Viongozi wa Yanga na Salamu za Dini moja

Viongozi wa Yanga na Salamu za Dini moja

Yanga ni timu ya Wananchi wa dini zote, hii si mara yakwanza kwa kiongozi wa Yanga kutumia salamu inayotumiwa zaidi na watu wa imani moja na kuacha ku balance.


View: https://youtu.be/Lr62C4kTXW8?si=oL3v9IoGM2dFGwDl

Hii ni kero iliyowahi kuripotiwa hapa jf ila mods wakafuta uzi as if wanatupangia fikra zetu.

Binafsi hili jambo linanikwaza sana, Viongozi wa Yanga nivema mkachagua salamu inayohusu club yetu, au kama utasalimia kwa salamu ya kidini basi ubalance.

Assalaam alaykum maana yake amani iwe nanyi
 
Wewe ni mnafiki sana baba wa taifa alizichukua shule za kikristo na kuzifanya zisiwe za kidini Ili hayta waislamu wasome shule hizo,sidhani kama Kuna shule za kiislamu alitaifisha
Kutaifisha shule ilikua trick ya kuwazuwia waislam wasijenge shule ili wawachuje vizuri hukohuko,haikuwa wema
 
Wachezaji wengi wa mpira na wanamuziki wengi NCHINI ni waislamu kwa sababu ya Nyerere.

Nyerere aliweka mfumo ambao uliwabagua waislamu kwenye elimu.
Matokeo yake waislamu wengi nchini Tanzania wakaingia kwenye;

1. Michezo

2. Biashara.

3. Sanaa na burudani.

4. Wengine wakaenda ughaibuni kutafuta maisha.

Waliobaniwa kwenye elimu sasa wana shine kwenye michezo sanaa na burudani , biashara, na wengi wapo ughaibuni huko wanafanya maisha.

Moral of the story: Never put a full stop on someone's life cause God May remove your full stop and put a comma in it stead. And what he will write after the coma is what u will never like.

Acheni Mungu aendelee kuitwa Mungu
Usimsingizie Nyerere. Mimi siyo shabiki wake lakini kwa hili umebugi. Waislamu wengi gawatilii masnani elimu kwa watoto wao.
Nilikuwa naudhi maeneo ya Msisiri jaribu na Nwananyamala hospital. Nilipotaka kumprleja mtoto chejechea gakukuwa naxshike hata moja kwenye la km za mraba 10. Ikabidi nipeleke mtoto kinondoni mjini. Lakini kulikuwa na madrasa zaidi ya 5 kwenye eneo hilo. Kwa hiyo inaonyesha priority yao iko wapi.
 
Yaani limtu linatoa press conference na hadhira ni watu wenye Imani tofauti na wengine hawana dini unaongea nao kama unaitoa mawaidha kwenye tatawea. Kuna watu hawana exposure ya kijamii wanaamini kile wslichokatirishwa tuu. Lakini ukiwa kiongozi Kuna mambo ambayo unatakiwa ujifunze diplomasia ya kuongea na watu mchanganyiko
Uko sahihi sana mkuu, exposure ni kitu muhimu sana. Elimu ya darasani pekee haitoshi.
 
Yanga ni timu ya Wananchi wa dini zote, hii si mara yakwanza kwa kiongozi wa Yanga kutumia salamu inayotumiwa zaidi na watu wa imani moja na kuacha ku balance.


View: https://youtu.be/Lr62C4kTXW8?si=oL3v9IoGM2dFGwDl

Hii ni kero iliyowahi kuripotiwa hapa jf ila mods wakafuta uzi as if wanatupangia fikra zetu.

Binafsi hili jambo linanikwaza sana, Viongozi wa Yanga nivema mkachagua salamu inayohusu club yetu, au kama utasalimia kwa salamu ya kidini basi ubalance.

Waislam hawana Mungu wana Allah so waache kutaja taja Mwenyezi Mungu kwa Mungu ana roho na Allah hana Roho Jiwe jeusi. Salam hawajatoa kusudi wamejazwa chuki tokea utotoni mwao Ndio kama Hamas
 
Waislam hawana Mungu wana Allah so waache kutaja taja Mwenyezi Mungu kwa Mungu ana roho na Allah hana Roho Jiwe jeusi. Salam hawajatoa kusudi wamejazwa chuki tokea utotoni mwao Ndio kama Hamas
Ohooo
 
Assalaam alaykum maana yake amani iwe nanyi
Waislamu wanaamini salamu hii ina thawabu na thawabu huongezeka ukiitaja mpaka mwisho, hivyo wao huitumia kupata thawabu sasa huu ni uhuni endapo kiongozi wa watu wa dini mbalimbali ataacha kujali hisia za watu wanao amini tofauti nayeye, mfano binafsi huwa nafurahi kuona kiongozi ana balance au kama hataki atusalimie kwa salamu zisizo fungamana na imani yoyote.
 
Waislamu wanaamini salamu hii ina thawabu na thawabu huongezeka ukiitaja mpaka mwisho, hivyo wao huitumia kupata thawabu sasa huu ni uhuni endapo kiongozi wa watu wa dini mbalimbali ataacha kujali hisia za watu wanao amini tofauti nayeye, mfano binafsi huwa nafurahi kuona kiongozi ana balance au kama hataki atusalimie kwa salamu zisizo fungamana na imani yoyote.
Nimesema maana yake ni amani iwe nanyi
 
Wengi wa Viongozi wa Simba na Yanga ni waislam tena si Tu waislam Bali ni watu wa pwani. Wao wamekulia maisha hayo na hiyo ndio salam Yao na wakristo wengi waishio maeneo ya pwani wameshazoea .

Tunaoshangaa ni sis tuliobara , tunaona mikutano hiyo mitandaoni Tu.
 
Wengi wa Viongozi wa Simba na Yanga ni waislam tena si Tu waislam Bali ni watu wa pwani. Wao wamekulia maisha hayo na hiyo ndio salam Yao na wakristo wengi waishio maeneo ya pwani wameshazoea .

Tunaoshangaa ni sis tuliobara , tunaona mikutano hiyo mitandaoni Tu.
Acha kuwaza kama kuku wewe. Kuzaliwa pwani ,sehemu sio kigezo lakini hapa tunatathmini hotuba ya mtu mzima na sio mtoto wa madrasa au Sunday school aliyelishwa propaganda za kufundishia dini ili aione dini yake ni Bora zaidi ya dini nyingine.

Ukizaliwa sehemu sehemu ambayo dini Fulani ni dominant ,mafundisho ya utotoni hujazwa upepo kuwa dini yako ni Bora zaidi na watu wema na watenda mema zaidi ni waamini wa dini yako. Lakini kadiri unapokuwa unakwenda shule unakutana na watu wa Imani nyingine, unaishi nao unaanza kuona upotofu wa Yale mafundisho ya dini ya awali. Unaanza kugundua Wana mambo mema kuliko hata wa kwako, unakuwa na urafiki. Unaheshimiana kwa kudhamini tofauti zenu za kiimani lakini kwa waislamu wanajua wazi wanakwaza watu lakini wanatumia unable tuu kuwasalimia watu kwa SALAMU ya dini Yao. Hata kama utstafsiri useme ni maneno mazuri bado haissidii.

Mbona wachhaga wanatoka sehemu ambazo hata hawajawahi kuuona msikiti lakini wakifika mjini wanabadilika gafla hawawezi kumkwaza muislam kwa kumsalimia Bwana asifiwe?
 
Wachezaji wengi wa mpira na wanamuziki wengi NCHINI ni waislamu kwa sababu ya Nyerere.

Nyerere aliweka mfumo ambao uliwabagua waislamu kwenye elimu.
Matokeo yake waislamu wengi nchini Tanzania wakaingia kwenye;

1. Michezo

2. Biashara.

3. Sanaa na burudani.

4. Wengine wakaenda ughaibuni kutafuta maisha.

Waliobaniwa kwenye elimu sasa wana shine kwenye michezo sanaa na burudani , biashara, na wengi wapo ughaibuni huko wanafanya maisha.

Moral of the story: Never put a full stop on someone's life cause God May remove your full stop and put a comma in it stead. And what he will write after the coma is what u will never like.

Acheni Mungu aendelee kuitwa Mungu
Walibaguliwa au walikomaa na Madrasa. Acha kumsingizia Nyerere wewe. Mlipewa fursa ya kusoma mkaendeleza uswahili na kupiga ngoma. Hata leo Shule zenu hazieleweki mpo mpo tu.
 
Acha kuwaza kama kuku wewe. Kuzaliwa pwani ,sehemu sio kigezo lakini hapa tunatathmini hotuba ya mtu mzima na sio mtoto wa madrasa au Sunday school aliyelishwa propaganda za kufundishia dini ili aione dini yake ni Bora zaidi ya dini nyingine.

Ukizaliwa sehemu sehemu ambayo dini Fulani ni dominant ,mafundisho ya utotoni hujazwa upepo kuwa dini yako ni Bora zaidi na watu wema na watenda mema zaidi ni waamini wa dini yako. Lakini kadiri unapokuwa unakwenda shule unakutana na watu wa Imani nyingine, unaishi nao unaanza kuona upotofu wa Yale mafundisho ya dini ya awali. Unaanza kugundua Wana mambo mema kuliko hata wa kwako, unakuwa na urafiki. Unaheshimiana kwa kudhamini tofauti zenu za kiimani lakini kwa waislamu wanajua wazi wanakwaza watu lakini wanatumia unable tuu kuwasalimia watu kwa SALAMU ya dini Yao. Hata kama utstafsiri useme ni maneno mazuri bado haissidii.

Mbona wachhaga wanatoka sehemu ambazo hata hawajawahi kuuona msikiti lakini wakifika mjini wanabadilika gafla hawawezi kumkwaza muislam kwa kumsalimia Bwana asifiwe?
Wachaga wanatoka wapi ambako hakuna misikiti.

Simba na Yanga zina mizizi ya kiislamu , Kama unakwazika shabikia Team zingine .
 
Walibaguliwa au walikomaa na Madrasa. Acha kumsingizia Nyerere wewe. Mlipewa fursa ya kusoma mkaendeleza uswahili na kupiga ngoma. Hata leo Shule zenu hazieleweki mpo mpo tu.
Sasa hiyo elimu ili wasaidia nn zaidi ya kuwafanya muishi kwa hisani ya kuwa machawa wa ccm?
 
Wachaga wanatoka wapi ambako hakuna misikiti.

Simba na Yanga zina mizizi ya kiislamu , Kama unakwazika shabikia Team zingine .
Basi kama umethibitisha ni timu za kiislam wachezaji wawe wanacheza kwa kanzu makobazi na vipedo ijulikane wazi kuwa ni Moja wapo ya taasisi za kueneza dini ya kiislam
 
Sasa hiyo elimu ili wasaidia nn zaidi ya kuwafanya muishi kwa hisani ya kuwa machawa wa ccm?
Sasa kama haikutusaidia nini kinachowafanya kutwa mpige kelele. Nyie watoto Waislam hamtumiagi akili kabisa mmekaa kukalilishwa ujinga tu.
 
Back
Top Bottom