Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Tusiweke matumaini makubwa kuhusu summit meeting ya kesho.
Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.
Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.
Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.
Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?
Hii ni attempt to hypnotize the whole country.
Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo
Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.
Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.
Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.
Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?
Hii ni attempt to hypnotize the whole country.
Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo