Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Heshima kitu cha bure. Ukijifanya chizi watu watushughulika na wewe kama ni mtu mwenye kujielewa. Akili zitakaa sawa tu.

Jitahidi kutofautisha kuvumilia ukweli na kutoheshimiwa. Mara nyingi watu wasiomudu kusikia ukweli, hutumia kichaka cha kuvunjiwa heshima ili kuficha ukweli. Kwakuwa una madaraka unaweza kuyatumia vibaya kwa tafsiri yako kuwa umevunjiwa heshima, lakini ukweli hubakia kuwa ukweli. Na tuna uwezo wa kupima ipi ni kuvunjiwa heshima, na upi ni ukweli lakini unapindishwa ili kuleta maana tofauti.
 
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Lakini mkuu, utafiti mzuri si ni ule wa experiment?
 
Tusiende huko hiyo direction ni sawa na kuwasha cheche kwenye mitambo ya gesi. Mi siyapendi macdm lakini hiyo direction mwanzisha thread big no.
Kila RAIA wa nchi hii ana haki sawa na mwingine. Kuanza kutambuana kwa makabila hiyo hapana kwa kweli.
Nimemzaa mpare ila siwachukii wasukuma...

Naunga mkono Mkuu ukabila si Jambo la kushadadia hata kidogo MADHARA yake ni mabaya na makubwa mno, Yarab tuepushie mbali...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
siyo dhaifu ndiyo ila ni kichaa kama vichaa wengine tu!
 
Jitahidi kutofautisha kuvumilia ukweli na kutoheshimiwa. Mara nyingi watu wasiomudu kusikia ukweli, hutumia kichaka cha kuvunjiwa heshima ili kuficha ukweli. Kwakuwa una madaraka unaweza kuyatumia vibaya kwa tafsiri yako kuwa umevunjiwa heshima, lakini ukweli hubakia kuwa ukweli. Na tuna uwezo wa kupima ipi ni kuvunjiwa heshima, na upi ni ukweli lakini unapindishwa ili kuleta maana tofauti.
Hakuna anayeupinga ukweli japo cha muhimu ni uwasilishaji wako.

Ukiuwakilisha kwa njia ya staha utapokelewa na muwasilishaji utaheshimiwa.

Ukiuwakilisha kwa namna ya kebehi au kejeli utashughulikiwa.
 
Back
Top Bottom