Viongozi wangu wa CCM inatosha sasa, TEC hawatatuelewa hadi tueleweke!

Kwanza mikaa yote viongozi Wakiwa Waislamu hao TEC Huwa wanaosumbua hivyo hivyo ila akiwa mtu wa dhehebu lao pamoja na madudu wanakausha.

Kwani saiiz Wana Imani nae? Wao wasiookuwa na Imani wengine watakuwa na Imani ,TEC haiongozi Nchi bwana.
Ukweli mchungu usiotaka kuusikia
 
Bakwata na wale Waislam waliokuwa wanajadili waraka wa TEC wako wapi? Aibu zenu. Wenzenu hao wanababaikiwa na kubembelezwa kama watoto. Mara wanapewa hela /michango..

Nyinyi kazi yenu ni kutumika tu halafu mnaachwa hapo na matatizo yenu. Wakikwama sehemu wanawatumia mtoe matamko uchwara huku shida zenu ziko palepale.
 

Angegombea Mwinyi wasingekuwa na haja hata ya kupiga kampeni. Mwinyi ni kifaa hasa. Angepita kwa 80%, kiulainiii kabisa.
 
We mwongo!
Mbona 2010 Katoliki walimkataa JK wakasimama na Padri Slaa na still mtoto wa mjini aliwaonyesha shoo
 
Viongozi Kwanza waone aibu na wakiri na kutubu dhambi ya uongo juu ya Dubai na kusumbua umma.Mamlaka ya nchi iwatose waongo na wachumia tumbo waliopotosha imma kwa kusema wasichokiamini na kutosema wanachokiamini.Iwatose hats Kama Ni gesture tu Lakini imma ujue kuna juhudi za kujirudi.Nchi imekosa wenye hekima na busara kwa kuwa waliopo wanakandiwa na kuzodolewa na manungayembe ya kisasa,vijana makuwadi wa mitaji na fedha chafu,eti kwamba kwa kushauri na kutahadharisha wanasumbuliwa na njaa.Ni maneno yanayoweza kutamkwa tu na vijana wazaliwa mitaroni,wasiostahili kupewa dhamana kwa shughuli za chama na serikali.Rais asiposituka na kutenda tunakaribisha mafuriko.TEC si ya mademagogue,Ni ya watu walioshiba elimu,wenye kujitoa ili wengine wapate kimwili na kiroho .Tunataka kuona Yuda Iskariote akijinyonga na kuvitema vipande vya dinari vilivyoleta kilio kwa jamii.Bila hivyo mengine yote lelemama na ulaghai uliokithiri!
 
TEC haiwezi kutaka CCM ishindwe uchaguzi hata mara moja !!
Wewe kweli unaijua TEC, tena hata kuliko wakatoliki wenyewe!na hii inathibitisha ukweli kwamba kuwa mkatoliki sio sababu ya kujua politics za kanisa lako! Ukweli ni kwamba TEC haiko tayari kuona CCM inaanguka, yanayowaunganisha ni zaidi ya yanayowatofautisha!
 
Na huo ndio ukweli wenyewe ! 🙏🙏
 
Waambieni Wakatoliki ni kosa kupeleka kwenye mimbari za kanisa mambo ya serikali kama kushauri au kukaripia iwe kwa viongozi wao.
Lakini kwa hii sioni afya kwa kweli hebu fikiri kama ingekua waislamu ndiyo wamehusika na hili misikitini mwao ingekuaje?
Zaidi ni kwanini akiingia Muislamu Wakatoliki wanakua na maneno mengi sana
Udini?
 
Ni wengi,wasomi,na matajiri nà popote ukienda wapo

Taasisi ya kwanza kama siyo ya pili nyuma ya CCM kwa ushawishi na yenye mizizi toka shinani huko hadi taifa
 
Ccm na Tec mna ushirika gani ?
 
Vipi una lolote la kusema tena leo baada ya mkataba kusainiwa kati ya TPA na DP-WORLD mbele ya TEC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…