Viongozi wa wizara na taasisi za Wizara ya Mambo ya Ndani mkeka wenu unakuja kama siyo leo usiku basi wiki hii

Viongozi wa wizara na taasisi za Wizara ya Mambo ya Ndani mkeka wenu unakuja kama siyo leo usiku basi wiki hii

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Malalamiko mengi yamepelekwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wake. Maeneo yanayolalamikiwa zaidi ni
1. Utekaji
2. Wananchi kunyimwa dhamana na kushikiliwa kinyume cha sheria
3. Viongozi wa chama cha mapinduzi kusafirisha wahamiaji haramu kwa mashangingi bila kuchukuliwa hatua
4. Vitambulisho vya NIDA kutotolewa kwa wakati na kukosekana kwa online application ya kuomba vitambulisho husika au kupata ujumbe wa sms kwamba kitambulisho kimetoka
5. Kupotea kwa watoto na mauaji ikiwemo ubakaji
6. Rushwa ya barabarani inayoombwa na trafic

Hata mambo yamechafua taswira ya nchi yetu. Naamini kuna jambo linakwenda kutokea katika wizara hiyo Muda siyo mrefu
 
Kila mtu amesha anza kujiona mtabiri ili apate credit wakati wote tunaona upepo unapo elekea
 
Malalamiko mengi yamepelekwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wake. Maeneo yanayolalamikiwa zaidi ni
1. Utekaji
2. Wananchi kunyimwa dhamana na kushikiliwa kinyume cha sheria
3. Viongozi wa chama cha mapinduzi kusafirisha wahamiaji haramu kwa mashangingi bila kuchukuliwa hatua
4. Vitambulisho vya NIDA kutotolewa kwa wakati na kukosekana kwa online application ya kuomba vitambulisho husika au kupata ujumbe wa sms kwamba kitambulisho kimetoka
5. Kupotea kwa watoto na mauaji ikiwemo ubakaji
6. Rushwa ya barabarani inayoombwa na trafic

Hata mambo yamechafua taswira ya nchi yetu. Naamini kuna jambo linakwenda kutokea katika wizara hiyo Muda siyo mrefu
Wambura ni mhalifu namba moja, eidha awajibike AMA awajibishwe
 
Back
Top Bottom