Tumefungwa tena na kutolewa katika mashindano ya ligi ya mabingwa ya Afrika baada ya kufungwa tena 1 bila hivyo matokeo kuwa Rivers United 2 Yanga 0.
Viongozi wote wa Yanga inabidi wajiuzulu na mdhamini GSM aende zake,wanachama na wapenzi tumwombe shujaa wetu MANJI ARUDI KUTUDHAMINI.
Sababu kuu 2 zilizonifanya kuwataka viongozi na kamati ya utendaji kujiuzulu.
1)Tumeingia kwenye mashindano haya kupitia mtani wetu Simba SC.Tumeshindwa kwenye ligi na sasa tumeshindwa kwenye mashindano makubwa Africa champions league.
2)Kumpokea HAJI MANARA AMBAE HATA BABAKE MZAZI ALIMKATAA KUJIUNGA NA YANGA.HUYU KAJA KUTIBUA NA MUDA SI MREFU ATARUDI NYUMBANI KWAKE SIMBA.WAINGEREZA WANASEMA MISSION ACCOMPLISHED.Maana yake kazi aliyopewa na Mo sports club,samahani Simba SC Ameitimiza.
Mpira ni Biashara,Mpira ni SIASA.Ndio maana Rais wa Liberia George Weah alichaguliwa kuwa Rais wa Nchi ya Liberia.Huyu muda wote wa maisha yake alikuwa anacheza mpira,akaingia kwenye siasa akaukwaa urais.
NAHITIMISHA KWA KUWAAMBIA VIONGOZI WA YOUNG AFRICANS SC (YANGA),KAMATI YA UTENDAJI NA MDHAMINI MKUU GSM KUONDOKA.
Yanga ijengwe upya.Manji rudi nyumbani utuokoe.
Viongozi wote wa Yanga inabidi wajiuzulu na mdhamini GSM aende zake,wanachama na wapenzi tumwombe shujaa wetu MANJI ARUDI KUTUDHAMINI.
Sababu kuu 2 zilizonifanya kuwataka viongozi na kamati ya utendaji kujiuzulu.
1)Tumeingia kwenye mashindano haya kupitia mtani wetu Simba SC.Tumeshindwa kwenye ligi na sasa tumeshindwa kwenye mashindano makubwa Africa champions league.
2)Kumpokea HAJI MANARA AMBAE HATA BABAKE MZAZI ALIMKATAA KUJIUNGA NA YANGA.HUYU KAJA KUTIBUA NA MUDA SI MREFU ATARUDI NYUMBANI KWAKE SIMBA.WAINGEREZA WANASEMA MISSION ACCOMPLISHED.Maana yake kazi aliyopewa na Mo sports club,samahani Simba SC Ameitimiza.
Mpira ni Biashara,Mpira ni SIASA.Ndio maana Rais wa Liberia George Weah alichaguliwa kuwa Rais wa Nchi ya Liberia.Huyu muda wote wa maisha yake alikuwa anacheza mpira,akaingia kwenye siasa akaukwaa urais.
NAHITIMISHA KWA KUWAAMBIA VIONGOZI WA YOUNG AFRICANS SC (YANGA),KAMATI YA UTENDAJI NA MDHAMINI MKUU GSM KUONDOKA.
Yanga ijengwe upya.Manji rudi nyumbani utuokoe.