akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,737
- 1,102
Naunga mkono hoja. Ni kweli ni mchezaji mzuri ila kwa ligi yetu mshahara wa USD 20,000 na signing Fee ya USD 500,000 ni kutengeza mpasuko wa Fei Toto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako kuu ilikuwa nzuri kasoro hapa.Wamlete Chama ambae hana bei kali anaweza kukaribia Aziz ki kipindi wanajipanga
.Alafu hana maajabu kiviiile...
Kama kachoka aende tu
Mkuu wewe si kuna mahali nimekusoma ukisema Aziz Ki yupo Yanga na hizo tetesi kuwa anaondoka ni za uongo?Nawashauri viongozi wa Yanga, msiwe na pressure kutoka Kwa mashabiki wasiojua mpira mkaingia kwenye mtego wa kumpa Aziz ki pesa ndefu takriban 1.3 billion, mtakuwa mmejichanganya.
Azizi ki Kwa Sasa ana miaka 29 kwenye mpira umri huo jua limezama, unaweza kumbakiza kumbe ndo amefika kwenye peak/ kilele cha career yake.
Nawasihi Yanga muwe na msimamo wa kiwango cha mshahara na utamaduni wenu.
Ukimwongeza Azizi pesa ya usajili na mshahara wa million 80 Kwa mwezi, kila mchezaji akimaliza mkataba atataka alipwe kama Aziz, Ambapo itakuwa gharama kuendesha team.
Africa Kuna vipaji vingi zaidi ya Aziz na vinataka pesa ndefu.
Hakuna mchezaji asiyeizwa au kuachwa akiingia tofauti na uchumi wa club.
Man u walimuuza Ronaldo, Barcelona walimuuza Mesi, arsenal walimuuza Henry na van persie n.k na Bado team zilikomaa na utamaduni wao wakafanya vyema.
Ukimwongeza Azizi ki mkataba wa pacome, yao, mdathir, aucho, max, bacca, job illkiisha watataka mabilion kama ya Aziz.
Wasalam
Sijasikia vzri hpo kuhusu ChamaChama tena? Mpira wa Gamondi kila mtu ni mkabaji, mpira wa Gamondi kila mtu anatakiwa awe mwana riadha. Kama viongozi watafosi kumsajili Chama basi wajue kuwa wanamsajilia Gamondi mchezaji wa kumuweka benchi. Chama kwasasa kabakiza akili tu mpira ila umri ndio unaomkataa kwasasa hivyo kuna vitu vingi hawezi kufanya kwasasa. Nadhani uongozi wa Yanga warudi tena kiwandani wakachukue mashine nyingine. Kile kiwanda kinazalisha vifaa kila msimu, anatoka mtu anakuja mtu, Asec ni chuo cha kuzalisha mafundi wa mpira Africa.
Hehe?Hoja yako kuu ilikuwa nzuri kasoro hapa.
Hapa umeshauri kama mamluki vile!!
Yanga siyo Juve hatutaki kusajiri wazee, exception ipo kwa wazawa mfano wa Mkude na Abubhakar SureBoy.
Ndio hivyo hivyo nilivuyosema wala sibadilishi kauli yangu kuhusu ChamaSijasikia vzri hpo kuhusu Chama
Bado nasimamia msimamo wangu Chama ni mzee hawezi kuwa mbadala wa Aziz Ki Ila anaweza kuwa nyongeza au squad player wakati wenye namba zao wakiwa nje kwa majeruhi au adhabu za kadi za njano na nyekundu.Hehe?
Kiko wapi?Hoja yako kuu ilikuwa nzuri kasoro hapa.
Hapa umeshauri kama mamluki vile!!
Yanga siyo Juve hatutaki kusajiri wazee, exception ipo kwa wazawa mfano wa Mkude na Abubhakar SureBoy.
Sijakuelewa fafanua una maanisha Nini ili nikujibu.Kiko wapi?
Kama ulimaanisha kusajiliwa Chama naona muda umesimama na Mimi.Kiko wapi?