Sawa miradi anasimamia , ni jambo zuri. Lakini anasimamia miradi kwa kuvunja katiba. miradi anatoa mfukoni mwake. nani anaidhinisha pesa? Ni kuvunja katiba. As long as anavunja katika anayoyafanya hayana thamani ! angeliyfanya kwa idhini ya sheria na katiba inavyoagiza, then hapo kweli ni shujaa! Hakuna shujaa wa kuvunja katiba.
Pili kuhusu kmauaji, soma hili kama mfano!
“The inference is irresistible that it is the government that orchestrated the plan to shoot Lisu. The possibility that political or road thugs are involved, is excluded by the reaction the government found itself involved in after the shooting. The subsequent behaviors of the Rais, Speaker, IGP and their subordinates….., all bear testimony that the government is involved in the shooting.” In all these circumstances a reasonable common man is perfectly inclined to come to a conclusion that inculpatory behavior by the government after the shooting are incompatible with the innocence of the government and incapable of explanation upon any other hypothesis than that of the involvement of the government