Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah mwamba kumbe ulikuwa jirani tu pale...😁😁😁 Juice World alikuwa mtu wangu sana aisee...Jirani yangu kabisa kule alikozaliwa.Ukiachana na kutujulisha umri wako kiaina mi pia nina stori ya kushare hapo kama utakuwa interested
Mi wakati juice wrld ana bwiya yale madude nilikuwa naye pale airpot na mi ndio mtu pekee niliyesikia neno lake la mwisho
Tuendelee na mastori ya mambele
Orlando hawaziwezi figisu, si home si ugenini wanaweza fanya conspiracy zao zikafanikiwaDaah mwamba kumbe ulikuwa jirani tu pale...😁😁😁 Juice World alikuwa mtu wangu sana aisee...Jirani yangu kabisa kule alikozaliwa.
Tuwaombee ndugu zetu Simba kesho ikitokea isifike 5....wanawakilisha Taifa .
Wale Orlando Pirates kama lilivyo jina lao ni Maharamia kweli kweli ..wanaweza kutuletea mambo ya ajabu ajabu sana kiwanjani.
Hao ndio wale wapuuzi wanakuwa na vichenga chenga kama waganga wa usiku.
#Simba mbele
Elewa mada amekuambia tupac was shortKwani 2pac alivyopigwa risasi alidedi hakukaa hospital siku kadhaa?
Kama huna jibu ya nilichouliza piga kimyaElewa mada amekuambia tupac was short
Badala ya kuuliza futi ngapi we unakuja kusema habari za kufa
You have asked the wrong questionKama huna jibu ya nilichouliza piga kimya
Mimi nimeikubali Sana hii information,ila ujue watanzania hatupendi vya kwetu,kwa hali ya soka la simba,tunatakiwa kujipongezaSiwashwi, nataka mjuwe kule kuna genge la matapeli.
Simba iko kwenye maisha mazuri kule kuliko wenyeji wao, ukweli ndio huo.
Muulize mtu yeyote anayelijuwa vizuri Jiji la Johannesburg Sandton ni wapi? Anaweza kukaa hata miaka 10 asikanyage Sandton, hapo ndipo wamefikia Simba.
Usilishwe matango pori, naamini hata wachezaji wa Simba wanatamani mechi iwe siku 10 zijazo.
MbumbumbNaona boya umetoka kupewa somo kwamba sheria za CAf hazi apply south africa na kwamba wachezaji wa simba wanatamani wakae siku 10 huko basi umefuurahi umepewa madini kichwani kwako unajiona boonge la mjanja
Mamelodi naye kabanwa huko, huenda akang'olewaOrlando hawaziwezi figisu, si home si ugenini wanaweza fanya conspiracy zao zikafanikiwa
Afu wazo la kufungwa kesho ondoa, kesho ni kipigo heavy mwanzo mwisho hakuna kupaki basi.
Why wrong? Amesema anatoka kwenye show zake anapata taarifa pac amepigwa risasi na amekufa ndiomaana nikauliza pac alivyopigwa risasi alidedi hapo hapo au alikaa hospitali siku kadhaa? 2pac alifariki siku sita baada ya kupigwa risasiYou have asked the wrong question
Kwanza hauko na hujawahi hata Kusafiri na Kuishi Afrika Kusini bali tuko wote hapa Tandale Dar es Salaam kwa Mama Mfuga Paka.
Pili Wewe ni Mwandamizi wa Yanga SC ( hasa upande wa Habari na Mawasiliano ) na umeileta hii kama sehemu ya Kiherehere chako.
Tatu tunajua uko katika Payroll ya GSM na hapa upo katika Mkakati wa Kuichafua Simba SC kwa Nguvu zote.
Mwisho Simba SC Kesho anavuka Nusu.
Okay...tutakutana tena hapa baada ya mechiAvuke kwenda wapi
Unaota . Narudia tena Kesho ndio mwisho wenu .
Naelewa point yako na uko sahihi kwenye hilo ila mi nime criticize typing error yake alivyoandika short badala ya shotWhy wrong? Amesema anatoka kwenye show zake anapata taarifa pac amepigwa risasi na amekufa ndiomaana nikauliza pac alivyopigwa risasi alidedi hapo hapo au alikaa hospitali siku kadhaa? 2pac alifariki siku sita baada ya kupigwa risasi
Pole sana!! Sisi tunaongelea taratibu za CAF zinaelekeza mgeni lazima apewe trafic/police escort na hilo liko wazi!! Watu wakianza kueleza nchi walizotembelea utajificha, wala hapa siyo mahali pake. Hapa tuongelee taratibu zilizopo full stop!!Huitaji pikipiki ya trafiki kule, acha ujinga.
Sipendi kujikweza, my first trip ni Canada, hakuna issue ya Canada ndio maana sina cha kushare my experience.
Canso Nova Scotia