Viongozi wote wa Yanga na mdhamini GSM waondoke. Manji rudi utuokoe, mmetutia aibu

Viongozi wote wa Yanga na mdhamini GSM waondoke. Manji rudi utuokoe, mmetutia aibu

Tutolee ujinga hapa huna akili kijakazi wa mudi.
Mishahara utalipa wewe akiondoka?
 
Hiyo hoja yako namba 1 haina mashiko! Maana Yanga ilifika mpaka fainali kwenye Kombe la Shirikisho la Azam, hivyo tayari ilikuwa na sifa ya kushiriki mashindano ya Kimataifa mwaka huu kutokana na kanuni za TFF.

Bado Yanga ilishika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu! Nako ilibebwa na Simba? Yaani unajinasibu kuwa shabiki wa Yanga lakini una mawazo kama ya wale mbumbumbu wa Moo!!
Acha kudanganya watu wewe. Kama Simba isingefanya vizuri msimu uliopita CAF wangechukua mshindi wa pili wa ligi? Kubali tu ulibebwa na Simba mkuu sio kesi

IMG-20210912-WA0029.jpg
 
Hiyo hoja yako namba 1 haina mashiko! Maana Yanga ilifika mpaka fainali kwenye Kombe la Shirikisho la Azam, hivyo tayari ilikuwa na sifa ya kushiriki mashindano ya Kimataifa mwaka huu kutokana na kanuni za TFF.

Bado Yanga ilishika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu! Nako ilibebwa na Simba? Yaani unajinasibu kuwa shabiki wa Yanga lakini una mawazo kama ya wale mbumbumbu wa Moo!!
Acha uongo ni Simba ndo imewabeba,tff ndo wameweka kanuni za michuano au CAF,na hata kama mmefuzu kucheza CAFCL kwa uwezo wenu ndo mtolewe mapema hivi? timu kubwa mnazidiwa na timu ndogo ya biashara!
Ni Yanga tu ndo mmetia aibu nchi yetu nzuri.
 
K
Hiyo hoja yako namba 1 haina mashiko! Maana Yanga ilifika mpaka fainali kwenye Kombe la Shirikisho la Azam, hivyo tayari ilikuwa na sifa ya kushiriki mashindano ya Kimataifa mwaka huu kutokana na kanuni za TFF.

Bado Yanga ilishika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu! Nako ilibebwa na Simba? Yaani unajinasibu kuwa shabiki wa Yanga lakini una mawazo kama ya wale mbumbumbu wa Moo!!
kwani matokeo ya fainaili kule kigoma ilikuwa ngapi ngapi?
 
Tumefungwa tena na kutolewa katika mashindano ya ligi ya mabingwa ya Afrika baada ya kufungwa tena 1 bila hivyo matokeo kuwa Rivers United 2 Yanga 0.

Viongozi wote wa Yanga inabidi wajiuzulu na mdhamini GSM aende zake,wanachama na wapenzi tumwombe shujaa wetu MANJI ARUDI KUTUDHAMINI.

Sababu kuu 2 zilizonifanya kuwataka viongozi na kamati ya utendaji kujiuzulu.

1)Tumeingia kwenye mashindano haya kupitia mtani wetu Simba SC.Tumeshindwa kwenye ligi na sasa tumeshindwa kwenye mashindano makubwa Africa champions league.

2)Kumpokea HAJI MANARA AMBAE HATA BABAKE MZAZI ALIMKATAA KUJIUNGA NA YANGA.HUYU KAJA KUTIBUA NA MUDA SI MREFU ATARUDI NYUMBANI KWAKE SIMBA.WAINGEREZA WANASEMA MISSION ACCOMPLISHED.Maana yake kazi aliyopewa na Mo sports club,samahani Simba SC Ameitimiza.

Mpira ni Biashara,Mpira ni SIASA.Ndio maana Rais wa Liberia George Weah alichaguliwa kuwa Rais wa Nchi ya Liberia.Huyu muda wote wa maisha yake alikuwa anacheza mpira,akaingia kwenye siasa akaukwaa urais.

NAHITIMISHA KWA KUWAAMBIA VIONGOZI WA YOUNG AFRICANS SC (YANGA),KAMATI YA UTENDAJI NA MDHAMINI MKUU GSM KUONDOKA.

Yanga ijengwe upya.Manji rudi nyumbani utuokoe.
Tatizo yanga ni viongozi na GSM,Tokea ghalib allingie yanga kila mwaka wanasajiri team karibia yote mpya.viongozi wetu wamewekwa mfukoni team iko chini ya hersi said MTU asijue hata ABC ya mpira wetu,yupo kulinda maslahi ya boss wake.viongozi watupishe huwezi kuuza mchezaji eti kwasababu utapewa kambi ya bure.ujinga wa kiwango cha dunia kabisa.
 
Acha uongo ni Simba ndo imewabeba,tff ndo wameweka kanuni za michuano au CAF,na hata kama mmefuzu kucheza CAFCL kwa uwezo wenu ndo mtolewe mapema hivi? timu kubwa mnazidiwa na timu ndogo ya biashara!
Ni Yanga tu ndo mmetia aibu nchi yetu nzuri.
Uko sahihi sio tumetia aibu yanga imefedheesha hili taifa.wanaraka inabidi waiongeze yanga kweli mambo yanayolokwamisha hii nchi kama ilivyo katiba mpya
 
Hiyo hoja yako namba 1 haina mashiko! Maana Yanga ilifika mpaka fainali kwenye Kombe la Shirikisho la Azam, hivyo tayari ilikuwa na sifa ya kushiriki mashindano ya Kimataifa mwaka huu kutokana na kanuni za TFF.

Bado Yanga ilishika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu! Nako ilibebwa na Simba? Yaani unajinasibu kuwa shabiki wa Yanga lakini una mawazo kama ya wale mbumbumbu wa Moo!!
Mazombie ya utopolo mnabagazwa na Msukule wa GSM na nyie mnajaa kabisa
FB_IMG_1631703587751.jpg
 
Kwenye swala la vunja jenga vunja jenga ni wakina nani wanaohusika kama sio GSM na Msola? Mpira una misingi yake lakini tokea waingie GSM na vihela vyao wanachojua ni kuvunja mabenchi ya ufundi na wachezaji wapya kusajili kila msimu. Tukatae tukubali GSM na Msola wameshindwa kuleta mafanikio tokea wahusike kwenye timu
GSM anaifanya Yanga kama fremu ya kuuzia bidhaa zake tu.
 
Tumefungwa tena na kutolewa katika mashindano ya ligi ya mabingwa ya Afrika baada ya kufungwa tena 1 bila hivyo matokeo kuwa Rivers United 2 Yanga 0.

Viongozi wote wa Yanga inabidi wajiuzulu na mdhamini GSM aende zake,wanachama na wapenzi tumwombe shujaa wetu MANJI ARUDI KUTUDHAMINI.

Sababu kuu 2 zilizonifanya kuwataka viongozi na kamati ya utendaji kujiuzulu.

1)Tumeingia kwenye mashindano haya kupitia mtani wetu Simba SC.Tumeshindwa kwenye ligi na sasa tumeshindwa kwenye mashindano makubwa Africa champions league.

2)Kumpokea HAJI MANARA AMBAE HATA BABAKE MZAZI ALIMKATAA KUJIUNGA NA YANGA.HUYU KAJA KUTIBUA NA MUDA SI MREFU ATARUDI NYUMBANI KWAKE SIMBA.WAINGEREZA WANASEMA MISSION ACCOMPLISHED.Maana yake kazi aliyopewa na Mo sports club,samahani Simba SC Ameitimiza.

Mpira ni Biashara,Mpira ni SIASA.Ndio maana Rais wa Liberia George Weah alichaguliwa kuwa Rais wa Nchi ya Liberia.Huyu muda wote wa maisha yake alikuwa anacheza mpira,akaingia kwenye siasa akaukwaa urais.

NAHITIMISHA KWA KUWAAMBIA VIONGOZI WA YOUNG AFRICANS SC (YANGA),KAMATI YA UTENDAJI NA MDHAMINI MKUU GSM KUONDOKA.

Yanga ijengwe upya.Manji rudi nyumbani utuokoe.
Kama sio mnyama unatafuta kuonedoa stress hata sijui
 
K

kwani matokeo ya fainaili kule kigoma ilikuwa ngapi ngapi?
Mbona kanuni za TFF ziko wazi! Matokeo ya nini tena! Ukifika fainali na iwapo unaye shindana naye amechukua ubingwa wa ligi kuu, wewe mshindibwa pili unashiriki Shirikisho.

Kwa hiyo hata kama nafasi zingekua ni mbili tu, bado Yanga ingeshiriki kwa kufika kwake fainali Kombe la Shirikisho. Hivyo hakuna Panya yeyote yule aliye mbeba.
 
Acha uongo ni Simba ndo imewabeba,tff ndo wameweka kanuni za michuano au CAF,na hata kama mmefuzu kucheza CAFCL kwa uwezo wenu ndo mtolewe mapema hivi? timu kubwa mnazidiwa na timu ndogo ya biashara!
Ni Yanga tu ndo mmetia aibu nchi yetu nzuri.
Yanga ingeshiriki mashindano ya kimataifa mwaka huu kwa namna yoyote ile, kwa sababu ilifika fainali Kombe la shirikisho na Simba kuchukua ubingwa wa ligi kuu.
 
Acha kudanganya watu wewe. Kama Simba isingefanya vizuri msimu uliopita CAF wangechukua mshindi wa pili wa ligi? Kubali tu ulibebwa na Simba mkuu sio kesi

View attachment 1945442
Yanga ilifika fainali kombe la shirikisho! Hivyo ingeshiriki kombe la shirikisho baada ya simba kuchukua ubingwa wa ligi kuu. Sasa huko kubebwa kuko wapi?
 
Back
Top Bottom