Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3152496
Sisi ndiyo Yanga SC AKA

Manyani na Mammbwa SC
Sindano dawa za kuongeza nguvu SC
Jini Maimuna SC
Hamisa Mobeto Buzi la Aziz Ki SC
Mihadarati SC
Wavuta Shisha SC
Nyuki Asali SC
Mpumelelo pumuuuuu SC
Wachawi SC
Watembea uchi usiku kwenye viwanja SC
Wacheza Vigodoro SC.
Wagombaniwa na maraya SC
Kimoko cha chamazi SC
Wakimbizi kwenye viwanja vya watu SC
CCTV CAMERA SC
Uto de Supu la Ngo'mbe SC
 
Narudiaa kusema tena,Makolo vipigo mfululizo vikianzaa msije na habari za hatumtaki Mangungu..
Wavuta shisha na wagombaniwa na maraya hamjui mpira ndio mje mtusumbue sisi..
Kwwnza embu tamka kwa adabu na heshima nani anaongoza ligi kmmmke..tamka kwa sauti kuu..manina
 
Hii kitu nimeipenda sana, viongozi wa yanga wamepata shutuma za Kila aina wiki hizi tatu, timu ya yanga imechambuliwa na Kila mchambuzi na maneno yake, kocha kafukuzwa na wachambuzi.

Lawama za Kila aina zimerushwa kwa yanga baada ya kupoteza mechi 2 dhidi ya Azam na Tabora united, lakini hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyetoka kauli yoyote juu ya hayo yote!

Wamekaa kimya wakiendelea kuyafanyia kazi yale yote yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
Wanafanya mipango yao kiuweledi na sio kupayukapayuka ovyo.

Tunajua Kuna wachambuzi wako kwenye payroll ya klabu Fulani wanajaribu kuchokonoa kujua kinachoendelea ili waupate cha kuandika kwenye mitandao yao lakini wamepigwa Pini hawajui chochote wamebaki kuwa watabiri kama waganga wa kienyeji, Leo wanapost hiki kesho wanaposti kile awaeleweki!

Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza na ni wapi warekebishe baada ya hapo Kuna kitu kinatengenezwa na watu watafunga Tena midomo waanze habari za gsm anaharibu ligi!

Wakati huu wako kimya wanakenua na meno yote 32 yanaonekana lakini wakianza kupoteana utaanza kusikia zile KELELE zinaibuka Tena za gsm anaharibu ligi!

Viongozi chapeni kazi nafikiri mmeona wanafiki wengi kipindi hiki, wanataka mpoteane wafurahie kwa maana iyo akuna habari za GSM anaharibu ligi bali ni wivu unawasumbua mkirudi kuanza ligi msicheke na kima iwe ni mwendo wa kata funua mpaka mwisho!
Viongozi wa yanga wamejibu kwa mihemko hadharani kuhama uwanja kisa kufungwa goli 4 ndani ya wiki ni majibu tosha timu inaongozwa na waganga!
 
Anayefahamika kwa ulozi Africa nzima ni Simba aliyechoma uwanja wa watu mchana kweupe, kujidunga mmeingia kwenye mfumo wa wajinga wenzenu na propaganda uchwara, mtu ajidunge alafu aaache ushahidi hapo hapo uyo ni kichaa?
Yaani wajinga sana.
 
Viongozi wa yanga wamejibu kwa mihemko hadharani kuhama uwanja kisa kufungwa goli 4 ndani ya wiki ni majibu tosha timu inaongozwa na waganga!
Usichokijua ni Bora ukanyamaza kimya, ni nani aliyekwambia yanga wamehama uwanja sababu ya kufungwa? Mnatunga vitu vyenu vya kusadikika mnafanya kuwa ajenda!
 
Usichokijua ni Bora ukanyamaza kimya, ni nani aliyekwambia yanga wamehama uwanja sababu ya kufungwa? Mnatunga vitu vyenu vya kusadikika mnafanya kuwa ajenda!
Wewe unajibu kama nani ikiwa sio kiongozi wala msemaji!
 
Wewe shabiki makande tena makande ya kilabuni huwezi kuwazuia wahandishi wa habari za michezo kupata za ndani hata siku moja mtu kama ricardo momo au dickson job au anuary binde au shaffii dauda unamzuiaje asipate habari za ndani kutoka yanga.

Na kwa taarifa yako moalini anaenda yanga kuwa msaidizi wa kocha mpya anayekuja.

Gamondi kapewa mechi tatu tu za kimataifa za kumuangalia akizingua wanamtimua akipafomu wanampa muda amalize mkataba wake unaoisha mwakani apite hivi.
Endeleni kujipa moyo,yupo mjiandae round ya pili kukutana nae. Hii hali ya mpito na hatujaitana mara tatu kwenye social networks.

Nyie timu ikipata matokeo mabovu, viongozi wanajitoa na kuwapa lawama wachezaji, baada ya hapo timu anaachiwa Ahmed Ally azunguke nayo, viongozi hawataki hata mahojiano,tulowaona msimj uliopita hata msimu huu, wazee wa kuitana mara tatu.
 
Endeleni kujipa moyo,yupo mjiandae round ya pili kukutana nae. Hii hali ya mpito na hatujaitana mara tatu kwenye social networks.

Nyie timu ikipata matokeo mabovu, viongozi wanajitoa na kuwapa lawama wachezaji, baada ya hapo timu anaachiwa Ahmed Ally azunguke nayo, viongozi hawataki hata mahojiano,tulowaona msimj uliopita hata msimu huu, wazee wa kuitana mara tatu.
Huu msimu kama unadhani itakuwa kama misimu mingine you are lying to yourself.
 
Tuthibitishie kwa vitendo yanga atashinda mechi zote 20 zilizobakia na simba atafungwa mechi zote 20 zilizobakia acha porojo.

Msimu uliopita kwenye mechi 10 za mwanzo ulikuwa umeshinda mechi 9 alama 27, na magoli 30 ukifungwa mechi 1 tu.

Hadi sasa hivi umecheza mechi 10,umefungwa 2,umeshinda 8,alama 24,magoli 14 ya kufunga,4 ya kufungwa halafu unacheza mpira mbovu unafunga magoli ya offside, halafu unajamba jamba tu hapa ooh tutashinda tutashinda,shinda tuone acha kujinyea nyea.

Kwa akili yako fupi unadhani simba hii ndo simba ile mbovu ya wazee ambao hawawezi kukimbia,kukaba,kushambulia,hawana ari,morari wapo kama mazombi tu.

Hii simba ni bora 3 times compared to the last season so usitegemee simba itadondosha alama kirahisi na ukijichanganya ukafirimbwa ukizidiwa alama 4 au 5 inaweza ikaisha ivo ivo.

Acha kuishi kwa mazoea kuti la mazoea ndiyo linalomuangushaga mgema.
kwa hiyo wenetu tunakubaliana kwamba tayari mmeshajipata sio? Baadaye msije anza sema bado timu haijaunganika 😀😀😀 Yanga kupoteza mechi mbili Tayari mmeshajiona wakubwa na hiyo tofauti ya alama 1 hapo! Mshajikuta mnacheza Club bingwa kumbe shirikisho! Haya zisijeanza lawama GSM anaharibu Ligi
 
Back
Top Bottom