Hahaha.TFF na bodi ya ligi watakuja kusema kwa mazingira yaliyotokea simba ilipoenda kwenye mazoezi siku ya pili mechi ingekuwa na vurugu kwahiyo wameahirisha ili kuepuka mazingira hatarishi,usishangae jeshi la polisi nao wakaja na tamko kwamba kungekuwa na hatari ya kiusalama. Hapo kisingizio tayari ,siku ya mechi itapangwa,mgeni rasmi atakuwa rais,viongozi wa siasa kama kina Mwigulu watashauri viongozi wa Yanga maana wanajipendekeza kwa mama,halafu hamna mtu atakataa na mechi itachezwa.
Na bodi ya ligi wamelijua hili kwamba yanga kuna watu wa serikali wengi na pia hersi ana interest za kisiasa lazima atashinikizwa na akina mkuchika,mavunde, mwigulu akubali mechi irudiwe! Hana uwezo wa kukataa ndo maana ameshindwa kupost chochote! Wenzake wakamuwah kuonyesha msimamo wao akina arafat makamu na mwanasheria Patrick. Na timu zote zikinyimwa point simba ana uwezekano mkubwa kuwa bingwa maana gap la point litabaki ni moja na yanga kabikisha mechi ngumu na azam na tabora! Wakati simba hana mechi ngumu tena! Hii mechi simba wametumia akili sana wangecheza wangefungwa na gap lingekuwa kubwa na yanga angechukua ubingwa,wakaona bora wasicheze ili kupunguza gap!TFF na bodi ya ligi watakuja kusema kwa mazingira yaliyotokea simba ilipoenda kwenye mazoezi siku ya pili mechi ingekuwa na vurugu kwahiyo wameahirisha ili kuepuka mazingira hatarishi,usishangae jeshi la polisi nao wakaja na tamko kwamba kungekuwa na hatari ya kiusalama. Hapo kisingizio tayari ,siku ya mechi itapangwa,mgeni rasmi atakuwa rais,viongozi wa siasa kama kina Mwigulu watashauri viongozi wa Yanga maana wanajipendekeza kwa mama,halafu hamna mtu atakataa na mechi itachezwa.
Yanga hawawezi kupewa ushindi labda kama Simba wangegomea mechi,tamko la bodi kuahirisha mechi limewavua Simba hatia ya kugomea mechi.Ingawa bodi ya ligi haipo Sahihi Mimi nawaelewa!
Wamefanya damage control, chose lesser of the two evils!
Wasingehairisha mechi ni wazi wangepaswa kuwapa ushindi yanga asubuhi tu.
At least hichi walichokufanya kinazungumzika!
TFF/Bodi ya ligi wanajua kuwa kosa ni la kwao kwa kuishi kwa mazoea bila kufuata kanuni kikamilifu panapohusika na match za Simba na Yanga.
Simba wametumia udhaifu huo ku-buy time kujipanga vizuri ..
Yanga wakikaza shingo ushindi watapewa Simba na ubingwa juu..Tutapiga makele Kisha tutasahau maisha yatasonga!
Simba hawakwenda uwanjani sababu bodi ya ligi iliahirisha mechi.Kahujumiwa hivyo alistahili point zake tatu,waliogomea mechi kwa kutofika uwanjani bila sababu,walifaa adhamu na sii janja janja kuwanusuru.
Kwahy hilo gap la point moja halitoshi yanga kuchukua ubigwa?Na bodi ya ligi wamelijua hili kwamba yanga kuna watu wa serikali wengi na pia hersi ana interest za kisiasa lazima atashinikizwa na akina mkuchika,mavunde, mwigulu akubali mechi irudiwe! Hana uwezo wa kukataa ndo maana ameshindwa kupost chochote! Wenzake wakamuwah kuonyesha msimamo wao akina arafat makamu na mwanasheria Patrick. Na timu zote zikinyimwa point simba ana uwezekano mkubwa kuwa bingwa maana gap la point litabaki ni moja na yanga kabikisha mechi ngumu na azam na tabora! Wakati simba hana mechi ngumu tena! Hii mechi simba wametumia akili sana wangecheza wangefungwa na gap lingekuwa kubwa na yanga angechukua ubingwa,wakaona bora wasicheze ili kupunguza gap!
Ndio watalikoroga zaidi.Hili sakata Kuna watu wataanza kufungiwa Ili kuwatisha wengine kuwatia uoga wasiendele kuhoji pale maamuzi mabovu yatakapoendelea kutolewa
Not this timeIngawa bodi ya ligi haipo Sahihi Mimi nawaelewa!
Wamefanya damage control, chose lesser of the two evils!
Wasingehairisha mechi ni wazi wangepaswa kuwapa ushindi yanga asubuhi tu.
At least hichi walichokufanya kinazungumzika!
TFF/Bodi ya ligi wanajua kuwa kosa ni la kwao kwa kuishi kwa mazoea bila kufuata kanuni kikamilifu panapohusika na match za Simba na Yanga.
Simba wametumia udhaifu huo ku-buy time kujipanga vizuri ..
Yanga wakikaza shingo ushindi watapewa Simba na ubingwa juu..Tutapiga makele Kisha tutasahau maisha yatasonga!
Hatupeleki timu. Madunduka yakipewa ushindi tutaenda kuudai CAS.Yanga hapo anapoteza akigoma kupeleka team,sababu ni hizi hapa.
Bodi ya Ligi ikitoa tariba Mpya na uwanja mchezo tu kinachofuata ni utekelezaji.
1.Siku moja kabla ya mechi itakuwa pre match meeting,asipotokea kwa sababu. Yeyote bado taratibu zitaendelea.β
2. Uwanja utawekwa wazi na meneja wa Uwanja. Simba atafanya taratibu zote ikiwemo kufanya mazoezi,na kuingia kiwanjani maana makomandoo ha watakuwepo(Nabashiri ulinzi Utakua mkali sana)β
3.wazimamizi wote wa mechi watakuwepo siku ya mechi na watasimamia taratibu zote,β
4.Yanga asipoleta team ,uwanjani point atapewa Simba na magoli matatu baada ya wasimamizi wa michezo kusubiri kwa muda wa kikanuniβ
We huogopi?
Hamta shinda wanwaambia sababu,CAS wataangalia grounds za Usalama,Hatupeleki timu. Madunduka yakipewa ushinde tutaenda kuudai CAS.
Safari hii tuko tayari kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku.
Tutatafuta hata wanasheria wa kimataifa.
Hii mbungi haikua ya tff ila wao wamejiingiza mtu kati kila mtu sasa anawatupia mishale ππKuanzia kesho mpk ijumaa tutasikia mengi!
Kati ya yanga,simba na tff kuna ambae atatembea hapa daslamu bila nguo mchana jua kali
Walishindwa kumleta kolo kwa uwanja watawezaje mleta mwananchi?Bodi ya ligi hawajakurupuka wana uhakika na wanachoongea na walikuwa na options moja tu mechi kuchezwa tena na sio kumpa mpuuzi mmoja points za mezani na magoli matatu kwa kupiga danadana tu na kuondoka
Mechi itachezwa tena, huyo Hersi na wanachama wake watake wasitake mechi itachezwa tena na timu yanga wataleta na huo ndio uhakika walionao bodi ya ligi
wangetuachia tukaikata mikia ya kolo,kisha tuikate makucha yao ,bado wakileta jeuri tutaendelea kuwa nyoa masikio.Hii mbungi haikua ya tff ila wao wamejiingiza mtu kati kila mtu sasa anawatupia mishale ππ
Bongo nyoso
Hapa kuna hasara kubwa imetokea,kwa mfano jambo likipelekwa kipelelezi na mabaunsa wakabanwa wakasema ni fulani alitutuma.Ni mfano tu.Naungana na aliyesema kuna mtu atatembea uchi.Hili sakata Kuna watu wataanza kufungiwa Ili kuwatisha wengine kuwatia uoga wasiendele kuhoji pale maamuzi mabovu yatakapoendelea kutolewa
Sahihi kabisa. Kitakachoamua kama hii mechi itakuja kuchezwa ama la ni baada ya hizi timu mbili kucheza mechi kadhaa zinazofuata za ligi na ama kupoteza au kushinda mechi hizo. Hapo ndiyo utashangaa Simba ama Yanga anarudi kulazimisha na kudai hii mechi ifanyike maana ndiyo inaweza kufufua matumaini yao ya bingwa.Na bodi ya ligi wamelijua hili kwamba yanga kuna watu wa serikali wengi na pia hersi ana interest za kisiasa lazima atashinikizwa na akina mkuchika,mavunde, mwigulu akubali mechi irudiwe! Hana uwezo wa kukataa ndo maana ameshindwa kupost chochote! Wenzake wakamuwah kuonyesha msimamo wao akina arafat makamu na mwanasheria Patrick. Na timu zote zikinyimwa point simba ana uwezekano mkubwa kuwa bingwa maana gap la point litabaki ni moja na yanga kabikisha mechi ngumu na azam na tabora! Wakati simba hana mechi ngumu tena! Hii mechi simba wametumia akili sana wangecheza wangefungwa na gap lingekuwa kubwa na yanga angechukua ubingwa,wakaona bora wasicheze ili kupunguza gap!
Wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza ni majeruhi, hata ungekua wewe usingeleta timu.wangetuachia tukaikata mikia ya kolo,kisha tuikate makucha yao ,bado wakileta jeuri tutaendelea kuwa nyoa masikio.
Ndio mkuu mechi iliahirishwa wakahalalishiwa mgomo wao.Yanga hawawezi kupewa ushindi labda kama Simba wangegomea mechi,tamko la bodi kuahirisha mechi limewavua Simba hatia ya kugomea mechi.
Simba haijasema haitocheza tena na Yanga msimu huu. Ipo tayari kucheza iwapo itapangiwa tarehe nyingine, Hilo la kutokucheza ili kupunguza gap ni uongo, uzushi na jungu lisilo na maana.Na bodi ya ligi wamelijua hili kwamba yanga kuna watu wa serikali wengi na pia hersi ana interest za kisiasa lazima atashinikizwa na akina mkuchika,mavunde, mwigulu akubali mechi irudiwe! Hana uwezo wa kukataa ndo maana ameshindwa kupost chochote! Wenzake wakamuwah kuonyesha msimamo wao akina arafat makamu na mwanasheria Patrick. Na timu zote zikinyimwa point simba ana uwezekano mkubwa kuwa bingwa maana gap la point litabaki ni moja na yanga kabikisha mechi ngumu na azam na tabora! Wakati simba hana mechi ngumu tena! Hii mechi simba wametumia akili sana wangecheza wangefungwa na gap lingekuwa kubwa na yanga angechukua ubingwa,wakaona bora wasicheze ili kupunguza gap!