Viongozi wa Yanga mwacheni Azizi Ki aende tu

Naunga mkono hoja. Ni kweli ni mchezaji mzuri ila kwa ligi yetu mshahara wa USD 20,000 na signing Fee ya USD 500,000 ni kutengeza mpasuko wa Fei Toto.
 
Wamlete Chama ambae hana bei kali anaweza kukaribia Aziz ki kipindi wanajipanga
Hoja yako kuu ilikuwa nzuri kasoro hapa.
Hapa umeshauri kama mamluki vile!!
Yanga siyo Juve hatutaki kusajiri wazee, exception ipo kwa wazawa mfano wa Mkude na Abubhakar SureBoy.
 
Mkuu wewe si kuna mahali nimekusoma ukisema Aziz Ki yupo Yanga na hizo tetesi kuwa anaondoka ni za uongo?
 
Sijasikia vzri hpo kuhusu Chama
 
Bado nasimamia msimamo wangu Chama ni mzee hawezi kuwa mbadala wa Aziz Ki Ila anaweza kuwa nyongeza au squad player wakati wenye namba zao wakiwa nje kwa majeruhi au adhabu za kadi za njano na nyekundu.
 
Tukiwa bado tunamuhitaji na hajatuboa hawezi kwenda timu yeyote ile mpira maokoto mzee baba
 
Hoja yako kuu ilikuwa nzuri kasoro hapa.
Hapa umeshauri kama mamluki vile!!
Yanga siyo Juve hatutaki kusajiri wazee, exception ipo kwa wazawa mfano wa Mkude na Abubhakar SureBoy.
Kiko wapi?
 
Du kuna watu Wana macho ya mbali. 🀣🀣. Nasikia ameingia MJINI Kwa pupa clubing, mashangazi πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kiko wapi?
Kama ulimaanisha kusajiliwa Chama naona muda umesimama na Mimi.
Chama mzee na anafaa kuwa nyingeza squad player.
Kama ulimaanisha kuhusu Aziz Ki Mimi nilimuunga mkono ngara23 kwa kusema hoja yake kuu ilikuwa nzuri na ndicho kinachotokea Sasa Aziz hafanyi vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…