Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Nyani haoni kundule ,unakumbuka kabla ya Magufuli kuingia madarakani hali ilvyokua serikalini?
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
hapa tunazungumzia nafasi za uongozi ndani ya chama tena Chadema hizi habari za CDF na Mawaziri ni nafasi za uongozi ndani ya CCM?
 
Na polepole nae ni wa huko
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
PM, DGIS wa kitengo wanatoka wap?
 
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko nako wamesoma ,shida si Ilikuwa ni elimu jamani. Kuna muda mramba aliwajibu bungeni kuwa wachaga kujazana TRA ni kwa sababu wamesoma ama sio logic.
Na kanda ya ziwa kama haujui ndo kiini cha Tanzania ilipo. Nyie shukuruni wamishionari kuwabeba kuwaletea elimu na huduma za jamii kiujumla. Afu side wajanja . lete maedeleo yenu kabla hawajaja Hayo jamaa.na uzuri waliweka kwenu makao makuu mana weather iliwapendeza.
 
Tumerudi tena kwenye ukabila miaka 58 ya uhuru tunaongelea ukabila! chadema kiliitwa chama cha wakristo kipindi cha dr slaa sasa ivi kinaitwa chama cha kikabila so sad sana.
 
hapa tunazungumzia nafasi za uongozi ndani ya chama tena Chadema hizi habari za CDF na Mawaziri ni nafasi za uongozi ndani ya CCM?
Hahahahah,dah! Kweli TWAWEZA wazidi kukusanya details

Msingi wa swali ni uongozi kitaifa yaani unahoji uongozi wa chadema kuwa hauonyeshi Utaifa

Na Mimi kwa kujibu swali lako ndo nakuja kuoanisha uongozi wa kitaifa kwa ccm na serikali yake kama uongozi uliopo umezingatia Utaifa ama ukanda na ukabila

Na je uongozi chadema na uongozi ccm na ukanda wapi Luna negative impact kwa jamii?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende upande wa ccm

UWT-Kabaka kanda ya ziwa

KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa

MWENYEKITI-kanda ya Ziwa

Viongozi wakubwa wa serikali

Waziri wa ndani-kanda ya ziwa

Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa

Jaji mkuu-Kanda ya ziwa

Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa

IGP-kanda ya Ziwa

Waziri Mpina- kanda ya ziwa

Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa

CAG-kanda ya ziwa

Hazina,mpwa-kanda ya ziwa

Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa

Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa

Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi

Na huu ni uongozi wa kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa maji...kanda yaziwa

Waziri wa afya.. kanda ya ziwa

Katibu mkuu maji....kanda ya ziwa

Naibu waziri maji...kanda ya ziwa

Waziri wa sheria ...kanda ya ziwa

Waziri mambo yanje na Naibu wake...kanda yaziwa


Tiss ....kanda yaziwa

Takukuru....kanda yaziwa
Katibu mkuu ccm...kanda yaziwa
Katibu mwenezi ccm....kanda ya ziwa
NOTE..
Ccm ni chama cha ukombozi
Chadema nichama cha kibiashara ila ukiingia mkenge utajua mwenyewe muulize Sumayi. Sumu haionjwi kwa ulimi.
 
Hahahahah,dah! Kweli TWAWEZA wazidi kukusanya details

Msingi wa swali ni uongozi kitaifa yaani unahoji uongozi wa chadema kuwa hauonyeshi Utaifa

Na Mimi kwa kujibu swali lako ndo nakuja kuoanisha uongozi wa kitaifa kwa ccm na serikali yake kama uongozi uliopo umezingatia Utaifa ama ukanda na ukabila

Na je uongozi chadema na uongozi ccm na ukanda wapi Luna negative impact kwa jamii?



Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ni chama ambacho kinajipambanua kuwa cha mfano wa kuigwa, sasa tukianza kukilinganisha na CCM maana yake kikingia madarakani hakitakuwa tofauti na CCM?
 
Ghafla Mnyika John Mnyika kageuka kuwa MChagga mmesahau hata Pambalu ni mchagga hata Salim Mwalimu ni mchaga na pia hata Heche pia na Tundu Antipas Lissu ni mchagga
 
Baada ya uchaguzi wa Ndani wa viongozi wa kitaifa wa Chadema kukamilka, idadi kubwa ya viongozi kwenye nafasi Nyeti ndani ya Chama wametoka kanda ya kaskazini hasa mkoa wa kilimanjaro.

Ifuatayo ni orodha ya baadhi ya viongozi hao ikionesha mchanganuo wa kabila na mkoa wanaotoka.

Mwenyekiti Taifa - FREEMAN MBOWE kabila ni Mchaga anatoka mkoa Kilimanjaro.

Katibu Mkuu - JOHN MNYIKA kabila ni Mchaga anatoka Mkoa wa Kilimanjaro.

Mwenyekiti wa Bawacha - HALIMA MDEE kabila ni Mpare anatoka Mkoa wa Kilimanjaro.

Hebu jaribu kufikiria Viongozi wawili (mwenyekiti na katibu) wanaotegemewa kuwa mhimili wa maamuzi na wasimamizi wa maazimio ya vikao wote wanatoka Mkoa mmoja (Kilimanjaro) na kabila moja (wachaga) unategemea maamuzi yao yatakosa mrengo wa ukabila?

Chama cha siasa shabaha yake ya kwanza ni kushika dola na kuongoza Nchi kwa maslahi mapana ya Taifa, hivyo Chadema kama chama cha siasa kinapaswa kuwa na sura ya kitaifa katika safu zake za uongozi wa nafasi nyeti hata kabla ya kushika madaraka.

Watu wenye akili Ndogo za kutosha kubishana kubet mipira watakuja na hoja dhaifu kwamba Chadema ingefanyaje hao ndio walijitokeza kugombea na wakashinda. Wengine watasema mbona hujamtaja TUNDU LISSU na SALUM MWALIMU Naibu na Makamu hawana mamlaka zaidi ya kusubiri kupata maagizo kutoka kwa mabosi wao. Kuendesha chama cha siasa hasa cha upinzani na kikafanikiwa kushika dola inahitaji AKILI KUBWA.

Ni muhimu kwa Chadema endapo bado kina nia ya kukamata dola kifanyie kazi changamoto zinazokikabili ikiwemo kukosekana kwa demokrasia ya Ndani, ukabila, ukanda, tuhuma za kuwepo kwa kikundi cha utekaji na kutesa wanachama wanaomkosoa Mwenyekiti na kubadilisha katiba kwa kuweka ukomo wa muda wa kukaa madarakani kwa nafasi nyeti hasa Mwenyekiti.

Sasa tunajuaje kama wewe sio mbaguzi kama wewe ndiyo unajali kabila ni kama unajichanganya mwenyewe. Wangechagua watu kwa ukanda vilevile ni unaguzi. Kwanini usiseme hakuna wanawake?
 
Chadema ni chama cha wachagga


Sent from my iPhone using Tapatalk
Nimkosa makubwa sana wanayafanya na kuyarudia rudia, yani wanashindwa kuchagua viongoz waki Taifa wao wanachagua viongoz wa umoja wawatu wa kaskazini, chama kinatakiwa kichague viongoz kutoka pande zote za nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
 
JMK alikuwa dhaifu, huyu ni dikteta na anawazimu inajulikana!!
Kwanza nitumie fursa kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani. Hii inapelekea sasa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema kuwa chini ya Spika Ndugai pale bungeni kwa hii miezi sita iliyobaki.

Pia nichukue fursa hii adhimu kwa heshima na taadhima kukukumbusha kuwa mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli siyo dhaifu hivyo kuwa makini na ulimi wako na uache kukurupuka.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom