Viongozi washamba Yanga hawahitajiki. Tujikite kwenye mechi na Al Ahly

Viongozi washamba Yanga hawahitajiki. Tujikite kwenye mechi na Al Ahly

Kila idara na kazi zake
Watu wa habari ni kuhamasisha na kufanya Yanga izungumziwe kwa mazuri ndo maana hata wewe hapa unaizungumzia
Benchi la ufundi lipo Avic town linaandaa team kwa ajili ya mechi
Pale mapokezi hujamwona pacome au Diarra
Wako kambini
S
Yanga sio Simba inaingilia makocha na wachezaji matokeo yake hamsa imewahusu
Kitengo cha habari hakiandai team kambini
 
Wanajaribu kutengenezea content za social media pages.
Unaweza kuona utoto kama upo na mawazo ya kizazi Cha 70s kurudi nyuma.
Dunia imebadilika Sana naona sisi wazee tunajikuta tunaachwa na mdundo (beat).
Mambo ya funs engagement hayo.
 
Kila idara na kazi zake
Watu wa habari ni kuhamasisha na kufanya Yanga izungumziwe kwa mazuri ndo maana hata wewe hapa unaizungumzia
Benchi la ufundi lipo Avic town linaandaa team kwa ajili ya mechi
Pale mapokezi hujamwona pacome au Diarra
Wako kambini
S
Yanga sio Simba inaingilia makocha na wachezaji matokeo yake hamsa imewahusu
Kitengo cha habari hakiandai team kambini
Afadhali umemjibu Uto mwenzako huyo.
Ingawa siamini kua hayajui haya, ila nahisi kuna kitu kinamsumbua kwenye NAFSI yake anashindwa kuweka wazi anajifichia huko.
Siasa zinaingizwa huko na MUFLIS, na mpira nao wanataka kuupeleka huko huko.
 
Yanga ina viongozi wa hovyo sema ni vile basi mashabiki wamelewa na ushindi wa goli 5 na kufika Caf confederation cup na kuchukua NBC premier league ukimsikiliza mayele ukimsikiliza saido ntibanzokiza feisal salum yanick bangala na bernard Morrison utaona viongozi walivyo waongo sema kwasababu wamemfunga simba huwezi kuwaambia kitu wakakuelewa.
 
Yanga ina viongozi wa hovyo sema ni vile basi mashabiki wamelewa na ushindi wa goli 5 na kufika Caf confederation cup na kuchukua NBC premier league ukimsikiliza mayele ukimsikiliza saido ntibanzokiza feisal salum yanick bangala na bernard Morrison utaona viongozi walivyo waongo sema kwasababu wamemfunga simba huwezi kuwaambia kitu wakakuelewa.
Simba ndio ina viongozi smart wakiongozwa na Mangungu na Try again
 
Kila idara na kazi zake
Watu wa habari ni kuhamasisha na kufanya Yanga izungumziwe kwa mazuri ndo maana hata wewe hapa unaizungumzia
Benchi la ufundi lipo Avic town linaandaa team kwa ajili ya mechi
Pale mapokezi hujamwona pacome au Diarra
Wako kambini
S
Yanga sio Simba inaingilia makocha na wachezaji matokeo yake hamsa imewahusu
Kitengo cha habari hakiandai team kambini
Watu wengine wanajifanya kujua wakati hawajui, idara ya habari sasa hivi kazi yake sio kutoa habari tu pia inatakiwa iwe productive kwa taasisi hizi contents ndio zinaleta sponsors, zinaongeza viewers kwenye social media pia fans engagement, kitendo cha huyo dogo kumtoa Congo kuna mileage club imepata ila watu wana mawazo ya kijima
 
Watu wengine wanajifanya kujua wakati hawajui, idara ya habari sasa hivi kazi yake sio kutoa habari tu pia inatakiwa iwe productive kwa taasisi hizi contents ndio zinaleta sponsors, zinaongeza viewers kwenye social media pia fans engagement, kitendo cha huyo dogo kumtoa Congo kuna mileage club imepata ila watu wana mawazo ya kijima
Sawa mzee wa maono
 
Back
Top Bottom