena soma hiyo article ya CAF that is if unajua hata kusoma , mabwana zenu wa kizulu walipokelewa na maafisa wa simba na ubalozi wao na maafisa wa simba walihakikisha wamewasindikiza hadi huko Ramda hotel walipochagua wao

Sababu ya wewe kutetea kwamba wasipewe security na host wao ni ni nini? embu kuwa mwelewa bwana unakuwa kama haukanyagwi wakati unakanyagwa vizuri tu hadi ubongo una kinyesi?

Haya eheee ikawaje sasa Tyson? aisee we jamaa inaonekana tajiri sana 😁😅😂 nyoko nyoko nyooko kama litoto vile eti simba wachezaji hawatamani kuondoka sandton wake hapo siku 10 unadhani kila mtu limbukeni kama wewe si uhakikishe li team lenu linafika hata robo fainali wawe wana enjoy hayo masiha unayosema, mmejaa chuki hata mkinya kinyesi chenu cha njano na kijani kinanuka kama sumu
Screenshot 2022-04-23 at 02.25.08.png
 
JAMENI WANASIMBA TULIPUUZE HILI JAMAA
Siyo yeye tu wengi hata instagram wamefurahi kusikia simba kanyimwa ulinzi yaani hawa hata wakisikia wachezaji wamevamiwa wametekwa au kupigwa risasi watafurahi sanaaa cha muhimu simba wamekodi private firm kuwalinda tuombeee usalama wao tu maana ile nchi ni lawless kabisa
 
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Wewe huna hoja na hujui maana ya Escort kabisa.
Sasa ikifungwa simba unafaidi nini.Na simba inasonga mbele.
 
Back
Top Bottom