Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,042
Balozi wa kanada huyo.
Nilifikiri mzigo wa Majaliwa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi wa kanada huyo.
Mama jesca mbn hana raha
Ni balozi wa kànadaMajaliwa Kasim, huyo wa pembeni yake ndio wife wake nini ?
Na bora angetokea kabisaANGETOKEA MWENYE "BAZOKA" NINGEKUA NAKULA BATA MTAANI KWANGU
Mkuu, hiyo ndege iliruka ? Mbona pale uwanja wa ndege nako walikuwa wamekaa wote kwa pamoja au kunapokwepo sherehe ya Kitaifa mbona wote hukusanyika eneo moja, unasemaje kuhusu hilo ?Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Huwa watu wa usalama wanakagua kwanzaJana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
[emoji23] yule kila jambo kwake linawezekanaItakua mzee baba kamzingua alfajiri na mapema
Bomu kama lipo kwenye mfumo wa ndege kutokea canada ?Huwa watu wa usalama wanakagua kwanza
Majaliwa Kasim, huyo wa pembeni yake ndio wife wake nini ?
DAH, ilitakiwa ipigwe bomu..... kila kitu sambaratika..... dadadekiJana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Na ilishakaguliwa
Hivi ndege haina sheria ya levo siti? Trafiki hawakamati ndege zinazochukua abiria kupita kiasi, na kwanini?Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.
View attachment 975883
Huu utoto kwani walipokuwa wanahutubia katika jukwaa kuu kama mtu atatupa bomu si wote watadhurika? Najua imewauma sanaRais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.
View attachment 975883
mbona kwenye kumbi za mikutano hua pamoja au shida ndege!!Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.
Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.
Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.
Hili huwa linazingatiwa au hapana.
Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
Ikilipuka hapo, makonda anakuwa RaisRais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.
View attachment 975883
Hatutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia lazma viongozi wetu wajiridhishe.Kwani walivyopanda na kukaa tu sie kama taifa tumepata hasara gani hali yakuwa haijatumia mafuta.Kama sio ushamba wameka wanaenda wapi? ila viongozi wa Africa ni ma peasant sana.....kuzindua ndege mpaka ingie ndani na kukaa? Unafikiri ni wakaguzi wa ndege, wakati huo ujuzi hawana, ni wana siasa uchara