Viongozi wa Simba SC mnaonisoma GENTAMYCINE 24/7 hapa tafadhali nifikishieni hili Tamko langu Takatifu na Tukuka kwa Wachezaji wote wa Simba SC

Yaani ile intensity haipo kabisa Simba, wachezaji wanacheza kama waziwanda vile, inshort wanakera tena wanakera sana ***** zao.
 
Popoma inatakiwa ifikie wakati utambue ya kuwa wewe ni mtu mdogo sana. Kwanza huna faida yoyote ile kwenye timu, zaidi ya kubweka bweka tu humu jukwaani kama kambuzi kadogo 🐕‍🦺 ka shemeji zangu Wahehe.
 
timu inasajili wachezaji airport unategemea nn hapo
 
Umeongea point tupu. Wachache tutakuelewa.
 

Je wanalipwa maslahi yao kwa wakati ?
 
Hivi mbona Israel mwenda yupo vizuri tu kwann hapewi nafasi ya kucheza???.....Mimi binafsi shomari kapombe toka msimu ulioisha sielewagi anacheza Nini,,,Ni jina tu linambeba....pasi mbovu,,krosi za mihemko anapiga bila kuangalia anampigia Nani kiufupi mistakes nyingi na kiwango hakuna........alafu kenge mmoja shabiki haoni haya anaishia kumlalamikia kibu fvck off!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu msemo umekaa ki-kike kike sana, nashangaa Wanaume ambao ni wapenzi/mashabiki wa Yanga wanapenda sana kuutumia
Kwani hujui kuwa huyo ni Mwanaume Mwanamke?
 
Tatizo la Simba ni Yanga mkuu. Kufanya vizuri kwa Yanga kunaivuruga Simba mpaka wanaona kama hawajafanya kitu lkn mbn wamepata matokeo mazuri tu ugenini.
Upo sahihi kabisa
Kipimo cha furaha ya Simba Ni Yanga kuvuruga na kipimo cha furaha ya Yanga Ni Simba kuvuruga
 
Walizoea wao
Bado wanahisi Yanga ya kina sarpong ndio Yanga hii ya kina pacome
Kitendo cha Yanga kushinda ugenini kwenye mashindano ambayo walikua wanajipiga kifua kua ni ya wababe kimewaumiza Sana kiasi wanasahau matokeo yao
Laiti Yanga angefungwa Jana Ile jumamosi hizi kelele wala zisingekuwepo ,Zaidi zingeniua Tambo za "tuliwaambia,tuliwaambia"
Na iwapo ikitokea Simba akatolewa katika hatua yoyote ya hii michuano halafu Yanga akaivuka hiyo hatua, watauana pale jengoni kwao,watatafuta kila mchawi
 
Kuna mada nyingine za kiuchozezi zinaanzishwa na watopolo halafu washabiki uchwara wa Simba wanaingia kichwa kichwa kuzidandandia bila kuelewa agenda ya mada hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…