mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Nyani haoni kundule ,unakumbuka kabla ya Magufuli kuingia madarakani hali ilvyokua serikalini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Twende upande wa ccm
UWT-Kabaka kanda ya ziwa
KATIBU MKUU- Kanda ya Ziwa
MWENYEKITI-kanda ya Ziwa
Viongozi wakubwa wa serikali
Waziri wa ndani-kanda ya ziwa
Naibu Tamisemi na makatibu wakuu,Nyamhanga,Gwajima kanda ya Ziwa
Jaji mkuu-Kanda ya ziwa
Mkuu wa majeshi-kanda ya ziwa
IGP-kanda ya Ziwa
Waziri Mpina- kanda ya ziwa
Waziri wa Umeme- Chato nyumbani kwa magufuli- Kanda ya ziwa
CAG-kanda ya ziwa
Hazina,mpwa-kanda ya ziwa
Naibu waziri ardhi- kanda ya ziwa
Asilimia 85 ya watumishi wakubwa na viongozi wa serikali wanatoka kanda ya ziwa
Hivi Tanga,Arusha,,Mtwara,Ruvuma,katavi,Rukwa ,Pwani, huko hawapo watu wa kuwa viongozi
Na huu ni uongozi wa kitaifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app