Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Ukweli mchungu usiotaka kuusikiaKwanza mikaa yote viongozi Wakiwa Waislamu hao TEC Huwa wanaosumbua hivyo hivyo ila akiwa mtu wa dhehebu lao pamoja na madudu wanakausha.
Kwani saiiz Wana Imani nae? Wao wasiookuwa na Imani wengine watakuwa na Imani ,TEC haiongozi Nchi bwana.
Unajisikiaje kuona rais wa nchi anakwenda kuwasalimia mashoga,inauma.eeeeeeh?Na mashoga
Roma!Mmh!!!!! kuna tatizo kubwa nchini serikali ikimbilie kuomba msamaha kikundi cha watu wachache wasio fika hata serufi moja ya idadi ya watu, kweli
Iniume nini! Mimi nayaona majinga tu.Unajisikiaje kuona rais wa nchi anakwenda kuwasalimia mashoga,inauma.eeeeeeh?
Kabla ya 2015 mimi nilikuwa na mtu ambaye alikuwa anaweza kupeleka kwenye mfumo wa nchi maoni yangu juu ya nani ateuliwe na CCM kugombea urais.Nilikuwa natoa hoja mbili kuu kumpendekeza Magufuli; 1. Kati ya viongozi wote yeye bado alikuwa ana imani ya wananchi,2.Alikuwa anatoka kwenye kanda yenye wapiga kura wengi.
Kwa sasa huyo mtu hayuko jirani na mfumo wa sasa.Lakini kwa kuzingatia kuwa mimi nikisema kitu mara nyingi ndiyo huwa ni uhalisia,nashauri CCM wasimteue Mama mwaka 2025 kugombea urais.Ikiwezekana Mwinyi,Rais wa Zanzibar agombee huku Bara.
Utumwe wewe kama nani?
We mwongo!Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kuanzia Mwenyekiti/Rais hadi viongozi wengine waandamizi wamekuwa 'busy' na kutafuta kukubalika na wakatoliki.
Pamoja na ukweli kuwa ili ushindi upatikane na utulivu wa kiuongozi utamalaki lazima ukubalike na TEC, sasa imekuwa 'too much'. Makada wabobezi na waandamizi (hasa tulio wakatoliki) tunatumwa bila kusemwa kwa Kardinali, Maaskofu, Mapadre na wengineo ili kusaka kukubalika kwa viongozi wetu.
Amini nawaambia viongozi wangu wa kichama na kiserikali, TEC hawatashawishika kirahisi.
Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.
Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.
CCM tumeshaanza kampeni, wenzetu vipi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Sijawahi kumuona Mama Samia akihangaika hata siku moja, nimemuona anapiga gahwa kwa kina Bashe Nzega.Umemuona Mama akihangaika makanisani? Una la kusema?
Wewe kweli unaijua TEC, tena hata kuliko wakatoliki wenyewe!na hii inathibitisha ukweli kwamba kuwa mkatoliki sio sababu ya kujua politics za kanisa lako! Ukweli ni kwamba TEC haiko tayari kuona CCM inaanguka, yanayowaunganisha ni zaidi ya yanayowatofautisha!TEC haiwezi kutaka CCM ishindwe uchaguzi hata mara moja !!
Na huo ndio ukweli wenyewe ! 🙏🙏Wewe kweli unaijua TEC, tena hata kuliko wakatoliki wenyewe!na hii inathibitisha ukweli kwamba kuwa mkatoliki sio sababu ya kujua politics za kanisa lako! Ukweli ni kwamba TEC haiko tayari kuona CCM inaanguka, yanayowaunganisha ni zaidi ya yanayowatofautisha!
Unayemuona mjinga ni Rais Muislam?Iniume nini! Mimi nayaona majinga tu.
Ni wengi,wasomi,na matajiri nà popote ukienda wapoHata Mimi naunga mkono,kwani lazima Kila kitu hao TEC waunge mkono? Ni upuuzi kutokubalia kukubaliana na itakuwa Haina maana Sasa ya kuwa na Taifa.
Maendeleo huletwa katikati ya mgongano wa fikra,TEC na RC hawaendeshi hii Nchi ni mambo ya kipuuzi kuwaza hivyo na inajenga mbegu ya chuki kw watu wa madhehebu na dini zingine.
Inakera sana.
Yale mashoga yasiyo to........aUnayemuona mjinga ni Rais Muislam?
Ccm na Tec mna ushirika gani ?Lazima niseme. Nguvu kubwa inafanywa na viongozi wetu wa CCM Taifa ambao pia ni viongozi serikalini kupata 'uungwaji mkono' na Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Ni maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Kuanzia Mwenyekiti/Rais hadi viongozi wengine waandamizi wamekuwa 'busy' na kutafuta kukubalika na wakatoliki.
Pamoja na ukweli kuwa ili ushindi upatikane na utulivu wa kiuongozi utamalaki lazima ukubalike na TEC, sasa imekuwa 'too much'. Makada wabobezi na waandamizi (hasa tulio wakatoliki) tunatumwa bila kusemwa kwa Kardinali, Maaskofu, Mapadre na wengineo ili kusaka kukubalika kwa viongozi wetu.
Amini nawaambia viongozi wangu wa kichama na kiserikali, TEC hawatashawishika kirahisi.
Hawatasahaulishwa msimamo na Tamko lao juu ya mkataba tata wa DP World. Hawatalaghaiwa kwa ahadi za kifedha; kupokelewa uwanjani au kupewa kanzu. TEC bado wanalo la bandari na wamejipanga kuusimamia msimamo wao.
Ili CCM tujisafishe mbele ya TEC, Tamko lao liheshimiwe. Kupigana vikumbo kujisogeza kwao hakutasaidia chochote. TEC imesheheni waelewa wa mambo zaidi ya wanasiasa wa zamani na wa sasa. Si wepesi kuyumbishwa kwa ahadi zisizo na kadi; michngo ya michongo na zawadi maridadi.
CCM tumeshaanza kampeni, wenzetu vipi?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Vipi una lolote la kusema tena leo baada ya mkataba kusainiwa kati ya TPA na DP-WORLD mbele ya TEC?TEC haifanani na akina Waitara, Katambi, Mollel, Kafulila au akina Mkumbo; ambao wakiwa na njaa wanapiga sana kelele, wakirushiwa mfupa, ni kushangilia na musifia kama wehu.
TEC haiwezi kunyamazishwa au kubadilishwa katija wanachokiamini kuwa siyo sawa, kwa kurushiwa mchango au kutembelewa maofisini kwao. Kitakachobadilisha msimamo wa TEC ni Serikali na viongozi kuachana na ule mkataba wa kishenzi wa DP.