Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Ushabiki wa kibongo unaweza kukufanya uwe bonge la fala. Hata kufikiria huwezi. Sasa ni kama tumeshikiwa akili na mwanamke. Hata kama waipenda team, bora kujiongeza. Kesho tusianze kumrushia mawe tena.
 
Viongozi wameshajua mashabiki wao ni mbumbumbu Kwaiyo wanatengeneza mazingira ya kuonyesha wamefungwa na kutolewa kwenye mashindano Sababu hawakupewa pikipiki ya kuwaongoza.
 
Nadhani ni mwendelezo wa chuki na roho mbaya kutoka mashabiki wa Gongowazi.

Kuna ambao wanafanya kazi Azam TV, unaposema ni uongo na propaganda kwa Camera za Azam TV wao wanakudharau kuona hujui mambo.

Na Camera za Ayoma Tv ambao wapo kule Afrika Kusini walioripoti hii taarifa nao wanadanganya ila wewe ndo mkweli.
 
Utopooo tulia Barba anajua anachofanya
Anachokifanya ni kuwadanganya kwa sababu ya umaskini.

Ingekuwa ni Uefa saa hizi mashabiki wa Simba wengi wangekuwa wameenda Johannesburg kuisapoti timu na nafasi ya uongo kama huu isingekuwepo.

Kutoka Dar mpaka Johannesburg nadhani ni kilometers 5000 tu.
 
Siwashwi, nataka mjuwe kule kuna genge la matapeli.

Simba iko kwenye maisha mazuri kule kuliko wenyeji wao, ukweli ndio huo.

Muulize mtu yeyote anayelijuwa vizuri Jiji la Johannesburg Sandton ni wapi? Anaweza kukaa hata miaka 10 asikanyage Sandton, hapo ndipo wamefikia Simba.

Usilishwe matango pori, naamini hata wachezaji wa Simba wanatamani mechi iwe siku 10 zijazo.
Hayo maisha mazuri si wamelipia mkuu?
Ni kama vile wamekukera, maana juzi ulikuwa unaandika mengine humu kwamba simba watakiona cha moto kutoka kwa mashabiki.....
Escort ni lazima na nadhani ni utaratibu wa CAF sio suala la kusema hapa ni salama hapahitaji Escort.
 
Hayo maisha mazuri si wamelipia mkuu?
Ni kama vile wamekukera, maana juzi ulikuwa unaandika mengine humu kwamba simba watakiona cha moto kutoka kwa mashabiki.....
Escort ni lazima na nadhani ni utaratibu wa CAF sio suala la kusema hapa ni salama hapahitaji Escort.
Hawajanikera, nataka mashabiki mbumbumbu wasiojuwa lolote wasidanganywe, Simba ina bonge la good time South Africa kuliko wanavyotaka kudanganya mashabiki, hili ndilo nalikataa na nimeona nitumie jukwaa la JF linasomwa na wengi propaganda hizi haziwezi kufanya kazi.

Vita na Orlando ipo uwanjani na si nje ya uwanja huo ndio ukweli na Watanzania wasidanganywe.
 
Siwashwi, nataka mjuwe kule kuna genge la matapeli.

Simba iko kwenye maisha mazuri kule kuliko wenyeji wao, ukweli ndio huo.

Muulize mtu yeyote anayelijuwa vizuri Jiji la Johannesburg Sandton ni wapi? Anaweza kukaa hata miaka 10 asikanyage Sandton, hapo ndipo wamefikia Simba.

Usilishwe matango pori, naamini hata wachezaji wa Simba wanatamani mechi iwe siku 10 zijazo.
Mkuu Sandton ni wapi wewe uliyeishi Sandton?
 
Sasa wwewe kinyeo unayejifanya mjuzi umeshindwa kusoma hata article ya CAf niliyokuwekea hapo ? we hadithia yote yooote ukimaliza uhadithie hata ulivyokuwa unafirigiswa narudie tena soma hiyo article ya CAF that is if unajua hata kusoma , mabwana zenu wa kizulu walipokelewa na maafisa wa simba na ubalozi wao na maafisa wa simba walihakikisha wamewasindikiza hadi huko Ramda hotel walipochagua wao

Sababu ya wewe kutetea kwamba wasipewe security na host wao ni ni nini? embu kuwa mwelewa bwana unakuwa kama haukanyagwi wakati unakanyagwa vizuri tu hadi ubongo una kinyesi?

Haya eheee ikawaje sasa Tyson? aisee we jamaa inaonekana tajiri sana [emoji16][emoji28][emoji23] nyoko nyoko nyooko kama litoto vile eti simba wachezaji hawatamani kuondoka sandton wake hapo siku 10 unadhani kila mtu limbukeni kama wewe si uhakikishe li team lenu linafika hata robo fainali wawe wana enjoy hayo masiha unayosema, mmejaa chuki hata mkinya kinyesi chenu cha njano na kijani kinanuka kama sumu
View attachment 2197104
Mbumbumbu limekasirika hatar
 
Hawajanikera, nataka mashabiki mbumbumbu wasiojuwa lolote wasidanganywe, Simba ina bonge la good time South Africa kuliko wanavyotaka kudanganya mashabiki, hili ndilo nalikataa na nimeona nitumie jukwaa la JF linasomwa na wengi propaganda hizi haziwezi kufanya kazi.

Vita na Orlando ipo uwanjani na si nje ya uwanja huo ndio ukweli na Watanzania wasidanganywe.
Wanagoodtime sababu wapovizuri kiuchumi....
Na ile kusema hawajapewa escort ilikuwa ni mockery ndio maana unaona kuna Emoji mbele....
 
Back
Top Bottom