Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Kwa mimi ambaye nimekuwa sehemu ya utendaji ngazi za chini Serikalini haswa halmashauri, ninawaunga mkono baadhi ya viongozi kama Chalamila.
Haswa pale Mawasiliano bila mkwara wale watu hawaelewi.
Hujiona Soko na stendi ni vya kwao.
Sehemu ambayo sheria hazifuatwi huwa hivyo.
Kazi ya sheria ndio hizo