Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Huo ndiwo ukweli.
Ukiwasikiliza hasa Idara ya Ali Kamwe, kutwa kujigamba na wazi unaona ni watu wanao penda sifa za kijinga na zisizo dhahili.
Mpira wa miguu siyo rede ama kwaya, bali ni Sayansi iliyo bayana. Huwezi ukafanikiwa kufaulu mtihani wa Sayansi ya football kwa mbwembwe na mapambio ya kijinga.
Usera mavi wa akina Kamwe na Privaldinho ndiyo unao wafanya hata wachezaji wa Yanga wajihisi wao ni wachezaji wa daraja A hapa Afrika ilihali ni chekechea tupu.
Ukweli utabaki wazi kwamba ni Simba pekee angalau inauwezo wa kusolve Sayansi ya mpira wa Afrika kwa hapa Tanzania japokuwa kwa kiasi fulani.
Haya, tumerejea kwenye ndondo sasa.
Ukiwasikiliza hasa Idara ya Ali Kamwe, kutwa kujigamba na wazi unaona ni watu wanao penda sifa za kijinga na zisizo dhahili.
Mpira wa miguu siyo rede ama kwaya, bali ni Sayansi iliyo bayana. Huwezi ukafanikiwa kufaulu mtihani wa Sayansi ya football kwa mbwembwe na mapambio ya kijinga.
Usera mavi wa akina Kamwe na Privaldinho ndiyo unao wafanya hata wachezaji wa Yanga wajihisi wao ni wachezaji wa daraja A hapa Afrika ilihali ni chekechea tupu.
Ukweli utabaki wazi kwamba ni Simba pekee angalau inauwezo wa kusolve Sayansi ya mpira wa Afrika kwa hapa Tanzania japokuwa kwa kiasi fulani.
Haya, tumerejea kwenye ndondo sasa.