Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini umetuona simba tumevaa misuli ? [emoji23][emoji23]Dogo naye utafikiri yupo kwenye foolish age!!
Wote mtakaovaa misuli siku hiyo mtakuwa hamna tofauti na wale mashabiki wa simba walioitwa mbumbumbu na Rage
Alhul (people of ) 5G mnapenda kukuzisha mambo tu kutokana na uRAGE wenu.Misuli bila kuvaa chupi huu ni upuuzi sana
Afadhali umemjibu Uto mwenzako huyo.Kila idara na kazi zake
Watu wa habari ni kuhamasisha na kufanya Yanga izungumziwe kwa mazuri ndo maana hata wewe hapa unaizungumzia
Benchi la ufundi lipo Avic town linaandaa team kwa ajili ya mechi
Pale mapokezi hujamwona pacome au Diarra
Wako kambini
S
Yanga sio Simba inaingilia makocha na wachezaji matokeo yake hamsa imewahusu
Kitengo cha habari hakiandai team kambini
Therefore, 10-0 and 5-1 is equal to 15-1Mbona mpk sasa kwa umbumbu
Yanga 10 simba 0
Huna akili.Sasa hapo ni nini mkuu kilichokufanya utoke povu hivyo? Sasa wakifanya hivyo wewe kinakuuma nini? Mbona Hemedy Ally anazunguka mitaani na wachezaji wa 5imba kila siku wanaomba mashabiki wasiwasuse na waje uwanjani? Ni kweli 5 ndio tatizo.
Simba ndio ina viongozi smart wakiongozwa na Mangungu na Try againYanga ina viongozi wa hovyo sema ni vile basi mashabiki wamelewa na ushindi wa goli 5 na kufika Caf confederation cup na kuchukua NBC premier league ukimsikiliza mayele ukimsikiliza saido ntibanzokiza feisal salum yanick bangala na bernard Morrison utaona viongozi walivyo waongo sema kwasababu wamemfunga simba huwezi kuwaambia kitu wakakuelewa.
Watu wengine wanajifanya kujua wakati hawajui, idara ya habari sasa hivi kazi yake sio kutoa habari tu pia inatakiwa iwe productive kwa taasisi hizi contents ndio zinaleta sponsors, zinaongeza viewers kwenye social media pia fans engagement, kitendo cha huyo dogo kumtoa Congo kuna mileage club imepata ila watu wana mawazo ya kijimaKila idara na kazi zake
Watu wa habari ni kuhamasisha na kufanya Yanga izungumziwe kwa mazuri ndo maana hata wewe hapa unaizungumzia
Benchi la ufundi lipo Avic town linaandaa team kwa ajili ya mechi
Pale mapokezi hujamwona pacome au Diarra
Wako kambini
S
Yanga sio Simba inaingilia makocha na wachezaji matokeo yake hamsa imewahusu
Kitengo cha habari hakiandai team kambini
Toa ujinga wako hapa
Kwa maana hiyo unaunga mkono kinachofanywa na kina Ally Kamwe na mtoa mada kaandika ujinga?Toa ujinga wako hapa
Usiwe una niita kwenye mambo ya kijingaKwa maana hiyo unaunga mkono kinachofanywa na kina Ally Kamwe na mtoa mada kaandika ujinga?
Sawa mzee wa maonoWatu wengine wanajifanya kujua wakati hawajui, idara ya habari sasa hivi kazi yake sio kutoa habari tu pia inatakiwa iwe productive kwa taasisi hizi contents ndio zinaleta sponsors, zinaongeza viewers kwenye social media pia fans engagement, kitendo cha huyo dogo kumtoa Congo kuna mileage club imepata ila watu wana mawazo ya kijima