Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Magu alishawaita wapumbavu , wakati mwingine ni vizuri mkaficha upumbavu wenu.
 
Nguvu ya Magufuli ndiyo UDHAIFU WAKE.
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo muda wa malumbano ndio ambao awamu ya tano haina.

Sio muda haina, bali ndio huo udictator uchwara. Kuna maendeleo gani ya kushangaza kwenye hili deni la taifa linalopaa mpaka iseme haina muda wa kuheshimu utawala bora? Wangepeleka vyombo anga za mbali si wangeua wananchi wote wasiousujudia? Labda wana ulimbukeni wa maendeleo, basi wanadhani hiyo ni tiketi ya kunyanyasa wasiowasujudia.
 
Sio muda haina, bali ndio huo udictator uchwara. Kuna maendeleo gani ya kushangaza kwenye hili deni la taifa linalopaa mpaka iseme haina muda wa kuheshimu utawala bora? Wangepeleka vyombo anga za mbali si wangeua wananchi wote wasiousujudia? Labda wana ulimbukeni wa maendeleo, basi wanadhani hiyo ni tiketi ya kunyanyasa wasiowasujudia.
Kunyanyaswa wakati mwingine mtu anakutafuta mwenyewe.

Kuna ile tabia ya kugeuza uhuru wa habari kuwa ndio kichaka cha kila kitu.

Mpaka JK kuitwa dhaifu chanzo ni wema wake uliopitiliza. Sasa huyu wa sasa kajifunza kupitia kebehi hiyo ya wema wa JK.
 
Wewe usingekuwa MWOGA ungekuja Jf na jina halisi.

Mwili wa binadamu umeumbwa na uoga.

Yesu alisema...........Roho i radhi lakini mwili ni dhaifu!

Na Msemakweli ni mpenzi wa Mungu hawezi kuwa dhaifu!

Hizi fake I'd zilianza hata kabla awamu hii haijaingia madarakani. Ww hapa ulipo unasifia ni kipi kinakufanya utumie fake I'd?
 
Hakuna katiba inayovunjwa, ndege zinanuliliwa kwa ridhaa ya bunge reli inajengwa kwa ridhaa ya bunge.

Treni ya Moshi imefufuliwa baada ya miaka 25 kwa pesa iliyoidhinishwa na bunge.

Tulizoea maisha fulani ya kisanii ambayo ni artificial lakini awamu hii tumerudi kwa mstari ulionyooka.

Hizo tuhuma bado hazina ushahidi halisi zaidi ya ule wa kimazingira.
circumstatial evidence inamfunga mtu ICC!
 
Kunyanyaswa wakati mwingine mtu anakutafuta mwenyewe.

Kuna ile tabia ya kugeuza uhuru wa habari kuwa ndio kichaka cha kila kitu.

Mpaka JK kuitwa dhaifu chanzo ni wema wake uliopitiliza. Sasa huyu wa sasa kajifunza kupitia kebehi hiyo ya wema wa JK.

Usitake kupotosha JK hakuwa mwema lakini alijali kwa kiwango cha kuridhisha mipaka ya madaraka yake. Hakuwa na ulevi wa madaraka. Yeye aliitwa dhaifu hizo ni lugha za kawaida sana kwenye siasa, kwani hata yeye aliwaita mahasimu wake majina na kebehi nyingine za kisiasa. Ukiona mtu hawezi hizo kejeli na vijembe vya kisiasa, ujue analazimisha kuwa kwenye siasa lakini haziwezi, na huyo atakuwa sio kiongozi wa kisiasa bali dictator au kiongozi aliyeingia madarakani kwa kupindua nchi.
 
Duh, sijui itakuwaje CHADEMA wakiamua ku pursue confrontation approach! Mbowe anasakizia watu kwenye maandaano halafu hatokei! Rejea maandamano ya Arusha na ushuhuda wa Zitto. Mnyika naye hataki vurugu kabisa na CHADEMA wa ndani wanalijua Hilo.
Kwa hiyo hili wahubiri wanalolitenda manaake lazima kuwe na radical change of policy ya chama! Tusubiri, yetu macho!
 
Duh, sijui itakuwaje CHADEMA wakiamua ku pursue confrontation approach! Mbowe anasakizia watu kwenye maandaano halafu hatokei! Rejea maandamano ya Arusha na ushuhuda wa Zitto. Mnyika naye hataki vurugu kabisa na CHADEMA wa ndani wanalijua Hilo.
Kwa hiyo hili wahubiri wanalolitenda manaake lazima kuwe na radical change of policy ya chama! Tusubiri, yetu macho!
Yule Benson anapenda sana vurugu!
 
Duh, sijui itakuwaje CHADEMA wakiamua ku pursue confrontation approach! Mbowe anasakizia watu kwenye maandaano halafu hatokei! Rejea maandamano ya Arusha na ushuhuda wa Zitto. Mnyika naye hataki vurugu kabisa na CHADEMA wa ndani wanalijua Hilo.
Kwa hiyo hili wahubiri wanalolitenda manaake lazima kuwe na radical change of policy ya chama! Tusubiri, yetu macho!

Ni wapi umeona kiongozi akiwa mstari wa mbele kwenye mapambano? Nyerere anasifiwa mpaka leo kuwa alimtoa Iddy Amini, alikuwa anakaa mstari wa mbele kwenye vita? Kocha ndio huwa anafundisha timu icheze vipi, na hata ikifungwa yeye ndio Mbeba lawama namba moja, je huwa anaingia uwanjani kucheza? Au na yeye anawasukumizia wachezaji? Hao viongozi wanaoagiza polisi wawapige waandamanaji, mbona wao hawakai mbele kupambana na hao waandamanaji ili waipate fresh? Pumbavu kabisa.
 
Back
Top Bottom