Viongozi wastaafu walishtukizwa kuongea na wameongea ukweli

Viongozi wastaafu walishtukizwa kuongea na wameongea ukweli

Marehemu hasifiwi kwa kudanganya bali kwa kueleza ukweli wa alichokifanya.

Huwezi kumsifu marehemu kuasisi mpango wa Taifa wa maendeleo wa vision 2025 halafu ukadanganya eti vision hiyo imefikiwa wakati bado!

Maendeleo ya kweli hayajengwi kwa uongouongo. JK alikuwa sahihi kumuelezea marehemu kwa muktadha huo
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Msome hapo ☝Zitto alivyoponda siku chache tu baada ya Tanzania kuingia kwenye kundi la ‘middle income’ na kila siku alikuwa akibeza tweeter hakuna cha kujivinia kwenye hilo.

Kwa ivyo unataka upande wa pili umnyamazie tu atembelee nyota yao. Politics is about exaggeration and fibs to boost your ratings.

Kulikuwa na mambo mengi ya kuongelea kuhusu marehemu uitaji kujustify kitu ambacho wenzako walikuwa wanapinga kwa maslahi ya kundi sio Magufuli.

Anyway JK yeye mwenyewe alikuwa akilalama wakati wa muda wake baadhi ya wasaidizi walikuwa wakimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Inawezekana kabisa waliomshawishi aweke record sawa yeye mwenyewe hakujuwa wanalenga nini.

But that was not an accident
 
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Msome hapo ☝Zitto alivyoponda siku chache tu baada ya Tanzania kuingia kwenye kundi la ‘middle income’ na kila siku alikuwa akibeza tweeter hakuna cha kujivinia kwenye hilo.

Kwa ivyo unataka upande wa pili umnyamazie tu atembelee nyota yao. Politics is about exaggeration and fibs to boost your ratings.

Kulikuwa na mambo mengi ya kuongelea kuhusu marehemu uitaji kujustify kitu ambacho wenzako walikuwa wanapinga kwa maslahi ya kundi sio Magufuli.

Anyway JK yeye mwenyewe alikuwa akilalama wakati wa muda wake baadhi ya wasaidizi walikuwa wakimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Inawezekana kabisa waliomshawishi aweke record sawa yeye mwenyewe hakujuwa wanalenga nini.

But that was not an accident

Siyo Zitto peke yake anayejua fact ya hilo, ipo hata kwenye tovuti za serikali. link zimewekwa humu, unaweza kutembelea ukaona hizo info wewe mwenyewe.

Kwa hiyo JK kastate fact iliyo obvious!

JK hakumponda Magufuli, kamsifu Mkapa na kastate fact!

JK hakuamua kuzungumza mengine kwa sababu hakuna kikubwa kuliko vision ya 2025, hiyo ndo roadmap ya maendeleo tunayopaswa kuifikia.

Kama Magufuli alitudanganya kuwa keshafikia lengo kabla ya 2025, basi ajue Vision ya Mkapa inamsuta maana kiukweli hajafikia!
 
Mm kwa mtazamo wangu kila zama na kitabu chake. Mazuri hayakosi katika kila zama na madhaifu ila kama tu mwanadam anamkono wake katika hiyo zama. Kwahiyo magufuli ,kikwete, mkapa, mwinyi na kambarage wote ni maraisi wetu ambao kwa pamoja wameijenga Tanzania kufikia hapa tulipo kama ni kongole basi tuwape wote na kama ni dhambi tuwatwike wote. Mpango kauanzisha mkapa lkn hakukuta nchi ipo kwenye USD 0 Bali aliikuta sehemu akatengeneza mpango wa kufikia lengo la pamoja.Kuna mawili

mosi viongozi wasasa wanatudanganya kwamba tumefikia lengo kabla ya wakati.

Pili haiko stated clearly kwamba lengo siyo uchumi wa kati Bali ni USD3000.

Sasa ukiangalia raisi ambaye tumetangazwa ni uchumi wa kati akiwa madarakani ni Magu. Lakini Magu kachangia asilimia kadhaa kufikia hapo. Basi tukiri pamoja hata raising awe nani bado marais waliopita watakuwa na mchango mkubwa katika maendeleo atakayopiga.

Basi tusiwabeze wazee wetu Bali kila zama iheshimiwe na ipongezwe kwa maxuri yake nasiyo kuifitinisha na zama iliyopo.

Mathew 10:7
 
Una hakika unachokiandika? Nimejifunza mtu akitoka madarakani anaanza kuwa na hekima.
Umejifunza wapi umbwa wewe. Kazi kushangilia tu wakati nchi inaliwakwa rushwa na teuzi zisizokwisha
 
Siyo Zitto peke yake anayejua fact ya hilo, ipo hata kwenye tovuti za serikali. link zinewekwa humu, ubawrza kutembelea ukaona hizo info wewe mwenyewe.

Kwa hiyo JK kastate fact iliyo obvious!

JK hakumponda Magufuli, kamsifu Mkapa na kastate fact!

JK hakuamua kuzungumza mengine kwa sababu hakuna kikubwa kuliko vision ya 2025, hiyo ndo roadmap ya maendeleo tunayopaswa kuifikia.

Kama Magufuli alitudanganya kuwa keshafikia lengo kabla ya 2025, basi ajue Vision ya Mkapa inamsuta maana kiukweli hajafikia!
It’s a fact but costly to his group political agenda. Huyo Zitto na hizo facts zake walishamziba pumzi kwenye hiyo hoja.

In politics loyalty and consideration of group interest is foremost, contradicting the official party line doesn’t win you friends, even when your stating facts.

Mwisho wa siku nchi imeingia uchumi wa kati chini ya Magufuli that is also a fact to celebrate.

Wacha wajivunie maana kuingia uchumi wa kati kunakuja na prevelege zake so there is still something to celebrate.
 
Kwanza mimi nilishangaa serikali hii ilishindwa hata kumpa nafasi Rasmi kwenye ratiba aliyekuwa waziri wake Mkuu yaani Ndugu Sumaye nafasi ya kuongea machache juu ya Marehemu raisi Mkapa, naona kama ni uchoyo fulani wa baadhi ya watu kuhodhi msiba wa marehemu.

Hata wastaafu nao hawakuwekwa rasmi kwenye ratiba ili kumzungumzia mwenzao, uchoyo wa namna gani huu. Eti ni mpaka Magufuli alipojisikia ndo akawastukiza!

Nakumbuka mwaka 1999 kwenye kifo cha Mwalimu, pale uwanja wa Taifa mzee Mwinyi aliwekwa kwenye ratiba ya kumzungumzia mwalimu, mstaafu mwenzie. Lakini cha ajabu safari hii Ratiba yote ilikuwa centred juu ya Magufuli tu!
Huyu mwanasiasa uchwara labda alifikiri msiba ni platform ya kufanya kampeni za uchaguzi
 
Jino kwa Jino na yeye JPM akipewa nafasi huwa anaponda sana serikali zilizopita hasa ya kikwete kwamba tulikuwa tunaibiwa sana awamu iliyopita inaama serikali ya kikwete ilikuwa na Wezi kwa maana nyingine bora na yeye achanwe.

Itabidi Mh JPM afikirie upya kuhusu yale maamuzi yake ya kutofukua makaburi. Maana mengine hayakuzikwa watu bali magogo.
 
Watanzania wanaishi Nchi ya Uchumi wa Kati?

Msome hapo ☝Zitto alivyoponda siku chache tu baada ya Tanzania kuingia kwenye kundi la ‘middle income’ na kila siku alikuwa akibeza tweeter hakuna cha kujivinia kwenye hilo.

Kwa ivyo unataka upande wa pili umnyamazie tu atembelee nyota yao. Politics is about exaggeration and fibs to boost your ratings.

Kulikuwa na mambo mengi ya kuongelea kuhusu marehemu uitaji kujustify kitu ambacho wenzako walikuwa wanapinga kwa maslahi ya kundi sio Magufuli.

Anyway JK yeye mwenyewe alikuwa akilalama wakati wa muda wake baadhi ya wasaidizi walikuwa wakimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Inawezekana kabisa waliomshawishi aweke record sawa yeye mwenyewe hakujuwa wanalenga nini.

But that was not an accident
Maana yake ni kuwa JK hakuwa ameshitukizwa kuongea si ndiyo,Sasa alipangaje ataongea hayo wakati kwenye ratiba hakuwemo?Au alikuwa na hasira ya jamaa kuwaweka kwa muda mrefu
 
Mkwere sio mnafiki. Anaongea ukweli. Nakumbuka miaka yake walikuwa wakipingana kwa hoja bungeni baadae anawaita ikulu anasikiliza hoja za kila upande then wanamaliza. Hakukuwepo kupigana risasi, kutekana au kupotea kwa watu kwa miaka yote 10. Hongeraaa rais Kikwete.
Hakuna mwanaccm hasiye mnafki, hence mkwele na jiwe wote ni wanafki,

1. Maendeleo hayana chama.
2. Mchagueni mbunge wa ccm ili mpate maendeleo,

Kauli ya kwanza na ya pili zimewahi kusemwa na mtu mmoja,

Hapo ni ushahidi tosha kwamba unafki ni sehemu ya maisha ya hawa majizi na wanyonyaji kama kupe.
 
Kwanza mimi nilishangaa serikali hii ilishindwa hata kumpa nafasi Rasmi kwenye ratiba aliyekuwa waziri wake Mkuu yaani Ndugu Sumaye nafasi ya kuongea machache juu ya Marehemu raisi Mkapa, naona kama ni uchoyo fulani wa baadhi ya watu kuhodhi msiba wa marehemu.

Hata wastaafu nao hawakuwekwa rasmi kwenye ratiba ili kumzungumzia mwenzao, uchoyo wa namna gani huu. Eti ni mpaka Magufuli alipojisikia ndo akawastukiza!

Nakumbuka mwaka 1999 kwenye kifo cha Mwalimu, pale uwanja wa Taifa mzee Mwinyi aliwekwa kwenye ratiba ya kumzungumzia mwalimu, mstaafu mwenzie. Lakini cha ajabu safari hii Ratiba yote ilikuwa centred juu ya Magufuli tu!
Sio uchoyo, ila haya mambo ni mageni kwa wale jamaa zetu, bosi wao anachoweza ni kutembea na msafara mkubwa uliojaa mabunduki na ndege angani utafikiri wapo Somalia au sudan kusini
 
Maana yake ni kuwa JK hakuwa ameshitukizwa kuongea si ndiyo,Sasa alipangaje ataongea hayo wakati kwenye ratiba hakuwemo?Au alikuwa na hasira ya jamaa kuwaweka kwa muda mrefu
Muhimu Tanzania sasa hivi ni ‘middle income country’ kwa ivyo serikali ina kila sababu ya kujivunia.

Hilo hakuna anaeweza likataa na kuna kila sababu ya watanzania wote kusherehekea hiyo mile stone.
 
It’s a fact but costly to his group political agenda. Huyo Zitto na hizo facts zake walishamziba pumzi kwenye hiyo hoja.

In politics loyalty and consideration of group interest is foremost, contradicting the official party line doesn’t win you friends, even when your stating facts.

Mwisho wa siku nchi imeingia uchumi wa kati chini ya Magufuli that is also a fact to celebrate.

Wacha wajivunie maana kuingia uchumi wa kati kunakuja na prevelege zake so there is still something to celebrate.

A leader is not supposed to lie on the matter of the national policy for a mere political gain.
 
Hakuna mwanaccm hasiye mnafki, hence mkwele na jiwe wote ni wanafki,

1. Maendeleo hayana chama.
2. Mchagueni mbunge wa ccm ili mpate maendeleo,

Kauli ya kwanza na ya pili zimewahi kusemwa na mtu mmoja,

Hapo ni ushahidi tosha kwamba unafki ni sehemu ya maisha ya hawa majizi na wanyonyaji kama kupe.
Magu
 
Back
Top Bottom