Viongozi wa Yanga mwacheni Azizi Ki aende tu

Viongozi wa Yanga mwacheni Azizi Ki aende tu

Weka pesa mezani izungumze, wamwache mwanetu apae. Sisi waleee twaruka.
 
443714420_281352544971289_1960649621501584061_n.jpg

Kwani ni demu gani huyo?
 
🇮🇱 Mara wanamwitia MEBETO,

🇮🇱 Mara mnamlazimisha aongee kuwa atabakia

🇮🇱 Ila ukimsikiliza kwa makini anasema haongei kwa sababu bado yupo kwenye mkataba
 
Back
Top Bottom