Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Viongozi wa Yanga nawapa pongezi kwa kufanya mambo kimyakimya bila kuwajibu wanaowazodoa

Hii kitu nimeipenda sana, viongozi wa yanga wamepata shutuma za Kila aina wiki hizi tatu, timu ya yanga imechambuliwa na Kila mchambuzi na maneno yake, kocha kafukuzwa na wachambuzi.

Lawama za Kila aina zimerushwa kwa yanga baada ya kupoteza mechi 2 dhidi ya Azam na Tabora united, lakini hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyetoka kauli yoyote juu ya hayo yote!

Wamekaa kimya wakiendelea kuyafanyia kazi yale yote yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
Wanafanya mipango yao kiuweledi na sio kupayukapayuka ovyo.

Tunajua Kuna wachambuzi wako kwenye payroll ya klabu Fulani wanajaribu kuchokonoa kujua kinachoendelea ili waupate cha kuandika kwenye mitandao yao lakini wamepigwa Pini hawajui chochote wamebaki kuwa watabiri kama waganga wa kienyeji, Leo wanapost hiki kesho wanaposti kile awaeleweki!

Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza na ni wapi warekebishe baada ya hapo Kuna kitu kinatengenezwa na watu watafunga Tena midomo waanze habari za gsm anaharibu ligi!

Wakati huu wako kimya wanakenua na meno yote 32 yanaonekana lakini wakianza kupoteana utaanza kusikia zile KELELE zinaibuka Tena za gsm anaharibu ligi!

Viongozi chapeni kazi nafikiri mmeona wanafiki wengi kipindi hiki, wanataka mpoteane wafurahie kwa maana iyo akuna habari za GSM anaharibu ligi bali ni wivu unawasumbua mkirudi kuanza ligi msicheke na kima iwe ni mwendo wa kata funua mpaka mwisho!
Fact.
 
Hii kitu nimeipenda sana, viongozi wa yanga wamepata shutuma za Kila aina wiki hizi tatu, timu ya yanga imechambuliwa na Kila mchambuzi na maneno yake, kocha kafukuzwa na wachambuzi.

Lawama za Kila aina zimerushwa kwa yanga baada ya kupoteza mechi 2 dhidi ya Azam na Tabora united, lakini hakuna kiongozi yoyote wa Yanga aliyetoka kauli yoyote juu ya hayo yote!

Wamekaa kimya wakiendelea kuyafanyia kazi yale yote yanayotakiwa kufanyiwa kazi,
Wanafanya mipango yao kiuweledi na sio kupayukapayuka ovyo.

Tunajua Kuna wachambuzi wako kwenye payroll ya klabu Fulani wanajaribu kuchokonoa kujua kinachoendelea ili waupate cha kuandika kwenye mitandao yao lakini wamepigwa Pini hawajui chochote wamebaki kuwa watabiri kama waganga wa kienyeji, Leo wanapost hiki kesho wanaposti kile awaeleweki!

Viongozi wameamua kunyamaza kufanya tathmini ya kina kujua ni wapi waliteleza na ni wapi warekebishe baada ya hapo Kuna kitu kinatengenezwa na watu watafunga Tena midomo waanze habari za gsm anaharibu ligi!

Wakati huu wako kimya wanakenua na meno yote 32 yanaonekana lakini wakianza kupoteana utaanza kusikia zile KELELE zinaibuka Tena za gsm anaharibu ligi!

Viongozi chapeni kazi nafikiri mmeona wanafiki wengi kipindi hiki, wanataka mpoteane wafurahie kwa maana iyo akuna habari za GSM anaharibu ligi bali ni wivu unawasumbua mkirudi kuanza ligi msicheke na kima iwe ni mwendo wa kata funua mpaka mwisho!
We hujasikia kwenye kikao Kuna mtu ilikuwa bado kidogo atolewe meno😃
 
kwa hiyo wenetu tunakubaliana kwamba tayari mmeshajipata sio? Baadaye msije anza sema bado timu haijaunganika 😀😀😀 Yanga kupoteza mechi mbili Tayari mmeshajiona wakubwa na hiyo tofauti ya alama 1 hapo! Mshajikuta mnacheza Club bingwa kumbe shirikisho! Haya zisijeanza lawama GSM anaharibu Ligi
Ni kweli Simba bado haijawa na muunganiko, Ila kinachotufurahisha ni yanga kupigwa na wauza lambalamba na watengeneza asali, yanga ilifungwa na binadamu siyo malaika😂😂
 
kwa hiyo wenetu tunakubaliana kwamba tayari mmeshajipata sio? Baadaye msije anza sema bado timu haijaunganika 😀😀😀 Yanga kupoteza mechi mbili Tayari mmeshajiona wakubwa na hiyo tofauti ya alama 1 hapo! Mshajikuta mnacheza Club bingwa kumbe shirikisho! Haya zisijeanza lawama GSM anaharibu Ligi
Currently naongoza ligi

Currently nakuzidi magoli 7

Currently nimepoteza mechi chache kuliko timu zote

Acha maneno,acha porojo shinda tuone usichimbe mikwara.
 
😀Currently naongoza ligi

Currently nakuzidi magoli 7

Currently nimepoteza mechi chache kuliko timu zote

Acha maneno,acha porojo shinda tuone usichimbe mikwara.
kwa hiyo mshajikuta Yanga 😀 kwamba mshajiona mnashiriki club bingwa sio shirikisho 😀 Yanga kakupiga nje ndani mfululizo, coastal union tu kakutoa jasho, bado timu haiwezi kucheza mechi 5 mfululizo na kushinda, bado unaongea! Hizo 'Currently' Yanga ishafanya sana. Hata Azam walishaongoza Ligi 😀
 
A
Currently naongoza ligi

Currently nakuzidi magoli 7

Currently nimepoteza mechi chache kuliko timu zote

Acha maneno,acha porojo shinda tuone usichimbe mikwara.
Ata singida black star ashaongoza ligi kwaiyo habari za kuongoza ligi kwa muda Wala hazina mashiko, subilia mwisho wa msimu ndio tutajua mbivu na mbichi!
 
Ngoja Gamond aje kumwaga upupu jinsi ushindi wa mazabe ulivyokuwa unapatikana.
 
A

Ata singida black star ashaongoza ligi kwaiyo habari za kuongoza ligi kwa muda Wala hazina mashiko, subilia mwisho wa msimu ndio tutajua mbivu na mbichi!
Singida kawa bingwa mara ngapi?

Acha mikwara,acha kuimba taarabu, acha porojo.

Na mmeshamla kichwa kocha huko kwahiyo mnaanza upya mpk kocha aijue timu na aizoee ligi mmeshajinyea.
 
Umeongea vyema, ila ukimwa na vitendo uendane na matokeo. Kuna wachezaji wanahitaji wahakikishe wamebadilika au wawapige chini, katika wachezaji hao Aziz K ni mmoja wao. Pumbavu zake kabisa
Azurule uwanjano Azizi Ki kufukuzwa afukuzwe Gamond
 
Singida kawa bingwa mara ngapi?

Acha mikwara,acha kuimba taarabu, acha porojo.

Na mmeshamla kichwa kocha huko kwahiyo mnaanza upya mpk kocha aijue timu na aizoee ligi mmeshajinyea.
Usidhani yanga ni ndanda united kwamba kocha mpaka aijue timu, kwanza kocha mpaka anakuja kufanya kazi tiyali keshaifatilia na kujua timu inachezaje, inao wachezaji Gani,,na kocha awezi kuja hapo hapo akaingiza mbinu zake uyo anakuwa sio kocha, ataendeleza mwenzake alipoishia na ataingiza mbinu zake taratibu wakati huo timu inaendelea na rhythim yake Ile Ile,kwaiyo usijidanganye kwamba yanga itaanza upya ayo ni mawazo yako binafsi!
 
Usidhani yanga ni ndanda united kwamba kocha mpaka aijue timu, kwanza kocha mpaka anakuja kufanya kazi tiyali keshaifatilia na kujua timu inachezaje, inao wachezaji Gani,,na kocha awezi kuja hapo hapo akaingiza mbinu zake uyo anakuwa sio kocha, ataendeleza mwenzake alipoishia na ataingiza mbinu zake taratibu wakati huo timu inaendelea na rhythim yake Ile Ile,kwaiyo usijidanganye kwamba yanga itaanza upya ayo ni mawazo yako binafsi!
Hata huyo kocha anayekuja mtamfukuza tu kama gamondi.
 
Hata huyo kocha anayekuja mtamfukuza tu kama gamondi.
Kama mlivyomfukuza benchikha na Robertinho, kwani Kuna ubaya,,timu inayoongoza kufukuza makocha ni ipi hapa Tanzania ebu sema!
 
Back
Top Bottom