Vipi Sheikh mkuu nasikia ndio Mtetezi wao auTusubiri taarifa sahihi ya Shelh Ponda ambaye amekuwa akiwatetea miaka yote bila unafiki
Kwan n vibaya kuwatete?! Acha kuwa TahiraVipi Sheikh mkuu nasikia ndio Mtetezi wao au
Sasa Kasuli uandikiwe vizuri vipi, au unataka gazeti zima. Mm sio muandishiTulia uandike vizuriii unawahi wapiii
Yule ni tapeli tupuVipi Sheikh mkuu nasikia ndio Mtetezi wao au
Hawa wakoloni weusi ni wabaya kuliko hata weupeBaada ya miaka karibu ya Kumi ya dhulma unyanyasaji usio wa haki uliokuwa unafanywa na wakoloni wanaotutawala dhidi ya ndugu zetu wasio na hatia Leo kwa mara ya kwanza baada miaka Kumi wameweza kuungana na familia zao na kunusa harufu ya Hewa Safi
Jee wakoloni watawapa fidia ya DHULMA waliowafanyis?
Tusubiri
Taarifa ambazo hazijathibitishwa ni kuwa Sheikh Farid na Sheikh Msellem wameachiwa.
Picha mbali mbali zinazosambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonesha Farid akiwa na familia yake.
Inasemekana wameachiwa jana usiku.
View attachment 1820098