Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Malalamiko mengi yamepelekwa kwa Waziri wa Mambo ya ndani na viongozi wake. Maeneo yanayolalamikiwa zaidi ni
1. Utekaji
2. Wananchi kunyimwa dhamana na kushikiliwa kinyume cha sheria
3. Viongozi wa chama cha mapinduzi kusafirisha wahamiaji haramu kwa mashangingi bila kuchukuliwa hatua
4. Vitambulisho vya NIDA kutotolewa kwa wakati na kukosekana kwa online application ya kuomba vitambulisho husika au kupata ujumbe wa sms kwamba kitambulisho kimetoka
5. Kupotea kwa watoto na mauaji ikiwemo ubakaji
6. Rushwa ya barabarani inayoombwa na trafic
Hata mambo yamechafua taswira ya nchi yetu. Naamini kuna jambo linakwenda kutokea katika wizara hiyo Muda siyo mrefu
1. Utekaji
2. Wananchi kunyimwa dhamana na kushikiliwa kinyume cha sheria
3. Viongozi wa chama cha mapinduzi kusafirisha wahamiaji haramu kwa mashangingi bila kuchukuliwa hatua
4. Vitambulisho vya NIDA kutotolewa kwa wakati na kukosekana kwa online application ya kuomba vitambulisho husika au kupata ujumbe wa sms kwamba kitambulisho kimetoka
5. Kupotea kwa watoto na mauaji ikiwemo ubakaji
6. Rushwa ya barabarani inayoombwa na trafic
Hata mambo yamechafua taswira ya nchi yetu. Naamini kuna jambo linakwenda kutokea katika wizara hiyo Muda siyo mrefu