Viongozi wakifika kesho wataongea tu,lakini kwa sasa hakuna ufumbuzi kwa hii vita

Viongozi wakifika kesho wataongea tu,lakini kwa sasa hakuna ufumbuzi kwa hii vita

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Tusiweke matumaini makubwa kuhusu summit meeting ya kesho.

Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.

Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.

Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.

Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?

Hii ni attempt to hypnotize the whole country.

Soma Pia: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo
 
Tusiweke matumaini makubwa kuhusu summit meeting ya kesho.
Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.
Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.
Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.
Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?
Hii ni attempt to hypnotize the whole country.
Kuna mwakilishi wa M23 kwenye huo mkutano, to begin with?
 
Tusiweke matumaini makubwa kuhusu summit meeting ya kesho.
Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.
Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.
Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.
Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?
Hii ni attempt to hypnotize the whole country.
Hapa sasa naweza kusema Mzee wetu atakuwa anajivunia wewe huko alipo.

Hoja zako ni fikirishi.
 
Tusiweke matumaini makubwa kuhusu summit meeting ya kesho.
Jambo moja tunaweza kuridhika ni kwamba kwa kusikiliza ripoti nyingi tunaweza kuona kwamba wapo viongozi wa Jeshi la Kongo ambao sio waaminifu kwa nchi yao.
Tutapata suluhu labda katika huu mgogoro lakini siyo katika Mkutano wa kesho.
Wanajadiliana hawa wataalamu experts in so- called International Relations.
Ndio hao hao experts waliotuletea Ukrainian War na Syrian War na Gaza War.
Nashindwa kuelewa.
Kama Banyamulenge ni raia wa North Kivu kwa nini watake kuiteka Kongo yote?
Hii ni attempt to hypnotize the whole country.


..Mzee Mugabe mwaka 1998 alipokuwa Mwenyekiti wa Sadc troika alituma askari wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, haraka bila kusubiri kikao cha Maraisi wa Sadc.

..bila Mzee Mugabe kuchukua hatua za haraka kupeleka askari Drc leo hii nchi hiyo ingeshakuwa koloni la Rwanda na Uganda.

..sasa hivi Sadc Troika inaongozwa na urojo haiwezi kusimama katika mazingira ya vita.
 
Binafsi naona suluhisho la hii vita ni
1. DRC akubali kukaa na waasi mega moja. Waasi woote maana kuna zaidi ya vikundi 100 vya waasi ...Hawa m23 ni most popular tu. Hii itasaidia kujua panapovuja. Kagame atakosa support.

2. DRC ikubali kuwapinga FDLR....watangaze kuwafukuza nchini kwao...Kagame atakosa sababu ya kwenda Congo.

3. Congo ijenge ukuta kuzizunguka Rwanda na Uganda....na kiwekwe kikosi katikati ya Rwanda na Congo

Rwanda ni jeuri....ana ego...kumbukeni pia Rwanda na Uganda ndiyo Marais Senior EAC na SADC wanajua mbinu zote....na kutakuwa na ile dharau ya hawa wanajua nini.....

Tshekedi humble yourself to save your country. Ongea na hao waCongomani ujue wanahitaji nini? La sivyo utaendelea kumpa upenyo Rwanda wa kutumia huo mwanya kukupiga.

Binafsi.
 
..Mzee Mugabe mwaka 1998 alipokuwa Mwenyekiti wa Sadc troika alituma askari wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, haraka bila kusubiri kikao cha Maraisi wa Sadc.

..bila Mzee Mugabe kuchukua hatua za haraka kupeleka askari Drc leo hii nchi hiyo ingeshakuwa koloni la Rwanda na Uganda.

..sasa hivi Sadc Troika inaongozwa na urojo haiwezi kusimama katika mazingira ya vita.
Kwa ujinga alionao Mcongo hata mkutano nisingeuandaa..achilia mbali kutuma wanajeshi.
 
Binafsi naona suluhisho la hii vita ni
1. DRC akubali kukaa na waasi mega moja. Waasi woote maana kuna zaidi ya vikundi 100 vya waasi ...Hawa m23 ni most popular tu. Hii itasaidia kujua panapovuja. Kagame atakosa support.

2. DRC ikubali kuwapinga FDLR....watangaze kuwafukuza nchini kwao...Kagame atakosa sababu ya kwenda Congo.

3. Congo ijenge ukuta kuzizunguka Rwanda na Uganda....na kiwekwe kikosi katikati ya Rwanda na Congo

Rwanda ni jeuri....ana ego...kumbukeni pia Rwanda na Uganda ndiyo Marais Senior EAC na SADC wanajua mbinu zote....na kutakuwa na ile dharau ya hawa wanajua nini.....

Tshekedi humble yourself to save your country. Ongea na hao waCongomani ujue wanahitaji nini? La sivyo utaendelea kumpa upenyo Rwanda wa kutumia huo mwanya kukupiga.

Binafsi.

..mpaka wa Drc na nchi za Rwanda na Uganda ufungwe, na kati yao kuwe na demilitarized zone.
 
Binafsi naona suluhisho la hii vita ni
1. DRC akubali kukaa na waasi mega moja. Waasi woote maana kuna zaidi ya vikundi 100 vya waasi ...Hawa m23 ni most popular tu. Hii itasaidia kujua panapovuja. Kagame atakosa support.

2. DRC ikubali kuwapinga FDLR....watangaze kuwafukuza nchini kwao...Kagame atakosa sababu ya kwenda Congo.

3. Congo ijenge ukuta kuzizunguka Rwanda na Uganda....na kiwekwe kikosi katikati ya Rwanda na Congo

Rwanda ni jeuri....ana ego...kumbukeni pia Rwanda na Uganda ndiyo Marais Senior EAC na SADC wanajua mbinu zote....na kutakuwa na ile dharau ya hawa wanajua nini.....

Tshekedi humble yourself to save your country. Ongea na hao waCongomani ujue wanahitaji nini? La sivyo utaendelea kumpa upenyo Rwanda wa kutumia huo mwanya kukupiga.

Binafsi.
Lakini vilevile wanatakiwa kuheshimu sanduku la kura.
 
..mpaka wa Drc na nchi za Rwanda na Uganda ufungwe, na kati yao kuwe na demilitarized zone.
Kikubwa tusitegemee chochote.....Tension ilianza tu kabla ya kukutana.

Unaona rais atakesikilizwa kweli?
 
Lakini vilevile wanatakiwa kuheshimu sanduku la kura.
Namna pekee ni kuwaonyesha wamejumuishwa kwa serikali hata kama nchi ni maskini.

Tusisahau pia Makampuni makubwa na nchi kubwa zimetumia huu mgogoro kama njia ya kujineemesha....vikundi zaidi ya 100 nani anavifadhili? Vyote vinafandhiliwa na Rwanda? Staking kuliamini hili
 
Kuna mwakilishi wa M23 kwenye huo mkutano, to begin with?
Sijui kama wamealikwa lakini nasikia Raisi Emerson Munangagwa amependekeza M23 waalikwe sasa ngoja tuone.

Tishekedi akikataa basi Afrika ijue nani ambae hataki mgogoŕo huu uishe.
 
Binafsi naona suluhisho la hii vita ni
1. DRC akubali kukaa na waasi mega moja. Waasi woote maana kuna zaidi ya vikundi 100 vya waasi ...Hawa m23 ni most popular tu. Hii itasaidia kujua panapovuja. Kagame atakosa support.

2. DRC ikubali kuwapinga FDLR....watangaze kuwafukuza nchini kwao...Kagame atakosa sababu ya kwenda Congo.

3. Congo ijenge ukuta kuzizunguka Rwanda na Uganda....na kiwekwe kikosi katikati ya Rwanda na Congo

Rwanda ni jeuri....ana ego...kumbukeni pia Rwanda na Uganda ndiyo Marais Senior EAC na SADC wanajua mbinu zote....na kutakuwa na ile dharau ya hawa wanajua nini.....

Tshekedi humble yourself to save your country. Ongea na hao waCongomani ujue wanahitaji nini? La sivyo utaendelea kumpa upenyo Rwanda wa kutumia huo mwanya kukupiga.

Binafsi.
Hoja yako ina mashiko! 👍
 
Namna pekee ni kuwaonyesha wamejumuishwa kwa serikali hata kama nchi ni maskini.

Tusisahau pia Makampuni makubwa na nchi kubwa zimetumia huu mgogoro kama njia ya kujineemesha....vikundi zaidi ya 100 nani anavifadhili? Vyote vinafandhiliwa na Rwanda? Staking kuliamini hili
Unaweza kuvi orodhesha hivyo vikundi. Na kwanini ADF iwe Congo na sio Uganda , na kupewa Jina la waislamu WA itikadi Kali , pili kwa nini Rwanda itumie kisingizio cha FDRL , wakati wao wenyewe asili Yao ilikuwa kutoka updf. Na zaidi ya hapo wao RPF ni zao la kutotekeleza mkataba wa Amani wa Arusha. Ambao. Ungewawezesha kuishi kwa pamoja na hao FDRL. Na sasa hao RPF wamepata Madaraka , wamewafungia vioo wa Hutu Ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda . Na kutumia kisingizio hicho kuingia DRC Kwa kisingizio cha FDRL na hao Banyamulenge . Kwa hiyo Nia Yao ni kuwamaliza "wahutu" kadiri inavyowezekana , na kujiimarisha zaidi Kwa kuwa tumia Banyamulenge na kuchukua Ardhi ya Kongo Kivu ya kaskazini na baadae kuiingia Burundi na kuwa maliza au kuwa punguza Wahutu Burundi. Ndio wajichukulie Kivu ya kusini.

Ikibidi Sana hao Banyamulenge wahamishwe upande wa pili wa mpaka na wasi kae mpakani na Rwanda au Burundi. Na idaddi Yao hihesabiwe na vizazi vyao vianze kuwa vinaandikishwa huko.
 
Unaweza kuvi orodhesha hivyo vikundi. Na kwanini ADF iwe Congo na sio Uganda , na kupewa Jina la waislamu WA itikadi Kali , pili kwa nini Rwanda itumie kisingizio cha FDRL , wakati wao wenyewe asili Yao ilikuwa kutoka updf. Na zaidi ya hapo wao RPF ni zao la kutotekeleza mkataba wa Amani wa Arusha. Ambao. Ungewawezesha kuishi kwa pamoja na hao FDRL. Na sasa hao RPF wamepata Madaraka , wamewafungia vioo wa Hutu Ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda . Na kutumia kisingizio hicho kuingia DRC Kwa kisingizio cha FDRL na hao Banyamulenge . Kwa hiyo Nia Yao ni kuwamaliza "wahutu" kadiri inavyowezekana , na kujiimarisha zaidi Kwa kuwa tumia Banyamulenge na kuchukua Ardhi ya Kongo Kivu ya kaskazini na baadae kuiingia Burundi na kuwa maliza au kuwa punguza Wahutu Burundi. Ndio wajichukulie Kivu ya kusini.

Ikibidi Sana hao Banyamulenge wahamishwe upande wa pili wa mpaka na wasi kae mpakani na Rwanda au Burundi. Na idaddi Yao hihesabiwe na vizazi vyao vianze kuwa vinaandikishwa huko.
Hoja muafaka kabisa. Banyamulenge waondolewe mpakani mwa Rwanda wapelekwe sehemu nyingine ndani ya Congo
 
Unaweza kuvi orodhesha hivyo vikundi. Na kwanini ADF iwe Congo na sio Uganda , na kupewa Jina la waislamu WA itikadi Kali , pili kwa nini Rwanda itumie kisingizio cha FDRL , wakati wao wenyewe asili Yao ilikuwa kutoka updf. Na zaidi ya hapo wao RPF ni zao la kutotekeleza mkataba wa Amani wa Arusha. Ambao. Ungewawezesha kuishi kwa pamoja na hao FDRL. Na sasa hao RPF wamepata Madaraka , wamewafungia vioo wa Hutu Ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda . Na kutumia kisingizio hicho kuingia DRC Kwa kisingizio cha FDRL na hao Banyamulenge . Kwa hiyo Nia Yao ni kuwamaliza "wahutu" kadiri inavyowezekana , na kujiimarisha zaidi Kwa kuwa tumia Banyamulenge na kuchukua Ardhi ya Kongo Kivu ya kaskazini na baadae kuiingia Burundi na kuwa maliza au kuwa punguza Wahutu Burundi. Ndio wajichukulie Kivu ya kusini.

Ikibidi Sana hao Banyamulenge wahamishwe upande wa pili wa mpaka na wasi kae mpakani na Rwanda au Burundi. Na idaddi Yao hihesabiwe na vizazi vyao vianze kuwa vinaandikishwa huko.
Wanaoitwa waasi wa ADF ni genge la museveni kama genge la kagame la m23 Tatizo la serikali ya DRC linaweza kuwa ni ufisadi. Nchi ina migodi halafu inakosa pesa ya kuwa na jeshi kubwa lenye mafunzo ya hali ya juu na zana za kisasa!

Serikali ya DRC itoe pesa FARDC ifumuliwe yote na kuunda jeshi jipya kubwa lenye mafunzo ya hali ya juu. Kwa ukubwa wa DRC ilitakiwa kuwa na wanajeshi walau milioni 5. Hapo Goma pangesafishwa kwa siku chache tu.
 
Sijui kama wamealikwa lakini nasikia Raisi Emerson Munangagwa amependekeza M23 waalikwe sasa ngoja tuone.

Tishekedi akikataa basi Afrika ijue nani ambae hataki mgogoŕo huu uishe.
Kama M23 hawapo kwenye mkutano, basi huo mkutano sio wa kutafuta amani. Mkutano hautatofautiana na war planning meeting!
 
..DRC hawajapewa nafasi ya kuongoza na kujenga nchi yao.

..pia ujiulize mbona mipaka ya Drc na nchi kama South Sudan, Zambia, Angola, na Tanzania, haina matatizo?
DRC hawajapewa nafasi ya kuongoza nchi yao nchi yao na nani?
 
Back
Top Bottom