inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Assalaam alaykum maana yake amani iwe nanyiYanga ni timu ya Wananchi wa dini zote, hii si mara yakwanza kwa kiongozi wa Yanga kutumia salamu inayotumiwa zaidi na watu wa imani moja na kuacha ku balance.
View: https://youtu.be/Lr62C4kTXW8?si=oL3v9IoGM2dFGwDl
Hii ni kero iliyowahi kuripotiwa hapa jf ila mods wakafuta uzi as if wanatupangia fikra zetu.
Binafsi hili jambo linanikwaza sana, Viongozi wa Yanga nivema mkachagua salamu inayohusu club yetu, au kama utasalimia kwa salamu ya kidini basi ubalance.
Timu ya kiislam huwaje!?Ukweli ni kwamba Simba na Yanga ni timu za kiislam, nafasi zauongozi ni waislam wamejaa.
Lakini nje ya hapo pia wachezaji wengi wa mpira nchini ni waislam
Kutaifisha shule ilikua trick ya kuwazuwia waislam wasijenge shule ili wawachuje vizuri hukohuko,haikuwa wemaWewe ni mnafiki sana baba wa taifa alizichukua shule za kikristo na kuzifanya zisiwe za kidini Ili hayta waislamu wasome shule hizo,sidhani kama Kuna shule za kiislamu alitaifisha
Usimsingizie Nyerere. Mimi siyo shabiki wake lakini kwa hili umebugi. Waislamu wengi gawatilii masnani elimu kwa watoto wao.Wachezaji wengi wa mpira na wanamuziki wengi NCHINI ni waislamu kwa sababu ya Nyerere.
Nyerere aliweka mfumo ambao uliwabagua waislamu kwenye elimu.
Matokeo yake waislamu wengi nchini Tanzania wakaingia kwenye;
1. Michezo
2. Biashara.
3. Sanaa na burudani.
4. Wengine wakaenda ughaibuni kutafuta maisha.
Waliobaniwa kwenye elimu sasa wana shine kwenye michezo sanaa na burudani , biashara, na wengi wapo ughaibuni huko wanafanya maisha.
Moral of the story: Never put a full stop on someone's life cause God May remove your full stop and put a comma in it stead. And what he will write after the coma is what u will never like.
Acheni Mungu aendelee kuitwa Mungu
Uko sahihi sana mkuu, exposure ni kitu muhimu sana. Elimu ya darasani pekee haitoshi.Yaani limtu linatoa press conference na hadhira ni watu wenye Imani tofauti na wengine hawana dini unaongea nao kama unaitoa mawaidha kwenye tatawea. Kuna watu hawana exposure ya kijamii wanaamini kile wslichokatirishwa tuu. Lakini ukiwa kiongozi Kuna mambo ambayo unatakiwa ujifunze diplomasia ya kuongea na watu mchanganyiko
Waislam hawana Mungu wana Allah so waache kutaja taja Mwenyezi Mungu kwa Mungu ana roho na Allah hana Roho Jiwe jeusi. Salam hawajatoa kusudi wamejazwa chuki tokea utotoni mwao Ndio kama HamasYanga ni timu ya Wananchi wa dini zote, hii si mara yakwanza kwa kiongozi wa Yanga kutumia salamu inayotumiwa zaidi na watu wa imani moja na kuacha ku balance.
View: https://youtu.be/Lr62C4kTXW8?si=oL3v9IoGM2dFGwDl
Hii ni kero iliyowahi kuripotiwa hapa jf ila mods wakafuta uzi as if wanatupangia fikra zetu.
Binafsi hili jambo linanikwaza sana, Viongozi wa Yanga nivema mkachagua salamu inayohusu club yetu, au kama utasalimia kwa salamu ya kidini basi ubalance.
Waislamu wanaamini salamu hii ina thawabu na thawabu huongezeka ukiitaja mpaka mwisho, hivyo wao huitumia kupata thawabu sasa huu ni uhuni endapo kiongozi wa watu wa dini mbalimbali ataacha kujali hisia za watu wanao amini tofauti nayeye, mfano binafsi huwa nafurahi kuona kiongozi ana balance au kama hataki atusalimie kwa salamu zisizo fungamana na imani yoyote.Assalaam alaykum maana yake amani iwe nanyi
Nimesema maana yake ni amani iwe nanyiWaislamu wanaamini salamu hii ina thawabu na thawabu huongezeka ukiitaja mpaka mwisho, hivyo wao huitumia kupata thawabu sasa huu ni uhuni endapo kiongozi wa watu wa dini mbalimbali ataacha kujali hisia za watu wanao amini tofauti nayeye, mfano binafsi huwa nafurahi kuona kiongozi ana balance au kama hataki atusalimie kwa salamu zisizo fungamana na imani yoyote.
Acha kuwaza kama kuku wewe. Kuzaliwa pwani ,sehemu sio kigezo lakini hapa tunatathmini hotuba ya mtu mzima na sio mtoto wa madrasa au Sunday school aliyelishwa propaganda za kufundishia dini ili aione dini yake ni Bora zaidi ya dini nyingine.Wengi wa Viongozi wa Simba na Yanga ni waislam tena si Tu waislam Bali ni watu wa pwani. Wao wamekulia maisha hayo na hiyo ndio salam Yao na wakristo wengi waishio maeneo ya pwani wameshazoea .
Tunaoshangaa ni sis tuliobara , tunaona mikutano hiyo mitandaoni Tu.
Kwani nanyi si mna timyu huko MwakaleliSimba na Yanga ni timu zilizo anzishwa na watoto wa kariakoo. Asilimia kubwa ya watoto wa kariakoo ni waislamu...Ova
Walibaguliwa au walikomaa na Madrasa. Acha kumsingizia Nyerere wewe. Mlipewa fursa ya kusoma mkaendeleza uswahili na kupiga ngoma. Hata leo Shule zenu hazieleweki mpo mpo tu.Wachezaji wengi wa mpira na wanamuziki wengi NCHINI ni waislamu kwa sababu ya Nyerere.
Nyerere aliweka mfumo ambao uliwabagua waislamu kwenye elimu.
Matokeo yake waislamu wengi nchini Tanzania wakaingia kwenye;
1. Michezo
2. Biashara.
3. Sanaa na burudani.
4. Wengine wakaenda ughaibuni kutafuta maisha.
Waliobaniwa kwenye elimu sasa wana shine kwenye michezo sanaa na burudani , biashara, na wengi wapo ughaibuni huko wanafanya maisha.
Moral of the story: Never put a full stop on someone's life cause God May remove your full stop and put a comma in it stead. And what he will write after the coma is what u will never like.
Acheni Mungu aendelee kuitwa Mungu
Wachaga wanatoka wapi ambako hakuna misikiti.Acha kuwaza kama kuku wewe. Kuzaliwa pwani ,sehemu sio kigezo lakini hapa tunatathmini hotuba ya mtu mzima na sio mtoto wa madrasa au Sunday school aliyelishwa propaganda za kufundishia dini ili aione dini yake ni Bora zaidi ya dini nyingine.
Ukizaliwa sehemu sehemu ambayo dini Fulani ni dominant ,mafundisho ya utotoni hujazwa upepo kuwa dini yako ni Bora zaidi na watu wema na watenda mema zaidi ni waamini wa dini yako. Lakini kadiri unapokuwa unakwenda shule unakutana na watu wa Imani nyingine, unaishi nao unaanza kuona upotofu wa Yale mafundisho ya dini ya awali. Unaanza kugundua Wana mambo mema kuliko hata wa kwako, unakuwa na urafiki. Unaheshimiana kwa kudhamini tofauti zenu za kiimani lakini kwa waislamu wanajua wazi wanakwaza watu lakini wanatumia unable tuu kuwasalimia watu kwa SALAMU ya dini Yao. Hata kama utstafsiri useme ni maneno mazuri bado haissidii.
Mbona wachhaga wanatoka sehemu ambazo hata hawajawahi kuuona msikiti lakini wakifika mjini wanabadilika gafla hawawezi kumkwaza muislam kwa kumsalimia Bwana asifiwe?
Sasa hiyo elimu ili wasaidia nn zaidi ya kuwafanya muishi kwa hisani ya kuwa machawa wa ccm?Walibaguliwa au walikomaa na Madrasa. Acha kumsingizia Nyerere wewe. Mlipewa fursa ya kusoma mkaendeleza uswahili na kupiga ngoma. Hata leo Shule zenu hazieleweki mpo mpo tu.
Basi kama umethibitisha ni timu za kiislam wachezaji wawe wanacheza kwa kanzu makobazi na vipedo ijulikane wazi kuwa ni Moja wapo ya taasisi za kueneza dini ya kiislamWachaga wanatoka wapi ambako hakuna misikiti.
Simba na Yanga zina mizizi ya kiislamu , Kama unakwazika shabikia Team zingine .
Sasa kama haikutusaidia nini kinachowafanya kutwa mpige kelele. Nyie watoto Waislam hamtumiagi akili kabisa mmekaa kukalilishwa ujinga tu.Sasa hiyo elimu ili wasaidia nn zaidi ya kuwafanya muishi kwa hisani ya kuwa machawa wa ccm?