Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Kuna wimbi kubwa sana la watanzania ambao wameupuuza huu uchaguzi wa serikali za mitaa na Mimi nikiwepo. Niwapongeze kwa kuchukua maamuzi yao kikatiba na kibinafsi kufanya maamuzi bila bugudha. Hii ndiyo sehemu pekee mtanzania anayo maamuzi binafsi bila mtutu wa polisi, vitisho vya viongozi wala kutekwa. Katiba imempa mwananchi uwanda mpana sana katika kufanya maamuzi yahusuyo mustakabali wa nchi yake lakini viongozi huwaamulia wanancho ni sehemu gani haswa wanapasea kuwa active na sehemu gani wanapasea kuvunga, hii sio sawa
Wananchi tunajua imma tujiandishe au tusijiandishe kupitia nukuu za viongozi wa CCM na polisi tukifanya hivyo ni kupoteza muda na rasilimali nguvu.
Wananchi tumeamua kuwaachia mfanye mnachokiona kinafaa lakini msitupangie kuhusu kujiandikisha. Tutafanya tunachojisikia uchaguzi sio muhimu kwetu na hautatuletea ugali mezani
Wananchi tunajua imma tujiandishe au tusijiandishe kupitia nukuu za viongozi wa CCM na polisi tukifanya hivyo ni kupoteza muda na rasilimali nguvu.
Wananchi tumeamua kuwaachia mfanye mnachokiona kinafaa lakini msitupangie kuhusu kujiandikisha. Tutafanya tunachojisikia uchaguzi sio muhimu kwetu na hautatuletea ugali mezani