Siasa za sasa ni za visasi. Unapotezwa na unaonekana sio mzalendo. Yaani ni shida sana ubabe mpaka chumbaniHakuna Sehemu yeyote ambayo kikwete amesema uongo , ni ukweli mtupu.....Lengo la Mkapa 2025 tufikie usd 300 bado sana!!
Japo alichuana na Mkapa kwenye urais lakin Mkapa alimuweka kwenye wizara ambayo unaonekana sana ,Mkapa hakunata JK hapotee kama siasa za sasa sio kupotea bali unapotezwa kabisa.
Mkuu target ilikuwa uchumi wa kati wenye average income ya $3000.00 hiyo target mpya ya just kuingia uchumi wa kati wa average income ya $1080 labda ni yenu wasukumaMuhimu Tanzania sasa hivi ni ‘middle income country’ kwa ivyo serikali ina kila sababu ya kujivunia.
Hilo hakuna anaeweza likataa na kuna kila sababu ya watanzania wote kusherehekea hiyo mile stone.
Mwinyi hajui kinachoendelea duniani“Mkapa ndiye amefanya kazi kubwa sana kukuza uchumi baada ya kuchukua nchi kutoka kwa Rais Mwinyi ikiwa na uchumi goigoi sana. Alipambana,” -J.M.Kikwete
___________________________
"MAGUFULI Ni wa kipekee Sana, aliikuta nchi iko vibaya Sana kiuchumi yeye ndio katufikisha kwenye uchumi huu mzuri wa Kati"
Rais A.H.Mwinyi.
*Hii inaitwa ukimwaga mboga......🤣*
Kuna kundi la watu wachache wako busy sana, wanataka kutengeneza chuki kati ya JPM na JMK, au JPM na WADAU
Wanatafutiza mazingira ya kuchomekea chuki/ mgongano/ mabishano / misuguano.
Ni vema wakakatambua kuwa mipango yao yote hata kabla hawajawaza ilishajulikana na mwisho wa siku wataangukia pua.
Summary: Zaburi 57: 6
Safari ya mile 1000 inaanza na hatua moja; atujafika wastani wa $3000 lakini sasa hivi tunatumbulika kama middle income country that is a milestone.Mkuu target ilikuwa uchumi wa kati wenye average income ya $3000.00 hiyo target mpya ya just kuingia uchumi wa kati wa average income ya $1080 labda ni yenu wasukuma
Mkuu hao wote ni heavy wait,ndo maana kapewa makavu na kauchuna.
Ajaongomba mkuu sasa hivi Tanzania ni middle income country kweli. Mengine yalikuwa siasa and excitement.A leader is not supposed to lie on a matter of policy issue for political gains.
Mkuu kwani milestone ilikuwa kutambulika au kuongeza kipato Cha watu wetu?Huko kutambulika kumeongeza nini kwenye maisha yetu?Safari ya mile 1000 inaanza na hatua moja; atujafika wastani wa $3000 lakini sasa hivi tunatumbulika kama middle income country that is a milestone.
Na watanzania inatakiwa tujivunie hilo ni hatua kubwa kwa taifa.
Moja ya wilaya mkoani MwanzaMagu
Hana ubavuEndeleni kumdanganya, mkifikiri Tz ni US.
NdiyoMoja ya wilaya mkoani Mwanza
Labda we kigogo, huku mtaani sasa hivi watu washaanza kuona maeneo yao kuwa na zahanati na ambulance sio luxury tena ni haki yao ya msingi na visipo kuwepo wanadai. Ajabu yenyewe hiyo dhana imejengeka ndani ya miaka mitano tu.Mkuu kwani milestone ilikuwa kutambulika au kuongeza kipato Cha watu wetu?Huko kutambulika kumeongeza nini kwenye maisha yetu?
Hana ubavu
Unanzunguzia nchi hii?Labda we kigogo, huku mtaani sasa hivi watu washaanza kuona maeneo yao kuwa na zahanati na ambulance sio luxury tena ni haki yao ya msingi; na dhana imejengeka ndani ya miaka mitano tu.
Kunufaika sio lazima kila mtu apate financial gain, public and merit goods investment ni sehemu ya kuwagusa watu.
Hata ukiwekewa taa ya bararani mitaa ambayo usiku ulikuwa kupita urafikiria mara mbili kukataza, ila uwepo wa taa unakupa ujasiri kupita economically umenufaika.
Sasa hivi watoto kukaa chini tena madawati wanaona sehemu ya haki zao, unaweza kuona ni kwa namna gani Magu kabadili fikra za watanzania kuona vitu gani ni haki yao; wakati miaka mingi tu kukaa chini au kutokuwa na zahanati ilikuwa inaonekana ni kawaida tu.
“Mkapa ndiye amefanya kazi kubwa sana kukuza uchumi baada ya kuchukua nchi kutoka kwa Rais Mwinyi ikiwa na uchumi goigoi sana. Alipambana,” -J.M.Kikwete
___________________________
"MAGUFULI Ni wa kipekee Sana, aliikuta nchi iko vibaya Sana kiuchumi yeye ndio katufikisha kwenye uchumi huu mzuri wa Kati"
Rais A.H.Mwinyi.
*Hii inaitwa ukimwaga mboga......🤣*
Ndio ukweli huo mtaani mkuu, Tanzania ya Magufuli ni something else.Unanzunguzia nchi hii?
Labda hiyo miradi inafanyika huko kwenu.Budget tu anazitekeleza kwa wastani wa 40% Sasa hiyo miradi anaitekeleza kwa pesa ipi?Mshahara wake? Kwenye corona kaamua kujitoa ufahamu na Kisha kuwatoa ufahamu watanzania akiogopa kukosa pesa ya kulipa mishahara,Sasa wewe unaleta utopolo gani? Au wewe ndo una macho tu ya kuona?Ndio ukweli huo mtaani mkuu, Tanzania ya Magufuli ni something else.
Unajua kwa sababu yeye mwenyewe yupo obsessed na kuongelea miradi ya infrastructure unaweza ukadhani hakuna mengine yanayofanyika.
Mwambieni Jaffo akimaliza ziara zake badala ya kuishia kwa Millard Ayo tu; apige picha ya kila shule sio mambo yao ku film na drone, kila zahanati, barabara na miradi inayoendelea kila wilaya ya nchi hii atupie kwenye website yao nakuhakikishia watanzania wakiona kinachofanywa anaesimama kushindana na Magufuli anaweza onekana chizi.
Nyie msifanye mchezo Magufuli kapiga kazi sema tu hayuko interested kuongelea miradi isiyo ya infrastructures.