Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Una mawenge wenge, mawaziri ambao ni wabunge wanalisimamiaje Bunge wakati wao ni watetezi wa serikali. Hilo hulioni unaona la CDM

Sent using Jamii Forums mobile app
.Chukukia Mfano 2015 wangeshida uchaguzi halafu Kamati kuu ya Chadema Ni wabunge watupu hivi wanalisimamiaje bunge Kama Chama?
 
Hongera sana CHADEMA kwa kuinua kaskazini kwa mara nyingine. Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu bara wanatokea Kilimanjaro kwa asili.
.
Mkuu wa majeshi, IGP, Jaji Mkuu, DPP,etc. wote ni kutoka kanda ya Ziwa. Unalijua hilo.
 
Timu CDM original imerudi rasmi - Mamluki wote wameshachapa lapa - Hongera sana Makamanda!! Kazi ni moja tu - kuwakomboa watanzania dhidi ya Ujinga, Umaskini, Maradhi.

Chademaaaa - Tegemeo la Taifa.
 
Mbowe akili ilishagota hana jipya wala mbinu mpya ya kukiongoza chama

Halaf wanamuimbia pambio eti la mwamba tuvushe, dah maajabu sana mtu aliyeshindwa kuwavusha uchaguzi 2015 akaita mafisadi yaje yagombee urais then juzi uchaguzi serikali za mitaa kashindwa tena kuwavusha
ataweza kuwavusha 2020 kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Chadema inakuuma nini nawe ni CCM? Si ufurahi kwakuwa moinzani wako kakosea, kawa ndondocha? Hii si tiketi yako ya ushindi bila kupingwa kama ilivyo utamaduni wenu? Inakuuma nini sasa?
Mbowe ni kiboko yenu ndo maana hamkomi kumtaja.
Mlitamani Sana kutuchagulia Yule pandikizi wenu ili mumpelekeshe mnavyotaka, mkidhani Sisi ni wapumbavu. Tena ninyi ndo mumemharibia kabisa Kwa kitendo cha kumpigia Debe.

Msutake Chadema iige utaratibu na mrindo wa CCM kwenye maamuzi yake na uendeshwaji wake. Kumbukeni hiki ni chama kingine kinachojitegemea.

CCM haiwezi kuwa mwalimu wala mlezi wa Chadema. Tangulini adui yako akutakie mema? Nyemazeni muwwache Chadema wafanye ya kwao. Chadema si CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa majeshi, IGP, Jaji Mkuu, DPP,etc. wote ni kutoka kanda ya Ziwa. Unalijua hilo.
Hawezi kuyajua hayo mburu kenge, wanadhani ukabila ulioko kwao hata wengine wako hivyo.
Kwanza fomu ya kujiunga haiulizi kabila
 
Naomba muwe serious kidogo ndugu zetu Wapinzani.

Kwa mfano CHADEMA:

Mnatuwekea Mwenyekiti Mbowe
Katibu Mnatuwekea Mnyika

Wale wale wa miaka 20 iliyopita, sasa hv wana kipya kipi? Kipi??? Chadema digital kwa ajili ya kuchangishana?

Hahahahaha amazing! Watu wanawaza huduma za kijamii we unakuja na mbinu ya kuwachangisha, dah!

Dah.....

Jamani mpo serious kweli?

Tuseme nyie ndo mngekuwa CCM, mngeshawishika kweli na safu hio?

Twende ACT Wazalendo:

Kuna Ayatollah Zitto Kabwe, kuna nani zaidi? Na mwenyewe hata haaminiki na Wapinzani wenzake.

Twende CUF. Sasa hapa kuna chama cha kupewa dola? Hakuna.

NCCR Mageuzi. Hapa km CUF tu.

Wapinzani, are you serious kweli?

Njooni mniumbue hapa jukwaani, msipanic wala msitukane. Just prove me wrong comrades!

CCM Music
 
Hongera sana CHADEMA kwa kuinua kaskazini kwa mara nyingine. Mwenyekiti, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu bara wanatokea Kilimanjaro kwa asili
WEWE MBONA KILA WIKIEND UNAKWENDA MOMBASA NA HATUSEMI
 
HII SAFU YA UONGOZI YA CHADEMA IPO KONKI MBAYA NAJUA KUNA JAMAA WALE WA KOLOMIJE WALIFURUKUTA KUFANYA KILA LIWEZEKANALO IMESHINDIKANA, HII KOMBINENGA IPO IMARA SANA HAIJAWAHI TOKEA
 
Naomba muwe serious kidogo ndugu zetu Wapinzani.

Kwa mfano CHADEMA:

Mnatuwekea Mwenyekiti Mbowe
Katibu Mnatuwekea Mnyika

Wale wale wa miaka 20 iliyopita, sasa hv wana kipya kipi? Kipi??? Chadema digital kwa ajili ya kuchangishana?

Hahahahaha amazing! Watu wanawaza huduma za kijamii we unakuja na mbinu ya kuwachangisha, dah!

Dah.....

Jamani mpo serious kweli?

Tuseme nyie ndo mngekuwa CCM, mngeshawishika kweli na safu hio?

Twende ACT Wazalendo:

Kuna Ayatollah Zitto Kabwe, kuna nani zaidi? Na mwenyewe hata haaminiki na Wapinzani wenzake.

Twende CUF. Sasa hapa kuna chama cha kupewa dola? Hakuna.

NCCR Mageuzi. Hapa km CUF tu.

Wapinzani, are you serious kweli?

Njooni mniumbue hapa jukwaani, msipanic wala msitukane. Just prove me wrong comrades!

CCM Music
Kila chama hata timu za mpira zinachangisha wanachama kulipia kadi zao na mie wakianza ntalipia ya mwaka mzima maana ni gharama ndogo sana hyo sio ya kujengea hoja humu.

Mnyika na Mbowe wana jipya gani?? Ndio chama pekee Tanzania ambacho kila kimeongeza kura na wawakilishi ngazi zote. Ila CCM kila uchaguzi kura zinapungua consistently na hii ni kwa kazi kubwa sana ya operation za CHADEMA chini ya kina Mbowe na kina Mnyika!!

Kupitia chadema ni msingi chama kimeweza pata wanachama waliosajiliwa million 6 nchi nzima kwahyo sio jambo la kubezwa. Leo hii chadema kura za maoni wagombea sio chini ya 5 ila nakumbuka 2010 chadema ilikua inabembeleza watu wachukue fomu kugombea udiwani na ubunge so chama kimeshakua imara sasa.

Mbowe huyo huyo kalea viongozi ambao ni tegemeo hata serikalini kina Mkumbo,kafulila,mghwira,Katambi,Shonza,Waitara wote wamepikwa na Mbowe kufika hapo walipo leo.

Tusibeze kabisa uwezo wa Mbowe kakitoa chama kikiwa level ya TLP leo kimekua level ya kupambana na CCM so hta tukimchukia ila tumpe heshima anayostahili
 
Mbowe akili ilishagota hana jipya wala mbinu mpya ya kukiongoza chama

Halaf wanamuimbia pambio eti la mwamba tuvushe, dah maajabu sana mtu aliyeshindwa kuwavusha uchaguzi 2015 akaita mafisadi yaje yagombee urais then juzi uchaguzi serikali za mitaa kashindwa tena kuwavusha
ataweza kuwavusha 2020 kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaha hahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwamba tuvushe.
 
Back
Top Bottom