Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Viongozi wa Simba hasa Barbara wasidhani kila Mtanzania ni mbumbumbu au hatujatembea na hatujuwi lolote.

Kwenye huu uzi Makolo wamechachamaa baada ya kuambiwa ukweli na kupewa darasa kuhusu S.A
 
Wanagoodtime sababu wapovizuri kiuchumi....
Na ile kusema hawajapewa escort ilikuwa ni mockery ndio maana unaona kuna Emoji mbele....
Hapana hawajapewaescort kweli hata kwenye mazoezi wamenyimwa kabisa ingawa articles za CAF zina demand hivyo hakuna mahala CAf wamesema barabara za south africa ni nzuri team isipewe escort na kuhakikishiwa safety

Sarcasm yote hiyo hapo ni kutokan ana ile kauli kwamba mkija kwetu tutawapokea vizuri na kuwaonyesha south african hospitality
 
Kwenye huu uzi Makolo wamechachamaa baada ya kuambiwa ukweli na kupewa darasa kuhusu S.A
Naona umefurahi kupewa darasa kuhusu SA hongera sana kwa hiyo umejifunza nini? wachezaji wa simba hawatamani kuondoka sandton wanakula good time? kingine ? umejifunza kwamba sheria za CAf haziihusu south africa nchi ambayo kufa ni nje nje na kutekwa ni issue ndogo...jipige kifuani sema mimi ni boya sana
 
Ushamba ni kufurahia kudanganywa na mchepuko wa mhindi
Bora huyo aisee kuliko kudanganywa na michepuko ya kiume ya mwarabu, anaifirigisa kwelikweli ikija kuongea na waandishi inadanganya vitu vya ajabuajabu na utopwinyo wanashangilia
 
Naona umefurahi kupewa darasa kuhusu SA hongera sana kwa hiyo umejifunza nini? wachezaji wa simba hawatamani kuondoka sandton wanakula good time? kingine ? umejifunza kwamba sheria za CAf haziihusu south africa nchi ambayo kufa ni nje nje na kutekwa ni issue ndogo...jipige kifuani sema mimi ni boya sana
Mbumbumbu katika ubora wako
 
Lengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.

Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
 
Lengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.

Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
Ndiyo lengo lake kila mada kuhusu simba lazima ajisifu alikuwa jO burg, nchi ambayo mtu anafika hata kwa bus na mateja ya mbagala na ilala yamejaa huko, mbaya zaidi kuna watu wanaliamini kwamba articles za CAf kuhusu safety ya visiting teams hazi apply huko south africa
 
Lengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.

Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
Mbumbumbu mwingine huyu
 
Wewe ni matako kabisa, Simba imepokewa na ubalozi wa Tanzania South Africa, ni tena unataka?

Hapa tunaweka kumbukumbu sawa tu, safari yangu ya kwanza nje ya Bongo ni Canada, siku 2pac Shakur anapigwa risasi Nevada nilikuwa Athens Greece tumetoka Pireaus home body kwenda kuangalia show ya Mike Tyson akitandika mtu round ya kwanza asubuhi ndio tunaona kwenye tv 2Pac Shakur was short dead, wewe fala unataka kunieleza nini? Ade gamisu.
Kwamba TUPAC was short dead sio? Ndomaana tunakwambia wewe ni kiazi tu😂

Short = shot
Kemtorn = Kempton
 
Lengo la mleta maada ni watu wajue kuwa amewahi kufika SA, ama kweli ushamba ni mzigo.

Sehemu ambayo hata magari ya transit yanafika nayo ni ya kujekwezea? Siku ukifanya safari ya masaa 12 upo hewani utakuja kunya sana humu.
ukimsoma kwa makini uyu mleta mada utagundua ni mshamba tu.tena mshamba wa kina kirefu cha bahari.
 
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Ninachofahamu Simba huwa wanafikia sehemu inaitwa Petra Guest House ipo maeneo ya New Johannesburg ambako kutoka Airport hadi hapo wanapofikia sio mbali na hakuna msongamano wowote wa magari.
 
Naomba kudeclare kabisa mimi siyo mshabiki wa Simba, lakini kwenye upotoshaji lazima tuwekane sawa.

Simba imeshuka na pipa kwenye uwanja wa Oliver Tambo airport hayo maeneo panaitwa Kemtorn park ndipo ulipo uwanja wa ndege.

Kutoka kemtorn park mpaka Sandton (Uzunguni) hotel waliyofikia Simba kuna highway za kupita huingii Johannesburg City center kutokana na maendeleo makubwa ya wenzentu ile highway inakupeleka direct Sandton hata wanaokwenda Pretoria nadhani wanaweza kutumia highway hiyo.

Kuna video clip za ubabaishaji na propaganda uchwara eti Simba hawakupewa escort kwenye msafara wao hivi ni vichekesho, muulizeni Barbara kuanzia airport hadi hotelini msafara wa Simba ulisimama wapi au wapi walikutana na taa za barabarani ili wasimame?

Simba ijiandae uwanjani na si kudanganya watu eti hawakupewa escort wakati kwa miundombinu ya Johannesburg hakuna sehemu utasimama kutoka Kemtorn park ulipo uwanja wa ndege wa Oliver Tambo moaka Sandton kwenye hotel waliyofikia Simba ni uzunguni ni zaidi ya Masaki kwa Bongo, wako fresh na hakuna mzulu anakanyaga Sandton labda ni mfanyakazi na baada ya muda wa kazi anaondoka na hakuna hata route ya metro treni ndio ujuwe wazungu walivyo jeuri.

Kwahiyo msidanganywe na viclip au mtu yeyote Simba ipo kwenye sehemu salama kuliko wenyeji wao Orlando, usidanganywe eti kuna hujuma yoyote si kweli, tunataka kuona Simba icheze mpira jumapili na siyo hizi propaganda uchwara za camera za Azzam.

Mimi nimechukia leo kwa hawa wanahabari kudhani kila Mtanzania ni zuzu.

Orlando kama wataruhusiwa kuujaza uwanja wa FNB basi ndio mwisho wa safari ya Simba na hatuwadai kitu, walipofika wamejitahidi.
Unaifahamu kazi ya escort?
 
Back
Top Bottom