Viongozi washamba Yanga hawahitajiki. Tujikite kwenye mechi na Al Ahly

Viongozi washamba Yanga hawahitajiki. Tujikite kwenye mechi na Al Ahly

Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
Mkuu sio kwa Ubaya, lakini....Ila Majukumu ya Afisa habari ni kuleta hamasa.... Ugumu wa match anatakiwa aujue kocha na wachezaji wake... Yani leo stress za ugumu wa match apewe shabiki?? Ndio maana nismbie wewe umemuona mchezaji gani kwemye mapokezi wote wapo kambini wanajiandaa, So acha kupayuka....
 
Mkuu sio kwa Ubaya, lakini....Ila Majukumu ya Afisa habari ni kuleta hamasa.... Ugumu wa match anatakiwa aujue kocha na wachezaji wake... Yani leo stress za ugumu wa match apewe shabiki?? Ndio maana nismbie wewe umemuona mchezaji gani kwemye mapokezi wote wapo kambini wanajiandaa, So acha kupayuka....
Huna akili.
 
Alhul (people of ) 5G mnapenda kukuzisha mambo tu kutokana na uRAGE wenu.
Hayo mambo ya kuvaa msuli bila kitu ndani, ndio mnaamini kabisa ndani ya NAFSI zenu kua alikua serious kuagiza hivyo.
Mbona umeandika kama umekalia nyama ngumu ikiwa imezama kabisa maungoni mwako? Kamlaumu takadini aliyetoa maelekezo hayo.
 
Mbona umeandika kama umekalia nyama ngumu ikiwa imezama kabisa maungoni mwako? Kamlaumu takadini aliyetoa maelekezo hayo.

Hatuwezi kumhukumu takadini. Nyinyi ndio wa kujilaumu NAFSI zenu kutokana na ufinyu wa uwelewa wa mambo. Inawezekana wakati wa udogo wenu mlikosa lishe bora.
 
Hatuwezi kumkamu takadini. Nyinyi ndio wa kujilaumu NAFSI zenu kutokana na ufinyu wa kuelewa wa mambo. Inawezekana wakati wa udogo wenu mlikosa lishe bora.
Sasa kwa uandishi huu ni wazi una mtindio wa ubongo.
 
Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
Ndio vijana wa kizazi kipya hao, ujinga mwingi sana kwenye matendo yao. Kuna mmoja anaitwa Mchome anavaa jezi ya Simba muda wote lakini anaiponda Simba kila anapoongea karibu na kipaza sauti.

Wanapoteza muda kwenye masuala ya uvaaji wa msuli.
 
Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
Alisema kule utopoloni wenye akili ni wawili mlizani alikosea au yule aliwaita simbwa mambumbu ulizani alikosea pia? Mtaji wa viongozi wa hizi club mbili za kariakoo ni ujinga na soga za vijiwe za wanywa gahwa ukitoa hapo hata uwe na PhD ukiwa mfuasi wa hizi klabu lazima uonekane hamnazo
 
Dogo naye utafikiri yupo kwenye foolish age!!
Wote mtakaovaa misuli siku hiyo mtakuwa hamna tofauti na wale mashabiki wa simba walioitwa mbumbumbu na Rage
Kwani akili mnazo sasa ile aziz k day ilithibitisha kauli ya mcheza pono na mnyonyeshwa maziwa na changudoa wenye akili hapo utopoloni ni wawili tu
 
Kwani akili mnazo sasa ile aziz k day ilithibitisha kauli ya mcheza pono na mnyonyeshwa maziwa na changudoa wenye akili hapo utopoloni ni wawili tu
Wewe kijana wa Mangungu tulia huko huko uliko. Acha kuingilia mambo ya wakubwa zako.
 
Kwakweli dunia inakwenda kasi sana, Jana nimeona page ya Yanga ikihamasisha mashabiki kwenda kupokea Mgeni airport, basi nikajuwa ni mchezaji mpya kumbe eti ni msanii.

Viongozi msilete masihara, mechi na Al Ahaly ni ngumu Kwahiyo tuache ujinga ujinga tujikite kwenye maandalizi ya mechi hii muhimu.

Utoto wa kina Ally Kamwe na misuli yao ni upuuzi mtupu, uwanja wa michezo siyo sehemu ya kuvaa misuli kuna sports kit.

Simba na Yanga ni muda wa kuachana na hawa washamba wote.
Naunga mkono hoja, tuwe serious kwenye michezo
 

Attachments

  • FB_IMG_1701437616875.jpg
    FB_IMG_1701437616875.jpg
    45.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom