Viongozi wanaotajwa kuongoza kuwa na akili nyingi zaidi Duniani.

MAgufuri hyupo??? Hao waongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ningeliambiwa nitaje wenye akili mbovu au au matahira au vichaa wasafi wa suti au vichwa panzi nadhani page isingelitosha na pasingelitosha si mnajua tena.
 
Eh bana eeh...basi we mkali sana!

Kama praimare ulipata zaidi ya 100 sasa hivi si utapata zaidi ya 200 kabisa!

😀😀
It is so Euclidean in its axiomatic structure.

Kuna kipande kimoja kilikuwa kinapiga Ph.D ya mambo ya saikolojia ndiyo kazi zao kupima watu akili, nilikuwa nikikibana kinakubali tu kwamba kupima IQ ni uzushi na unavyozidi kusoma haya mambo kwenye level hiyo ya Ph.D na kupima kweli unajua IQ is so crude.
 
Naamini hao wote waliotajwa hapo juu hawamfikii Mugabe
 
[emoji23] [emoji23] kwahiyo wafuas wa Mungu ni hawa wa afrika!! Kina Mugabe, Museven, Pombe, mswati, Zuma!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahaha labda hao hao
 

Huyo si yule wa Spelman kweli? 😀
 
Kwenye IQ level kuna moja inaitwa PROFOUND usiombe kukutwa nayo..
 
Mkuu ebu the tuletee na list ya viongozi wenye IQ ndogo kabisa , haswa haswa viongozi wa nyumbani tz. Naamini yule mfoji vyeti ndio atakuwa anaongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…