Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Ni wapi umeona kiongozi akiwa mstari wa mbele kwenye mapambano? Nyerere anasifiwa mpaka leo kuwa alimtoa Iddy Amini, alikuwa anakaa mstari wa mbele kwenye vita? Kocha ndio huwa anafundisha timu icheze vipi, na hata ikifungwa yeye ndio Mbeba lawama namba moja, je huwa anaingia uwanjani kucheza? Au na yeye anawasukumizia wachezaji? Hao viongozi wanaoagiza polisi wanapige waandamanaji, mbona wao hawakai mbele kupambana na hao waandamanaji ili waipate fresh? Pumbavu kabisa.
Mchungaji wa kondoo hukaa mbele......BALI....Mchungaji wa mbuzi hukaa nyuma!
 
Hao wanaowaambia makamanda waandamane ilhali wao wamejificha Ufipa!

Nakuuliza tena, nitajie kiongozi yoyote anayetangaza vita anakaa mstari wa mbele kwenye vita. Nchi nyingi zimeingia vitani au kwenye machafuko, taja siku ulimuona kiongozi yoyote mstari wa mbele kwenye hivyo vita au machafuko. Viongozi huwa wanaonekana kwenye meza za mlo baada ya mauaji kutokea.
 
Huko kwenu sijui mnatumia viuongo gani kuwaza! unasema sio dhaifu ikiwa anaogopa mpaka bendera za Chadema
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitake kupotosha JK hakuwa mwema lakini alijali kwa kiwango cha kuridhisha mipaka ya madaraka yake. Hakuwa na ulevi wa madaraka. Yeye aliitwa dhaifu hizo ni lugha za kawaida sana kwenye siasa, kwani hata yeye aliwaita mahasimu wake majina na kebehi nyingine za kisiasa. Ukiona mtu hawezi hizo kejeli na vijembe vya kisiasa, ujue analazimisha kuwa kwenye siasa lakini haziwezi, na huyo atakuwa sio kiongozi wa kisiasa bali dictator au kiongozi aliyeingia madarakani kwa kupindua nchi.
Huyu ni mpaka 2025 panapo uhai, uvumilivu tu ndio unaotakiwa.
 
Nakuuliza tena, nitajie kiongozi yoyote anayetangaza vita anakaa mstari wa mbele kwenye vita. Nchi nyingi zimeingia vitani au kwenye machafuko, taja siku ulimuona kiongozi yoyote mstari wa mbele kwenye hivyo vita au machafuko. Viongozi huwa wanaonekana kwenye meza za mlo baada ya mauaji kutokea.
Jenerali Mtimkavu!
 
Ukweli husemwa kwa heshima na busara. Ukitaka umtusi kwa kigezo cha uhuru wako wa habari kama vile yeye hastahili heshima basi jiandae kuchakaa.

Asichokitaka ni kusikia ukweli, hiyo kuwa anataka ukweli wa heshima na busara ni sehemu ya kuijifichia tu. Ila kiukweli ni mtu asiyemudu kuusikia ukweli kwa ajili ya ulevi wa madaraka.
 
Rejea pale juu niliposema vita au machafuko.
Chadema wakitangaza maandamano bila kufuata sheria huo ni uhalifu na ili kuuhalalisha inabidi Mbowe akae mbele siyo anakimbia na kitu chenye ncha kali kinampata akwilina!
 
Asichokitaka ni kusikia ukweli, hiyo kuwa anataka ukweli wa heshima na busara ni sehemu ya kuijifichia tu. Ila kiukweli ni mtu asiyemudu kuusikia ukweli kwa ajili ya ulevi wa madaraka.
Heshima kitu cha bure. Ukijifanya chizi watu watushughulika na wewe kama ni mtu mwenye kujielewa. Akili zitakaa sawa tu.
 
Back
Top Bottom