Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we kabwili unateseka ukiwa wapiMafanikio ni kombe we kolo
Hapana hawajapewaescort kweli hata kwenye mazoezi wamenyimwa kabisa ingawa articles za CAF zina demand hivyo hakuna mahala CAf wamesema barabara za south africa ni nzuri team isipewe escort na kuhakikishiwa safetyWanagoodtime sababu wapovizuri kiuchumi....
Na ile kusema hawajapewa escort ilikuwa ni mockery ndio maana unaona kuna Emoji mbele....
Naona umefurahi kupewa darasa kuhusu SA hongera sana kwa hiyo umejifunza nini? wachezaji wa simba hawatamani kuondoka sandton wanakula good time? kingine ? umejifunza kwamba sheria za CAf haziihusu south africa nchi ambayo kufa ni nje nje na kutekwa ni issue ndogo...jipige kifuani sema mimi ni boya sanaKwenye huu uzi Makolo wamechachamaa baada ya kuambiwa ukweli na kupewa darasa kuhusu S.A
Bora huyo aisee kuliko kudanganywa na michepuko ya kiume ya mwarabu, anaifirigisa kwelikweli ikija kuongea na waandishi inadanganya vitu vya ajabuajabu na utopwinyo wanashangiliaUshamba ni kufurahia kudanganywa na mchepuko wa mhindi
Mbumbumbu katika ubora wakoNaona umefurahi kupewa darasa kuhusu SA hongera sana kwa hiyo umejifunza nini? wachezaji wa simba hawatamani kuondoka sandton wanakula good time? kingine ? umejifunza kwamba sheria za CAf haziihusu south africa nchi ambayo kufa ni nje nje na kutekwa ni issue ndogo...jipige kifuani sema mimi ni boya sana
Naona boya umetoka kupewa somo kwamba sheria za CAf hazi apply south africa na kwamba wachezaji wa simba wanatamani wakae siku 10 huko basi umefuurahi umepewa madini kichwani kwako unajiona boonge la mjanjaMbumbumbu katika ubora wako
Ndiyo lengo lake kila mada kuhusu simba lazima ajisifu alikuwa jO burg, nchi ambayo mtu anafika hata kwa bus na mateja ya mbagala na ilala yamejaa huko, mbaya zaidi kuna watu wanaliamini kwamba articles za CAf kuhusu safety ya visiting teams hazi apply huko south africaLengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.
Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
short=shot... 2Pac Shakur was short dead, wewe fala unataka kunieleza nini? ...
Nateseka nikiwa chumban na bi mku.bwa wa.ko tunamtafuta mdogo wakowe kabwili unateseka ukiwa wapi
Mbumbumbu mwingine huyuLengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.
Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
Kwamba TUPAC was short dead sio? Ndomaana tunakwambia wewe ni kiazi tu😂Wewe ni matako kabisa, Simba imepokewa na ubalozi wa Tanzania South Africa, ni tena unataka?
Hapa tunaweka kumbukumbu sawa tu, safari yangu ya kwanza nje ya Bongo ni Canada, siku 2pac Shakur anapigwa risasi Nevada nilikuwa Athens Greece tumetoka Pireaus home body kwenda kuangalia show ya Mike Tyson akitandika mtu round ya kwanza asubuhi ndio tunaona kwenye tv 2Pac Shakur was short dead, wewe fala unataka kunieleza nini? Ade gamisu.
Hakuna sehemu niliyokutukana ila naona unaforce kutukanwa.Mbumbumbu mwingine huyu
Kolo maana yake ni mjomba, utopolo maana yake kwa kihehe ni kitu kilicholegea kama mlenda kisichoeleweka...unadhani kolo ni tusi? jitafakari sanaKolo ushalewa bila shaka umefura kwelikweli
ukimsoma kwa makini uyu mleta mada utagundua ni mshamba tu.tena mshamba wa kina kirefu cha bahari.Lengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.
Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
Ninachofahamu Simba huwa wanafikia sehemu inaitwa Petra Guest House ipo maeneo ya New Johannesburg ambako kutoka Airport hadi hapo wanapofikia sio mbali na hakuna msongamano wowote wa magari.Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.
Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.
Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.
Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?
Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.
Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.
Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.
Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Unaifahamu kazi ya escort?Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.
Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.
Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.
Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?
Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.
Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.
Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.
Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Tena uliotukuka, hivi maana ya escorting ni mpaka kuwe na foleni au trafic light?Andiko limejaa ushamba na ulimbukeni.